CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Is
Islam hata wakiwa 10% Tu Ni Shida...kama ufaransa wako chini ya 1% lakini kasheshe wanayowaletea sio ya kitoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Is
Islam hata wakiwa 10% Tu Ni Shida...kama ufaransa wako chini ya 1% lakini kasheshe wanayowaletea sio ya kitoto
Natamani kukuoa🥰Rwanda,Burundi na Congo zilitawaliwa na waBelgiji.Any way mkoloni aliwawekea msingi wa kuwafanya wachukiane wao kwa wao ili awatawale vizuri,mfano tutsi na hutu
Hivi Tanzania Islam ni % ngapiIs
Islam hata wakiwa 10% Tu Ni Shida...kama ufaransa wako chini ya 1% lakini kasheshe wanayowaletea sio ya kitoto
Mozambique shida imeanza hapa majuzi baada ya Total ya Ufaransa kwenda kufanya iwekezaji wa kuchimba gas. Kumbuka huu uzi ni wa mwaka 2013Namba 7 sio kweli Mozanboque peace?
n, somalia,gambia,sierra leone???1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking
Take a look at the non-french speakers.. (After independence)
1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Ng'ombe 100 unazo ?Natamani kukuoa🥰
Mbona unataka kunikomoa sasa>Ng'ombe 100 unazo ?
Mkono mtupu haulambwi.Mbona unataka kunikomoa sasa>
Kasheshe gani walioleta ufaransa? Any data to prove your point?Is
Islam hata wakiwa 10% Tu Ni Shida...kama ufaransa wako chini ya 1% lakini kasheshe wanayowaletea sio ya kitoto
Nini kifanyike mkuuUfaransa wanataka rasilimali toka Afrika hasa mafuta, hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanaweka viongozi watiifu kwa Ufaransa kwenye makoloni yao ya zamani
Kama alivyowahi sema rais wa zamani wa Ufaransa bwana Francois Mitterand
"Bila ya Afrika Ufaransa ingekuwa na historia yoyote Karne ya 21"
Kwa nyongeza Ufaransa wana maslahi mapana sana ya kiuchumi ktk makoloni yao ya zamani, maana makampuni yao ya Mafuta kama Total yanachimba mafuta kwenye nchi hizo huku nao wakichapisha fedha kwa nchi kadhaa za Afrika kumaanisha kuwa fedha hizo zinadhibitiwa na Benki kuu ya Ufaransa.
Ktk hali hiyo ni muhimu kuhakikisha nchi hizo zinakua salama (hasa wa watu walowaweka), ndio maana kitisho chochote cha usalama Ufaransa huwa mstari wa mbele kuingilia kati, chokochoko za kiusalama huwa ni fursa muhimu kqa Ufaransa kuzidi kuzishikilia nchi za Afrika ndio maana unaona haziishi...mara ugaidi mara mapinduzi (Coup dé tat).
Dunia imebadilika sana na kuna mbinu kadha wa kadha za kuhakikisha malengo yanatimia.Nini kifanyike mkuu
Usiamini uwongo, mbona watu wanalambaga mkono mtupu kupata radha ya chumvi toka mkononi?Mkono mtupu haulambwi.
Usikute kaweka tu hiyo Avatar tegesha kwani sio ya kwake. Angalia usije ukauziwa mbuzi ndani ya gunia.Natamani kukuoa🥰
Chonka abatutsi musela bojo! Tikamaizi!Ng'ombe 100 unazo ?