DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hivi wewe...hyo mbona bei ya kawaida sana...kama unafanya biashara lakin...tena unaambiwa ulipie kwa miaka miwil...na ukishindwa tuu siku tatu nyingi inapata mteja harqka sana...NB: location mara nyingi ni towns...lakin kwa laki saba ni kawaida haswa..
Mbona mkuu unacomment kimwamba sana?

Fuatilia kujua frem anazolalamikia kufungwa ni za biashara za mtaji wa kiasi gani.

Let say umefungua biashara ya duka la vyakula na vinywaji kwa mtaji wa sh. Millioni 5, hiyo kodi ya pango pamoja na kodi zingine za manispaa pamoja na kulipa msaidizi, utaziweza na ubaki na faida?

Wafanyabiashara wengi mjini mitaji yao ni midogo, hivyo ukubwa wa kodi za pango pamoja na utitiri wa kodi nyinginezo haziwezi kumwendeleza mfanyabiashara mdogo.

Na land lords wasipobadilisha misimamo yao kwa over expectations za kipato walizonazo kwa wapangaji wao, milango ya frem zao zitabakia closed bila faida yoyote.
 
Dodoma Pagumu ila kuna baadhi ya biashara kama ya Nafaka na vyakula unawezaza ifanya. Na uifanye kwa ukubwa mzunguko utauona, hukuna sehemu watu hawali.

Uza mchele jumla na reje toa shamba.

Ngano, Sukari na mafuta toa Dar kwenye mastoo ya wahindi waletee Wagogo uza chee kidogo kwa bei inayotembea sokoni.

Sabuni za miche na unga za kutosha jumla na rejareja

Malizia na Maji na vinywaji vya kutosha huu mji maji ni chumvi

Tia mzigo wa maana fremu tafuta mahali panafikika kirahisi na uwe na wasambazaji utapiga pesa mpaka utaikimbia..
 
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Umekuja na mumeo au uko pekee?
 
Mkiambiwa biashara ni mfumo mnabisha...biashara sio ya kila mtu...yaan unakuta familia nzima hamjawah fanya biashara afu unajipendekeza lazima uchochore haswa...
Sasa turudi nyuma kwenye hizo familia za wafanyabiashara ni lazima kuna mwana familia wa kwanza kabisa kuanza kufanya biashara kisha ndio wengine wakafuatia. Hoja yako haina mashiko.
 
Laki saba kwa mzungo gani wa biashara ,
700000/30= 23,333.33
Kwa siku lazima aweke 23,334 kwa ajili ya Kodi.
Alipe Kodi TRA
Alipe umeme
Alipe ushuru
Alipe usafiri per day
Ili biashara iwe vizuri lazima uwe na uwezo wa kupata faida laki moja na nusu kwa siku hafu ukitoa gharama zote hapo ubaki na hata 50000 kama net profit per day. Hapo biashara itasonga .
Ukiweza kulipa kodi 700k basi lazima mtaji pia utakua mkubwa sana.. si chini ya 50M. Alafu pia mfanyabiashara siku anataka aonewe huruma apige faida nyingi.
 
Tatizo la bongolala ni low purchasing power ya watu, wale wanaojiita middle class wakiwemo watumishi mishahara yao ni kiduchu na wanaishiwa mwanzoni tu mwa mwezi.......vipi watu wa tabaka la chini watakuwa na hali gani? utawasikia chawa kila uchwao wanaimba mama anaupiga mwingi.​
 
Ninachokiona mimi kwa Dodoma wafanya biashara wanauza bei ya vitu kwa double price, hiyo inapelekea watu kuamua kuagiza mahitaji ya vitu kutoka DSM. Lakini pia Dodoma hakuna vitu vingi (varities) hivyo still watu wanaenda kuagiza vitu Dar. Nadhani hizo ni miongoni mwa sababu
Varities = varieties. Congratulations my brother. You really have a calling in BROKEN ENGLISH
 
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
sasa dodoma ni pakuweka frem kwa shilingi laki saba?
 
Hao wanaofunga maduka ni wapuuzi. Ni wale watu wenye mihemko wakisikia kitu badala ya kufanya utafiti. Kuna wakati kulikuwa na upepo wa gesi ya Mtwara watu wakakimbilia kujenga hadi mahoteli ya kisasa matokeo yake ni kilio. Dodoma inakuzwa sana ila kiuhalisia hakuna kitu. Kusipokuwepo na mikutano Dom huwa ni ya hovyo. Mfanyabiashara smart hatakiwi kuwa na mihemko ya kijinga.
 
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Siyo Dodoma tu ni Nchi nzima
 
Back
Top Bottom