DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Wengi walidhani Dodoma ni jiji la biashara kumbe sio Magufuli aliwadanganya lakini fulemu nyingi za watumishi wa umma hata wakazifunga sawa tu hawanaga hasala hao pesa kwao ya kuchota
 
Ninachokiona mimi kwa Dodoma wafanya biashara wanauza bei ya vitu kwa double price, hiyo inapelekea watu kuamua kuagiza mahitaji ya vitu kutoka DSM. Lakini pia Dodoma hakuna vitu vingi (varities) hivyo still watu wanaenda kuagiza vitu Dar. Nadhani hizo ni miongoni mwa sababu
Unaongelea mawaziri sio au na watu wakawaida?
 
Laki saba kwa mzungo gani wa biashara ,
700000/30= 23,333.33
Kwa siku lazima aweke 23,334 kwa ajili ya Kodi.
Alipe Kodi TRA
Alipe umeme
Alipe ushuru
Alipe usafiri per day
Ili biashara iwe vizuri lazima uwe na uwezo wa kupata faida laki moja na nusu kwa siku hafu ukitoa gharama zote hapo ubaki na hata 50000 kama net profit per day. Hapo biashara itasonga .
 
Nipo dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la dodoma fatilieni hili swala , Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara ,
Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa dodoma kuwa kubwaa mno , inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
Npo Dodoma aseeh maisha mji huu yapo juu na pesa kuipata ni hadi kuhenya sanaa
 
Laki saba kwa mzungo gani wa biashara ,
700000/30= 23,333.33
Kwa siku lazima aweke 23,334 kwa ajili ya Kodi.
Alipe Kodi TRA
Alipe umeme
Alipe ushuru
Alipe usafiri per day
Ili biashara iwe vizuri lazima uwe na uwezo wa kupata faida laki moja na nusu kwa siku hafu ukitoa gharama zote hapo ubaki na hata 50000 kama net profit per day. Hapo biashara itasonga .
Ni kweli Tena iwe faida tu
 
Back
Top Bottom