Kwanini DP World wamewakimbia watangazaji? Mpemba huyu ni msemaji wa DP? Hawa waandishi warudishe hela za watu?

Hilo linahitaji kupigiwa PA?

Yani Hawa jamaa waende Dubai na kila siku wanawasindikiza na ving'ora barabarani Kama msafara wa Rais alafu iwe burebure tu kwamba walijipeleka wenyewe?

We jamaa bhana !!!hao Huon ka ni chawa huon maswali wanayouliza ya kichawachawa huon kua wanauliza kishabikshabik huon ka wanatukejer wananchi hawajatumwa kuuliza maswal magum wala kuleta majib yaliyonyooka wamekwenda kuwapalilia DP
 
Mnamuonea wivu Kitenge.

Ma shaa Allah, kakwea dream liner, kapiga shopping Dubai, karudi na kibahasha kizuri cha Dirhams. Pengine folding screen ya 100" ipo kwwenye container na kigari cha kwendwa bandarini na kurudi ofisini akiwa Dar.

Ma shaa Allah, kishatengeneza na bonge la connection hapo, wapwa zake huku hawakosi kazi DP World Container Terminal.

Waarabu wakarimu sana ukishajuana nao, usifanye mchezo.

Kariakoo tunasema "hapo Kitenge kashinda game".
 
Leak

Una akili sawa sawa? Picha umeweka wewe mwenyewe, inaonesha Kitenge yupo na watu wa DP World tena ndani ya ofisi za DP World, halafu unasema DP World wamemkimbia? Duh!


Hiyo ndiyo ukisikia unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.
 
Leak

Una akili sawa sawa? Picha umeweka wewe mwenyewe, inaonesha Kitenge yupo na watu wa DP World tena ndani ya ofisi za DP World, halafu unasema DP World wamemkimbia? Duh!


Hiyo ndiyo ukisikia unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.
Sawa kajitekenya na kucheka...
Hao DPW wamesemaje kwani??
Je, kwako ni sahihi kwa media ya kitanzania kupewa promo tour ya kwenda kuhoji mshindani na mbia mtarajiwa?

Somethings just can't be right!
 
Mwizi kama mnamjua siakamatwe? Au anaizidi nguvu serikali? Kwa taarifa yako wanaoipigia chapuo dpw tayari walishaseti mipango yao.
 
We bibi ukinywa gongo zako kaa utulie kidogo.
Kimuhemuhe chako hakikupeleki popote.
Acha swala lishughulkkiwe
Kisheria utapata taarifa.
Sa hii tuliza mata kroo.
 
We bibi ukinywa gongo zako kaa utulie kidogo.
Kimuhemuhe chako hakikupeleki popote.
Acha swala lishughulkkiwe
Kisheria utapata taarifa.
Sa hii tuliza mata kroo.
Nakusikitua sana kwa ujinga uliokujaa. Elewa kuwa ujinga siyo tusi, ni neno la kukujulisha kuwa kuna mambo huyaelewi na inabidi ujifunze.

Hivi wewe una ujuzi upi wabiashara za kibepari?
Tafadhali, bofya chini hapo ukajichotee dhahabu nyeusi 👇🏾
 
Mama tumpe mda afanye kazi yake kama wengine walivyo pewa mda wakafanya kazi yao wamesema bandari itaongeza ufanisi mkubwa kuliko sasa ilivyo ajira zitaongezeka mapato yatongezeka nadhani mama afanye kazi yake the way anavyo ona ina faa kuleta maendeleo
 
Huna cha kunifundisha.
Huu ujinga ni Chimbo la werevu hizo pesa twende tuzifuate mi na wewe zikikosekana tutajuana hukohuko.
 
Kumbe mnawafuatilia hao kina Maulid Kitenge?
 
Huyo ndiyo ambaye FaizaFoxy alitumia kuwalaghai vijana humu jukwaani kuwa kazungumza na mtu mzito sana DPW.

Akaleta porojo zake za kuku mwenye kideri.
Faizafoxy ni mithili ya kina Mwijaku na Baba Levo tu. Tofauti yake yeye na wao ni;

- Kuamini kila muarabu na linalofanywa na muarabu basi ni uislam hivyo ni la kutetewa hata si sahihi.

- kuamini hili la DP word kuwa ni turufu yake ya uzeeni ya kutoboa kimaisha endapo akijifanya mtetezi wao basi aidha raisi atamuona na kumpa shavu au waarabu watamuona na kumtimizia ndoto zake za kuwa kibaraka rasmi wa waarabu.
 
Huna cha kunifundisha.
Huu ujinga ni Chimbo la werevu hizo pesa twende tuzifuate mi na wewe zikikosekana tutajuana hukohuko.
Hujajibu hata swali moja nililokuuliza, hiyo tu imeshakuweka unapostahiki kuwepo.
 
Naunga mkono hoja yako 100%, kwa kuongezea tu, mmoja katika watu wanaosifika kuwa "wenye akili inayofanya kazi sana "super intelligent" alisema:

"The measure of intelligence is the ability to change' -Albert Einstein
 
Hili sakata ....limekuwa nguli kweli kweli....limekaa kidini pia...nmeshangaa sehem iringa Muslims wanahamasisha ujio wa DP WORLD...n nini kipo nyuma ya pazia?
Ni wajinga wanahisi DP world wapo kidini kumbe wenzao hawawazi kabisa maswala hayo wao wanawaza biashara
 
Sawa kajitekenya na kucheka...
Hao DPW wamesemaje kwani??
Je, kwako ni sahihi kwa media ya kitanzania kupewa promo tour ya kwenda kuhoji mshindani na mbia mtarajiwa?

Somethings just can't be right!
Tena ni vizuri kabisa kufanya hivyo. Ili mjiridhishe.

Kijana, watu duniani huko, wanafanya semina, tena za nchi za nje na mnapoishi.


AlhamduliLlah wakati nafanya kazi nchi za watu huko, nimeshasafirishwa nchi nyingi sana na tunaofanya nao biashara, kuna safari za aina nyingi sana. Mfano wabunge wetu wamepelekwa wakajionee wanavyofanya shughuli zao Dubai, wengine wamepelekwa India wakaone wengine huko wnav7ofanya kazi zao ili wote hao walete data zije kuchambuliwa.


Dunia ya leo kama hauna "information hauwezi kufanya maamuzi yenye maana. Ndiyo maana unaona teknolojia ya information ndiyo teknolijia inayokuwa na kubadilika kwa haraka zaidi duniani kulkiko teknolojai yoyote ile.

Na siku hizi information zipo kila namna, zipo za kweli zipo za uomgo, inabidi watu wasafiri kufanya tafiiti, ni muhimu sana tena sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…