Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

Nafikiri hitimisho ni kuwa mataifa yote hayo yana madini mengi na yote ukiangalia wana dhahabu, almasi na uranium pamoja na copper
Wazungu waligawana mataifa yetu ili wanyonye rasilimali zetu ila kidogo waingereza wana heshimu kidogo utu kuliko wafaransa na wabelgiji
Wafaransa wao mbinu za kuchonganisha bado wanaendeleza mpaka sasa
Nimeangalia nchi zote hizo zimeshiba madini na ndio chanzo cha kuwachonganisha ili waibe kiulaini

Wanatengeneza waasi na kuwapa silaha huku wakijifanya urafiki na serikali
 
Hapa inabidi ujiulize swali moja ni nani anasababisha vita middle east hadi kesho jibu ni US kwa kutumia magaidi wa kiarabu (mfano IS). Swali la pili je ni nani aliongoza vita ya kumuondoa gadafi kwa kutumia waasi jibu ni US(obama alishawahi kusema anajutia kufanya hivyo) . Swali la tatu je ni machafuko ya aina gani yaliyopo kwenye hizo nchi za francophone ni machafuko kati ya serekali dhidi ya wanamgambo wa kiislam wanao fungamana na IS au ni IS wenyewe, tumeskia IS saiv wapo mali, burkina faso, congo, msumbiji na nchi zinginezo kwa hiyo jibu lipo wazi mbinu walizotumia us middle east wakafanikiwa sasa wanazileta africa ili waendelee kutawala dunia
 

Nilikuwa sijaisoma hii
Asante Boss
Naona hata huko madini kibao na Kagame kanusa fursa na kaipata
Sisi tulikuwa tunasaidia mataifa kujikomboa ila jamaa ana tactic za wazungu naona
Kweli kila mmoja ana maoni yake
Ila yanatoendelea dunia ya leo lazima uangalie na kujiuliza maswali mengi sana na kusoma mengi
 
Mjerumani aliendekeza tamaa.
Angekaa Tz mpka uhuru angetengeneza vitu vikubwa mno.
Yawezekana tungekuwa developed kuliko taifa lolote Africa.
Tungekuwa Germany speaking country
[emoji848][emoji848][emoji848]nimekuelewa mkuu!
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Hata zilizotawaliwa Na mreno ni yaleyale tu !
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Tengeneza vurugu, mauwaji, chukuwa mali, uza silaa, chukuwa madini.
 
French Embassy > Adolph > Gaidi > Mozambique > Total > French company > Sirro > Majeshi yapo Msumbiji > Oil and Gas 😂😂😂😂😂, ukiwa na akili raha sana 😂😂😂🤣🤣🤣, NB: Sitaki majojiano yeyote 🤣🤣🤣
 
French-speaking countries sio french-colonies wadau.. Burundi, Rwanda speak french despite being ruled by the Belgium

Kwa swali lako jibu ni moja tu hizo nchi nyingi hapo masheikh ni wengi ndio maana vita haziishi huko. Unajua hawa watu hata wakiwa wao pekee nchi nzima kama Somalia bado hawaelewanu
Eti unasema Somalia?!
 
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Itoe Mozambique usawa huu
 
French-speaking countries sio french-colonies wadau.. Burundi, Rwanda speak french despite being ruled by the Belgium

Kwa swali lako jibu ni moja tu hizo nchi nyingi hapo masheikh ni wengi ndio maana vita haziishi huko. Unajua hawa watu hata wakiwa wao pekee nchi nzima kama Somalia bado hawaelewanu
Na kweli,ona sasa Afghanistan wamebaki wenyewe,ila subiri uone
 
Back
Top Bottom