Wanasytaili kuwa magaidi , hta mm ningekuwa gaidi, just imagine mtu unakuwa mkimbizi kwenye ardhi yako, hebu Google Raman ya parestina Kama ipo , wanasytaili kumind , af kinachokera watu wanamshabikia israel kwa kuamini ni mteule wa dunia ,ok kwakuwa yeye ni mteule Basi acha as tutende dhambi kwani umeandikiwa wao ni wateule na lazma wauone ufalne wa mbingu na ss hata tufanyaje lazma tuingie moton, Israel hii sio ile ya ibrahimu hii inavibaka tupu sio ile , kwa kuweka mahaba ya dini pembeni Israel gaidir nambar moja duniani,, kinachoniuma mataifa ya kiarabu yamejitoa Akat wao ndio walimshawishi parestina kumgawia ardhi muisrael Tena kwa moyo mkunjyfu, waacheni waparestina Vita owe ni maisha yao ni haki yao kupmbana, hao Israel wangeletwa Uganda Kama ilivokuwa imepangwa usikute hata as tusingekuwa tumejazana upande mmoja ,, uskute wangesema tz Kenya au Rwanda ndio nch yao ya ahadi fucken
Hata hao parestina ni kwao hapo, ndo maana nasema ni tatzo Sana kutumia hstry ,hata hao 0arestna history inawabeba Sana ,ilikuwa wake Uganda na wakipewa ardhi ma parestina kiataarab, dunia ya Sasa imestaarabika Sana , vp Leo kutokee fujo kuhusu Uganda na tz kisa kagera, parestina wanastairikupigana na wanajua kuwa wanapgwa ,na lazma wapgane kwani hata wakiacha watapigwa ko wameamua wasife kikindoo ,ni wazarendo Sana, yaan Kama parestina itapotea Basi kutakuwa na vikosi vya ugaidi Zaid maana hawatakuwa na ardhi Tena, acha wapigane tu , nawaunga mkono Kwan hawana kwakwenda , Ila nyie mnasema et israel pale ni taifa mama, Hitler hakuwa sahihi kuwachinja Jews aliwapunguza Sana mil 6 , wao walihurumiwa kwa ukimbiz lakn wao hawahurumii wenzao, hata mm ningevaa bom Kwan hakuna namna ya kuendelea kuish
Ukitaka kukifanya chochote ni cha kidini ni itikadi zako tu. Lebanon ni nchi ya kiarabu Ila waarabu wake ni Wakristo na ndio nchi pekee duniani yenye waarabu ambao ni Wakristo pia kuna waislamu pia Ila mbona wao wanaishi kwa Amani. Kuna wakati Syria walitaka kuwavamia sababu ya kugombania eneo. Utasema nayo ni udini?
Hii vita ni ya kidini kwasbabu Israel na hao palestina walishapigana sana na kuwekeana mipaka kwenye maandiko ukifuatilia. tambo za Goliath kwa Daudi kwamba mkitupiga mtatutawala miaka yote na tukiwapiga tutawatawala miaka yote. Matokeo yake Goliath akauwawa. Kwahy hao palestina hawana chao hapo wanapoteza mda. Siasa imekuja kuingia badae sana kweny hii vita
Hii vita ni ya kidini kwasbabu Israel na hao palestina walishapigana sana na kuwekeana mipaka kwenye maandiko ukifuatilia. tambo za Goliath kwa Daudi kwamba mkitupiga mtatutawala miaka yote na tukiwapiga tutawatawala miaka yote. Matokeo yake Goliath akauwawa. Kwahy hao palestina hawana chao hapo wanapoteza mda. Siasa imekuja kuingia badae sana kweny hii vita
Hata hao parestina ni kwao hapo, ndo maana nasema ni tatzo Sana kutumia hstry ,hata hao 0arestna history inawabeba Sana ,ilikuwa wake Uganda na wakipewa ardhi ma parestina kiataarab, dunia ya Sasa imestaarabika Sana , vp Leo kutokee fujo kuhusu Uganda na tz kisa kagera, parestina wanastairikupigana na wanajua kuwa wanapgwa ,na lazma wapgane kwani hata wakiacha watapigwa ko wameamua wasife kikindoo ,ni wazarendo Sana, yaan Kama parestina itapotea Basi kutakuwa na vikosi vya ugaidi Zaid maana hawatakuwa na ardhi Tena, acha wapigane tu , nawaunga mkono Kwan hawana kwakwenda , Ila nyie mnasema et israel pale ni taifa mama, Hitler hakuwa sahihi kuwachinja Jews aliwapunguza Sana mil 6 , wao walihurumiwa kwa ukimbiz lakn wao hawahurumii wenzao, hata mm ningevaa bom Kwan hakuna namna ya kuendelea kuish
Uganda watapigwa tu na Tz kwasbab wanang'ang'ania ardhi isyo yao.
Na ndo kinachowakuta Palestina kwasbb wao ni kama wakimbiz tu japo wameish hapo kwa miaka mingi.
