mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Napenda your humor, ndiyo maana nimemtania nikijuwa fika si yeye kwenye avatar. Kwa taarifa yako, mpaka leo hajanijibu kwa sababu anajuwa si yeye kwenye avatar.Usikute kaweka tu hiyo Avatar tegesha kwani sio ya kwake. Angalia usije ukauziwa mbuzi ndani ya gunia.
Kweli kabisa 100% correct.Napenda your humor, ndiyo maana nimemtania nikijuwa fika si yeye kwenye avatar. Kwa taarifa yako, mpaka leo hajanijibu kwa sababu anajuwa si yeye kwenye avatar.
Duh!Because they're free to resist any oppression lodged by their oppressors. However, English speaking African countries are no better.
Aongeze Algeria na Morroco pia, ila magharibi mwa Afrika tatizo nyingine pia inayochochea vurugu ni dini ya kiislamKama ni French speaking ongeza na TUNISIA
Nadhani Ufaransa pia ana sera ya ‘destabilization’ ili kuweza kufanya unyonyaji wa makoloni yake ya zamani kirahisi. Hii ni moja ya sababuSababu kubwa ninkuwa mkoloni mfatansa kwenye political administration yuko dhaifu sana
Mifumo ya kisiasa ya mkoloni.mwingereza aliiweka mizuri mno kuliko mfaranda
KabisaNadhani Ufaransa pia ana sera ya ‘destabilization’ ili kuweza kufanya unyonyaji wa makoloni yake ya zamani kirahisi. Hii ni moja ya sababu
Ni Mataifa Yanayozungumza Kifaransa sio yaliyotawaliwa na Mfaransa, japo si yote.Tatizo watu mnaangalia zaidi leo na hamjui historia kwani kila nchi imekuwa na matatizo katika kipindi fulani.
Kuna kipindi hiyo hali ilikuwa ikizikabili hata mataifa yaliyotawaliwa na Uingereza, Spain na hata Ureno vilevile.
Tuliona Sudan na hadi leo hii bado tunaona Sudan ni shida tupu, tuliona Uganda, Ghana, Nigeria, Sierra Leone, Gambia, Zimbabwe, vurugu za Kenya kila baada ya uchaguzi.
Hata hapa Tanzania hamna amani yoyote ila kuna ka utulivu tu lakini huko tuendako tusitegemee hali hii kuendelea kwa aina ya utawala huu tulio nao, safari bado ndefu sana.
Mataifa yaliyotawaliwa na Ureno kama Guinea Bissau, Msumbiji na Angola yamekuwa kwenye vurugu kwa muda mrefu sana.
Tukiangalia mataifa yaliyotawaliwa na Ubelgiji kama Congo, Rwanda na Burundi ni yale yale, hivyo kusema vurugu ni kwa mataifa yaliyotawaliwa na Ufaransa tu ni kutokujua wapi tumetoka na bado kuna mataifa mengine ambayo hayakutawaliwa na Ufaransa wala nani kama Ethiopia na Liberia wote wana changamoto hizo hizo.
Bado Somalia iliyotawaliwa na Uingereza, Ufaransa na Italia ndio shida kabisa. Hivyo huwezi kusema ni mataifa yaliyotawaliwa na Ufaransa tu ndizo zenye shida labda kwa sasa na mifumo ya jeshi katika nchi hizo ni tofauti sana na nchi kama Tanzania ambapo jeshi linakuwa ni kitengo cha chama tawala.
Hapo ndo assimilation inapowakolea vizuri.Afu cjui kwa nini huwa wana ndoto ya kuishi french tu.kila raiya ana dream ya kwenda Ufaransa
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking
Take a look at the non-french speakers.. (After independence)
1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking