FromMahoma
Member
- Oct 13, 2016
- 73
- 36
Hapo issue siyo koloni, bali lugha inayotumika ya taifa husika. Katofautisha French speaking and non French speaking.Rwanda,Burundi na Congo zilitawaliwa na waBelgiji.Any way mkoloni aliwawekea msingi wa kuwafanya wachukiane wao kwa wao ili awatawale vizuri,mfano tutsi na hutu
Lugha inayotumika?Rwanda,Burundi na Congo zilitawaliwa na waBelgiji.Any way mkoloni aliwawekea msingi wa kuwafanya wachukiane wao kwa wao ili awatawale vizuri,mfano tutsi na hutu
Wewe nawe ,unafikiri waliongea tu French bila kuwa colonized.Tatizo huwa hamfikirii outside the box.Kolonie ni issue maana ndo msingi wa wao kuongea French. Mfyuuuuu mpo vilaza sana.Hapo issue siyo koloni, bali lugha inayotumika ya taifa husika. Katofautisha French speaking and non French speaking.
Ni French,ila Lugha wala si cause.Lugha inayotumika?
Mtoa mada alisema French speaking nations.Ni French,ila Lugha wala si cause.
9-Niger pia ni french. Hata ukisoma chanzo cha vita ya vietnam mchokozi alikuwa ufaransa, mmarekani akajinunulia kesi akajiingiza ili kuitunishia msuli urusi.1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking
Take a look at the non-french speakers.. (After independence)
1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
==========================
View attachment 27162069.) Hivi Niger nayo ni French speaking?
Sasa lugha kama lugha inakuwaje sababu?Ndo maana mimi nimekwenda deep zaidi nikasema wafaransa na binamu zao wabelgiji ndo sababu ,the way walivyoeneza ukoloni,na the way walivyoendelea kuwa nao baada ya ukoloni. Refer kifo cha Sankara na cha Lumumba.Mtoa mada alisema French speaking nations.
Nadhani alimaanisha Ufaransa either alitawala au hakutawala alitumia huo mwanya wa lugha kupenya na kufanya uhuni
Hapo tupo pamoja kwa umojaSasa lugha kama lugha inakuwaje sababu?Ndo maana mimi nimekwenda deep zaidi nikasema wafaransa na binamu zao wabelgiji ndo sababu ,the way walivyoeneza ukoloni,na the way walivyoendelea kuwa nao baada ya ukoloni. Refer kifo cha Sankara na cha Lumumba.
Hapo tupo pamoja kwa umojaSasa lugha kama lugha inakuwaje sababu?Ndo maana mimi nimekwenda deep zaidi nikasema wafaransa na binamu zao wabelgiji ndo sababu ,the way walivyoeneza ukoloni,na the way walivyoendelea kuwa nao baada ya ukoloni. Refer kifo cha Sankara na cha Lumumba.
Ila pia Ujue ,wananchi nao wana kosa la kukubali hili.Hasa viongozi wanaokubali kutumiwa ,refer Blaise Compaore alivyomsaliti Sankara, baada ya FranΓ§ois Miterand kumshindwa kabisa Sankara na ikabidi amtumie Blaise kumeliminate Sankara.Pia Mobotu alivyotumiwa na wa belge kumeliminate LumumbaHapo tupo pamoja kwa umoja
Duh ndo nimejua leo kaa c.c.m inaongea kifaransaBado ccm long time
ππππππ π€£π€£π€£π€£π€£πDuh ndo nimejua leo kaa c.c.m inaongea kifaransa
Nafikiri ujamwela mwandishi francophone ndio mataifa yenye mapinduzi tatizo ni nn? Na sio colonizationRwanda,Burundi na Congo zilitawaliwa na waBelgiji.Any way mkoloni aliwawekea msingi wa kuwafanya wachukiane wao kwa wao ili awatawale vizuri,mfano tutsi na hutu
Uzi wako unaishi[emoji4]Gabon , French speaking
Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda...www.jamiiforums.com
View attachment 2733737
Mayote IslandAssimilation policy ndio jibu nililopewa mwaka 2013 wakati naanzisha huu uzi, ni kwamba hata Comoro kuna kisiwa kimeshakuwa assimilated na ufaransa, na wanatumia euro na kuongea kifaransa, kiufupi wanajiona wafaransa, basi kila mtu anataka aende huko hata kucheza soka tu.
Kumbe kile kisiwa ni French speaking? Duuh