Ni sawa na Tz Kigoma Raia wa burundi wapo weng wamezaliana mpak kusoma Tz alaf waanze kudai uhur
Hata hao parestina ni kwao hapo, ndo maana nasema ni tatzo Sana kutumia hstry ,hata hao 0arestna history inawabeba Sana ,ilikuwa wake Uganda na wakipewa ardhi ma parestina kiataarab, dunia ya Sasa imestaarabika Sana , vp Leo kutokee fujo kuhusu Uganda na tz kisa kagera, parestina wanastairikupigana na wanajua kuwa wanapgwa ,na lazma wapgane kwani hata wakiacha watapigwa ko wameamua wasife kikindoo ,ni wazarendo Sana, yaan Kama parestina itapotea Basi kutakuwa na vikosi vya ugaidi Zaid maana hawatakuwa na ardhi Tena, acha wapigane tu , nawaunga mkono Kwan hawana kwakwenda , Ila nyie mnasema et israel pale ni taifa mama, Hitler hakuwa sahihi kuwachinja Jews aliwapunguza Sana mil 6 , wao walihurumiwa kwa ukimbiz lakn wao hawahurumii wenzao, hata mm ningevaa bom Kwan hakuna namna ya kuendelea kuish
Na hata ungejilipua usingebadilisha chochote. Israel wanaendelea kugawa dozi pale wanapochokozwa. Nchi za kiarabu ziko kimya maana Mwanaume (Israel) aliwakalisha wote ndani ya siku sita tu wakaomba poo. Na hapo walimchokoza kuhusu Palestine. Waarabu ni wanafki kama wangekuwa na mapenzi ya kweli kwa ndugu zao Palestine wangewapa uraia Ila na wao ni wabinafsi kama binadamu wengine
mkuu kabla ya hapo jews kibao waliokimbia ulaya walikuwa wanaishi palestina, wapalestina hawana tabu na ma jews, ila hawa mazionist si watu wa dini, na kama wana dini basi ni ya shetani.
wapo jews wa kawaida wengi israel ila hawana nguvu na decision za kufanya tofauti na hawa zionist.
hebu angalia hivi wanavyofanya niambie kwako unaona ni dini? nitajaribu kuweka source za kimagharibi zaidi
1. israel sasa hivi ndio paradise ya pedopholia, yaani watu wanaofanya mapenzi na watoto ambao hawaja baleghe, wanashtakiwa nchi nyengine wao wanawapokea na kuwakinga
Jewish Community Watch says 32 paedophiles moved from countries around the world to Israel over past decade
www.independent.co.uk
2.wana blackmail viongozi na watu makubwa duniani kingono, wana makampuni ya kusafirisha watoto na wanawake kufanya kazi za umalaya, viongozi wao wanabaka etc
Yehuda Tager, an Israeli agent who operated in Baghdad, sheds new light on a 55-year-old mystery: Who carried out the bombing of the Masuda Shemtov synagogue.
www.haaretz.com
8.bilionea wao ndie anaehusika na congo, kuiba madini, alifukuzwa USA
Washington – Today, the U.S. Department of the Treasury’s Office of Foreign Assets Control (OFAC) sanctioned 14 entities pursuant to Executive Order (E.O.) 13818, which targets serious human rights abuse and corruption, for being affiliated with designated Israeli businessman and billionaire Dan...
home.treasury.gov
9.Rabbi Ovadia aliwahi sema hivi
“There was a tsunami (Hurricane Katrina) and there are terrible natural disasters, because there isn’t enough Torah study…Black people reside there [New Orleans]. Blacks will study the Torah? [God said] let’s bring a tsunami and drown them...“Hundreds of thousands remained homeless. Tens of thousands have been killed. All of this because they have no God.”
10. mlipuko wa juzi juzi hapa beirut uliotokea bandarini na kuua mamia ya watu kiongozi wao wa kisiasa alipost fb kusherehekea
Firebrand activist claims Hezbollah missiles that 'could reach any strategic point in Israel' and allegedly stored in chemical depot created gigantic explosion that flattened large swaths of Lebanese capital
www.ynetnews.com
kuna maelfu ya crime wanafanya hawa jamaa na kama unaamini ni vita ya kidini unahitaji kuwajua zaidi.
Jina Palestina linatokana na neno la Kilatini Palaestina na neno la Kigiriki Palaeistine. Maneno haya mawili yanatokana na neno la Kiebrania Pelesheth. Biblia inatumia neno Pelesheth linatafsiriwa Filistia kwa Kiswahili kwenye Biblia.
Linarejelea eneo la Pwani ya Mediterenia lililokaliwa na Wafilisti.
Katika Biblia majina Palestina, Kanaani, Israeli, Nchi ya Ahadi yana maana moja. Wayahudi walipotoka Misri Mungu aliwaahidi kuwapa Kanaani waimiliki. Wakati huo ilikuwa ikikaliwa na Wafilisti. Abrahamu, Isaka na Yakobo waliishi Kanaani/Palestina kabla ya Yakobo kuhamia Misri.
Waliporudi waliwatimua Wafilisti nao wakaimiliki nchi ya Kanaani/Palestina. Mwaka 1070 BC Daudi akafanya Yerusalemu kuwa mji wake mkuu. Sulemani akamjengea Mungu hekalu Yerusalemu.
