Kwanini Diamond Platnumz amemtenga mwanaye aliyezaa na Hamisa Mobetto?

Kwanini Diamond Platnumz amemtenga mwanaye aliyezaa na Hamisa Mobetto?

Kwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
 
Kwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
Kwani zari haja move on au yule mkenya?

Mange kimambi ana maneno ya uongo sana we kila anachoandika unaamini tu.
 
Kwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
Ila shost mtoto kafanana na bill nengaa bhanaaa
 
Kwa mujibu yule walijuana na billnasi kipindi Cha kesi,ya madai ya mtoto, mwingine picha ya mchupi wa nandi, ndo wakaanza,diamond walipima Dna na yule mtoto Sasa mond anataka waende kupima south, Hamisa alikataa na alisema ye anashukuru anapata riziki na anamtunza mtoto bila baba, kamkataa, Ila Sasa kakubali baada ya mange kumshauri, alafu mange kasema yule kinamuhuma baada ya kuona hamisa kamove alafu yupo na mafanikio kwa Sasa ndo Mana kujifanya kuwasherehesha wale watoto wa mbali, ma birthday Mara kwenda Rwanda, kuwapost post.
Hivi unaweza kumuamini mtu kila siku anamsema domo kwa mabaya...kwanza unaposema anamaisha si abaki na nwanae...kudanga huwa ni laana mpka kizazi chako cha 4
 
Huyu je
FB_IMG_1698522082084.jpg
 
Ubaya ni kuwa neno lolote atakalolizungumza platnumz lazma limrudie,

Akisema hamisa alimsingizia mtoto, mama yake nae amelifanya hilo kwa mzee abdul publicly

Kama amemkana mtoto huku akijua ni wake au tu kumpuuza. Atakuwa amefanya kitu ambacho ameshafanyiwa

Moral of the story, walioumizwa huumiza wengine
Hiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apite
 
Kwani zari haja move on au yule mkenya?

Mange kimambi ana maneno ya uongo sana we kila anachoandika unaamini tu.
Nani alikuwa alikuwa anajishusha pale wachafu na walikuwa wanamuita masikini,zari, misa au mkenya, na alikuwa hatakiwi na sasa yupo bize na Maisha yanamuendea, mi nimeandika kwa mujibu wa dada wa taifa, na Misa baada ya kukubali kasema DNA ya wazi sio Kama waliyopimia huku, Kama mange muongo mkweli ni mawazo yako.
 
Hiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apite
Ye alivyomfanyia mmewe marehemu na kuja kuolewa na tz kwa benten, na kutuchamba wa bongo masikini, matokeo kaolewa bure tu, Hamisa Hana mpango na msaada wa mond kwa Sasa na kasema anashukuru milango ya riziki inafunguka sio Kama zamani, na kuhusu mtoto analea mwenyewe, sio Kama zamani Mara kulalamika kwa mzee Abdul, Mara mahakamani , ustawi wa jamii wakaenda dna, tupende vya kwetu, Kama kina Samata awajashobokea kuoa wazungu wameoa wa nyumbani Maisha yanakwenda.
 
Diamond hawezi kukataa mtoto sio rahisi kwa matajiri kukataa mtoto hususani Diamond hana ndoa watoto wote kazaa nje ....Yule Hamisa anazaa na matajiri ili apate chochote kile kama alivyozaa na majizzo .

Diamond inasemekana kuna walakini maana DNA za bongo ni utapeli na alitak kwenda south alikataa eti mtoto anadhalilishwa kupimwa DNA...yule mwanamke angekuwa labda ana uhakika wasingepelekana mahakamani
.. Diamond na Hamisa wote vicheche na hakuna mtu anamuamini mwenzie.


Mfumo anatumia kuzaa na matajiri ajiandae tunawajua jamii fulani ambayo kaoa huyo Majizzo watakuja kusumbuana kweny urithi ..
 
Ye alivyomfanyia mmewe marehemu na kuja kuolewa na tz kwa benten, na kutuchamba wa bongo masikini, matokeo kaolewa bure tu, Hamisa Hana mpango na msaada wa mond kwa Sasa na kasema anashukuru milango ya riziki inafunguka sio Kama zamani, na kuhusu mtoto analea mwenyewe, sio Kama zamani Mara kulalamika kwa mzee Abdul, Mara mahakamani , ustawi wa jamii wakaenda dna, tupende vya kwetu, Kama kina Samata awajashobokea kuoa wazungu wameoa wa nyumbani Maisha yanakwenda.
Tatizo lipo wapi? Hamisa yupi huyo kila siku ana danga jipya yaani unaweza kuamini mwanamke anayedanga !?


Hamisa za chini kakataa kwenda kupima DNA south Africa ila pesa ya matunzo alienda mahakamani kama sio njaa ni nn?

Umri sio rafiki anachuja hana jipya ila mwenzio ndio kwanza kumekucha anatembea na vitoto wakina Zuchu..
.DNA za bongo ni utapeli na Diamond hawezi kukataa mtoto hata siku moja .
 
Hiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apite

Alifanyiwa nini ambacho yeye hajawahi kuwafanyia wengine. Inshort ile situation ilisaidia kubalance ego yake

By the way watanzania walio obsessed na Zari huwa nawashangaa sana. That woman anawadharau watanzania sana sanaaa, ingekuwa ni hata Kenya, angekuwa cancelled muda sanaaa
 
Nauliza tu sio kwa ubaya kwanini Diamond plantum amemtwnga mtoto wake aliyezaa nae hamisa Mobeto?
Coz

Watoto wote wanajua Mama zao,lakini baba Huwa tunaonyeshwa,halafu uhusiano mzuri wa baba na mtoto unategemea mahusiano mazuri ya mama na baba,

Uhusiano wa baba na mama ukifa na uhusiano wa baba na mtoto Huwa wa kulazimisha coz hisia za Mama kuhusu baba wa mtoto ndizo atakazoambukizwa mtoto!!

Kifupi mapenzi yakifa na uhusiano wa baba na mtoto hufa!!!

Ndio wanaume wenye akili Huwa hawategemei makubwa toka kwa mtoto ambae uhusiano na mama yake ulishakufa na wakihudumia huyo mtoto ni sawa na kutoa sadaka kanisani ukitegemea Mungu tu ndio akubariki na sio kupata matunda ya mtoto ambae uhusiano na mama yke ulikufa!!!


Hivyo tu!!
 
Back
Top Bottom