Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

Kwanini dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea Gaza?

Gaza ni eneo dogo sn lakini Lina wakazi takriban milioni mbili..hakuna airport hakuna,usafiri wa kuunganisha miji mingine,umeme kuwaka saa mbili Tu Kwa siku ni Jambo la kawaida sn

Jamaa Wana maisha magumu sn,jumuiya ya kimataifa sijui Kwa nn umeamua kuwapa kisogo
Ndugu zao wa kiarabu wafanye bidii wawakatie vipande kule kwao kila mmoja. Wana sehemu kubwa. Sababu ishakuwa taabu sasa!
Wafanye vile Israel ilifanya kuja kuwachukua wa Ethiopian Jews ndani ya Ethiopia. Pitia hiyo operation Solomon. 👇
 
In short nchi za Kiarabu vita wamefanya kama sehem ya maisha yao. Bila shaka pia nahis vita ni sehemu ya imani yao. Haiwezkan nchi za kiarabu miaka yote zenywe ziwe na vita tu.
nchi gani ya kiarabu ipo kwenye vita yenyewe? yaani marekani atoke huko kwake avamie iraqi, wakijitetea wanapenda vita? Israel watoke ulaya wavamie palestina wakijitetea wanapenda vita? Usa na urusi wapigane ndani ya Ardhi ya syria then useme wa syria wanapenda vita? hakuna mtu anapendea vita duniani, isikie tu hivyo hivyo.
 
Hili Tatizo kuna ugumu kulimaloza!
Sababu wanadamu wanajitahidi kulimaliza Kisiasa wakti ni Tatizo la ki-deen!
Hebu ref hii Kauli ya Allah
[emoji116][emoji116]
لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ
أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ ( 82 )
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi

Tujiulize jee muumini yeyote anaye yafuata na kuyaishi Atakubali Yahudi awe rafiki na Amuasi Allah aende motoni au Amtii Allah Aende peponi![emoji101]
 
haa ha ha mkuu israel wamekuwa magaidi maana sio kwa kuporomosha majengo kiasi hiki
Wee Rikiboy, hebu nijibu kwanza tena usizingue! 🤣 Hivi uko jangwani kule kwa hao, ni afadhali ukishikwa bahati mbaya na Hamas ama ushikwe na IDF? 😂
 
Wee Rikiboy, hebu nijibu kwanza tena usizingue! 🤣 Hivi uko jangwani kule kwa hao, ni afadhali ukishikwa bahati mbaya na Hamas ama ushikwe na IDF? 😂
daah mkuu acha tu wale mbwa makatili sanaaa acha israel wajilipize ilaa wanaua mpaka watoto sasa ndo kinachoniuma mimi.
 
nchi gani ya kiarabu ipo kwenye vita yenyewe? yaani marekani atoke huko kwake avamie iraqi, wakijitetea wanapenda vita? Israel watoke ulaya wavamie palestina wakijitetea wanapenda vita? Usa na urusi wapigane ndani ya Ardhi ya syria then useme wa syria wanapenda vita? hakuna mtu anapendea vita duniani, isikie tu hivyo hivyo.
Hii vita haiwezi kuisha kwasbabu ni ya Kidini kila mtu anavutia kwake na ni vita ya kihistoria kabla hata ya USA kuanza kuingilia
 
In short nchi za Kiarabu vita wamefanya kama sehem ya maisha yao. Bila shaka pia nahis vita ni sehemu ya imani yao. Haiwezkan nchi za kiarabu miaka yote zenywe ziwe na vita tu.
Hivi sahi Lebanon, Jordan wananchi wamevimba sababu ya ndugu zao, wanajaribu kuvuka mipaka waingie Israel, lakini vikosi vyao vinawadhibiti sambamba, sababu wanajua hawataki iwe tena issue waambiwe wanamuingila mayahudi kila upande. Itakuwa shoo mbaya na itabidi wazungu waingilie na nafkiri unajua mzungu akija nini hutokea? Vita sio vizuri jamani, bora hivyo nilizaliwa Afrika! 😎 Nchi zinapigania makaazi hadi wa leo 21st century??? DUH!!!
 
daah mkuu acha tu wale mbwa makatili sanaaa acha israel wajilipize ilaa wanaua mpaka watoto sasa ndo kinachoniuma mimi.
Kweli ni uchungu, ila ndo athari ya vita sasa. Hata huko Israel kuna vilio kwa nyumba za common residents sawia na huko Gaza. Hapo ni waache vita, lakini sio rahisi hivyo sababu kuna pande moja haitaki kuonekana mnyonge, ndio maana bado wanajisikia kulipizana tu, rusha ni rushe. Hapo ni kujimwambify tu, hamna hekima tena mbele ya vita.
 