Mwaka wa 70 AD Roman Empire iliteketeza Yerusalemu na hekalu lake na kuwapeleka Wayahudi uhamishoni katika maeneo mbali mbali ya milki hiyo.
AD 130 Emperor Adrian alilijenga upya Yerusalemu na kuliita Aelia Capitolina. Akawapiga marufuku Wayahudi kukanyaga katika jiji hilo kwa miaka 200. Kisha Mama ya Emperor Constantine aliyeitwa Hellen alitembelea Yerusalemu na akaanza kujenga maeneo matakatifu (Shrines) na Makanisa.
Katika karne ya 7 AD waislamu waliteka jiji la Yerusalemu na Caliph Abd al-Malik ibn Marwan akajenga Msikiti wa el Aqsa. Waarabu walihamia Palestina kipindi hiki hasa kuanzia mwaka wa 638 AD.
Baada ya Adolf Hitler kuwaua Wayahudi karibu milioni 6, Uingereza iliamua kuwarudisha kwao yaani Israeli/Kanaani/Palestina. Hivyo mgogoro ukazuka.
NB😛alestina ni Geographic location. Kuna wapalestina waarabu, Wapalestina Wayahudi, nk. Hata mimi nikipata uraia nitaitwa Mpalestina mwenye asili ya Tanzania.
MFANO: Tuseme ni mwaka 1967. Serikali inaanzisha vijiji vya Ujamaa. Watu wa Kijiji A wanapelekwa Kijiji B ambacho kina huduma zote za kijamii. Baada ya wanakijiji kuondoka watu wengine wanahamia Kijiji A. Wanajenga na kulima mashamba. Kisha mwaka 1985 sera ya ujamaa inakufa. Watu waliohamishwa wanarudi Kijiji A wanakuta tayari watu wengine wameshajenga na kuishi hapo. Mzozo unazuka. Nani atatatua mzozo huu?
Hiyo ndiyo hali ya Palestina. Wayahudi waliondoshwa mwaka 70 AD, Waarabu wakahamia 638 AD. Wayahudi wakarudi nyumbani 1947 AD. Waarabu wanawaona Wayahudi kuwa wavamizi, na Wayahudi wanawaona Waarabu kuwa wavamizi.
Ndugu zao wa kiarabu wafanye bidii wawakatie vipande kule kwao kila mmoja. Wana sehemu kubwa. Sababu ishakuwa taabu sasa!
Wafanye vile Israel ilifanya kuja kuwachukua wa Ethiopian Jews ndani ya Ethiopia. Pitia hiyo operation Solomon. 👇
Mpaka tunaingia mitamboni miji hii kinawaka sasa 1. Paris 2. London 3. Berlin Jana ilikua New York na pia Lebanon kunawaka moto kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga uonevu wa Israel kwa Palestina
Na hata ungejilipua usingebadilisha chochote. Israel wanaendelea kugawa dozi pale wanapochokozwa. Nchi za kiarabu ziko kimya maana Mwanaume (Israel) aliwakalisha wote ndani ya siku sita tu wakaomba poo. Na hapo walimchokoza kuhusu Palestine. Waarabu ni wanafki kama wangekuwa na mapenzi ya kweli kwa ndugu zao Palestine wangewapa uraia Ila na wao ni wabinafsi kama binadamu wengine
Uganda watapigwa tu na Tz kwasbab wanang'ang'ania ardhi isyo yao.
Na ndo kinachowakuta Palestina kwasbb wao ni kama wakimbiz tu japo wameish hapo kwa miaka mingi.
Ni sawa na Tz Kigoma Raia wa burundi wapo weng wamezaliana mpak kusoma Tz alaf waanze kudai uhur
Ukiachana na dini wao hawakukaribishwa walirejea kwao na uingerea aliyekuwa mkoloni ndie aliyewapa ardhi nenda kasome mitandaoni. Kwanini wasiitake dubai au Iran watake Jerusalem sababu sio wajinga walitaka kwao
Ukiachana na dini wao hawakukaribishwa walirejea kwao na uingerea aliyekuwa mkoloni ndie aliyewapa ardhi nenda kasome mitandaoni. Kwanini wasiitake dubai au Iran watake Jerusalem sababu sio wajinga walitaka kwao
Sababu ukirudi kuangalia history Israel walikuwa hapo toka kipindi cha king Darius mpaka Babylonian Empire na mwishowe Roman Empire ikawafukuza na kuwapeleka uhamishoni ulaya kipindi cha utawala wao. Pia Roman Empire wakabadilisha jina la nchi yao kutoka Herodian Empire kwenda Palestine na kuruhusu wafilisti ambao kwa kiingereza tunawaita wapalestina kuwa watawala wa ardhi ya wa Israel. So wao wana haki ya kuclaim ardhi yao na ndio maana mataifa makubwa hayawagusi.
Upande wa kidini kuanzia Christianity, Islam na Jews wenyewe wanasadiki wao ndio nchi teule. Fuatilia kuhusu Abrahamic faiths utaelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.