Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Ebu thibitisha kuwa ni serikali ya ccm na magufuli ndio wahusika
Wakikuthibitishia hili tena kwa 'Ushahidi' ulio 'Kuntu' kabisa Mkuu, Kesho Asubuhi MP wa Lugalo wakiwa 'Parade' nitajisaidia 'Kojo' pale Main Gate.
 
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu

Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Sisi tuko na Ponda... Jina langu la Kiislamu ni Dulla.
 
Watanzania wengi kwa wingi wetu tunaenda kumkataa kwa nguvu zote huyo mgombea wako hapo Oktoba 28.

Sababu kuu ni kuwa hafai kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa sababu ni mtu mwenye roho mbaya, katili , muuaji na fedhuli kupindukia. Ameua sana watu, ametesa sana watu, kuteka watu, kuwabambikia kesi na kupiga sana watu risasi.
Sio ivyo tu, ameharibu uchumi na kusababisha bei ya bidhaa adhimu sukari kupanda maradufu, huku akiharibu biashara za mazao kama Tumbaku, Kahawa, Korosho na Mbaazi. Ameharibu biashara kusababisha biashara nyingi kufungwa na mwisho amewatesa na kuwanyanyasa sana wafanyakazi
Yaani wewe dada yako na mumewe ndio imeshakuwa wa Tanzania wote? [emoji16][emoji23]
 
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu

Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Kura zote kwa jemadari rais John Pombe Joseph Magufuli GENTAMYCINE 😍😍😍
 
Hata pale mama na Shangazi yako wanavyodhalilishwa kiasi hiki siyo? 😳

Siku zote Mti mzuri na unaotoa Matunda ( hasa Maembe ) mengi ndiyo huwa unapigwa sana Mawe.
 
Kura zote za Watanzania wanaojitambua kwa Lissu.
 
MNAFIKI huyu ni wa kutosa tu. Usipoteze kura yako October 28. Lissu ndiyo Rais wetu ajaye.
 
huyu ndio Rais wa Tanzania na Makamu wake

hutaki kata mapumbu yako ule
IMG_20201020_213934.jpg
 
Back
Top Bottom