Habari wadau..!

Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?

Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .

Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?

Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
 
Parestina wanaonewa Sana af anakuja mmasai mmoja anawasifia Israel kuwa ni taifa teule... parestina hawapgan na Israel Bali wanaandamana, wanaopgana na Israel ni gammas na sio parestinaView attachment 1786087hilo enoleo lote kilikuwa la parestina mwaka 1919 now wamekuwa wakimbizi , Hawa wapuuzi Bora wangeletwa Uganda tu Kama ilivokuwa imepangwa
Sababu ukirudi kuangalia history Israel walikuwa hapo toka kipindi cha king Darius mpaka Babylonian Empire na mwishowe Roman Empire ikawafukuza na kuwapeleka uhamishoni ulaya kipindi cha utawala wao. Pia Roman Empire wakabadilisha jina la nchi yao kutoka Herodian Empire kwenda Palestine na kuruhusu wafilisti ambao kwa kiingereza tunawaita wapalestina kuwa watawala wa ardhi ya wa Israel. So wao wana haki ya kuclaim ardhi yao na ndio maana mataifa makubwa hayawagusi.
Upande wa kidini kuanzia Christianity, Islam na Jews wenyewe wanasadiki wao ndio nchi teule. Fuatilia kuhusu Abrahamic faiths utaelewa
 
Wajinga wanaona israel inapigana na gaza lakini ukweli ni kwamba intrest groups ndio zinapigana.


Hawa hamasi hawaja wahi kushinda vita na israel, jiulize kwanini kila baada ya miaka 3 au 4 wanawachokoza israel?

Hamasi ni kundi ambalo linajificha kwenye kutetea gaza lakini ndilo kundi ambalo linafaidika sana hasa kwa misaada ya kujenga gaza kila mara ikibomolewa.

Mkuu wa gaza anatembelea ngege kama Rais wa marekani.
Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?

Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .

Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?

Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
 
Hao Hamas ndio sio magaidi. Wanakuchinja mchana kweupe wakikushika wewe! 🤣
Wanasytaili kuwa magaidi , hta mm ningekuwa gaidi, just imagine mtu unakuwa mkimbizi kwenye ardhi yako, hebu Google Raman ya parestina Kama ipo , wanasytaili kumind , af kinachokera watu wanamshabikia israel kwa kuamini ni mteule wa dunia ,ok kwakuwa yeye ni mteule Basi acha as tutende dhambi kwani umeandikiwa wao ni wateule na lazma wauone ufalne wa mbingu na ss hata tufanyaje lazma tuingie moton, Israel hii sio ile ya ibrahimu hii inavibaka tupu sio ile , kwa kuweka mahaba ya dini pembeni Israel gaidir nambar moja duniani,, kinachoniuma mataifa ya kiarabu yamejitoa Akat wao ndio walimshawishi parestina kumgawia ardhi muisrael Tena kwa moyo mkunjyfu, waacheni waparestina Vita owe ni maisha yao ni haki yao kupmbana, hao Israel wangeletwa Uganda Kama ilivokuwa imepangwa usikute hata as tusingekuwa tumejazana upande mmoja ,, uskute wangesema tz Kenya au Rwanda ndio nch yao ya ahadi fucken
 
Hii vita haiwezi kuisha kwasbabu ni ya Kidini kila mtu anavutia kwake na ni vita ya kihistoria kabla hata ya USA kuanza kuingilia
Ukitaka kukifanya chochote ni cha kidini ni itikadi zako tu. Lebanon ni nchi ya kiarabu Ila waarabu wake ni Wakristo na ndio nchi pekee duniani yenye waarabu ambao ni Wakristo pia kuna waislamu pia Ila mbona wao wanaishi kwa Amani. Kuna wakati Syria walitaka kuwavamia sababu ya kugombania eneo. Utasema nayo ni udini?
 
Back
Top Bottom