george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,023
- Thread starter
- #21
Bei kubwa alafu wana kauli chafuuBalaaa sanaaa bei kubwa sanaq aseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei kubwa alafu wana kauli chafuuBalaaa sanaaa bei kubwa sanaq aseeee
Kuna sehemu niliulizia mkanda wa kuvalia suruali nikaambuwa 150k na 200kNinachokiona mimi kwa Dodoma wafanya biashara wanauza bei ya vitu kwa double price, hiyo inapelekea watu kuamua kuagiza mahitaji ya vitu kutoka DSM. Lakini pia Dodoma hakuna vitu vingi (varities) hivyo still watu wanaenda kuagiza vitu Dar. Nadhani hizo ni miongoni mwa sababu
Aisee dodoma ni nomaHivi wewe...hyo mbona bei ya kawaida sana...kama unafanya biashara lakin...tena unaambiwa ulipie kwa miaka miwil...na ukishindwa tuu siku tatu nyingi inapata mteja harqka sana...NB: location mara nyingi ni towns...lakin kwa laki saba ni kawaida haswa..
Sawa boss ila changamoto ndio sehemu ya maishaNimeona niongelee changamoto kwa upande wg
Hapana mkuuTaratibu Dodoma inamfuata JPM.
Kwa nini mkuuSiku zote huwezi lazimisha kujenga nchi.
Nchi hujengwa na watu kwa kufanya biashara. Maendeleo ya Dodoma ni ya kulazimisha.
SGR ikianza na ikawa na ratiba nzuri, hapo Dodoma itaumia zaidi
Ndio nashangaa hapoSawa boss ila changamoto ndio sehemu ya maisha
Ingawaje kama kuna hilo tatizo sirikali ibatakiwa ifanye jambo
Maana kufungwa maduka kawaida ila kuja level flan ikifikia ule ukawaida unaondoka na inakua janga
Sasa sijajua kwa huko dom zafungwa kikawaida ama imeishafikia tayari kwa naqba(janga)
KikaziWewe haupo Dodoma kikazi bali na wewe ni mfanyabiashara kwenye hizo fremu.
😄😀Walikimbiloa Dodoma kisiasa, acha wazifunge tu
😅😄😀Kachemka
Duu umetengenezwa na nini huo mkandaKuna sehemu niliulizia mkanda wa kuvalia suruali nikaambuwa 150k na 200k
😁😅Inasikitisha sana watu wachache wanakamuliwa
KabisaKufanyia kazi watu wengine si jambo zuri
Ngoja tuone wahusika wakuu watafanya jambo gani!!!Ndio nashangaa hapo
Mtaji wako ni shngap? Yaan kwa kifupi Elimu ya mlipa kod bado sanaSio hivo ndugu ila ni mifumo mibovu ya Kodi kandamizi