Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Siku zote Mti mzuri na unaotoa Matunda ( hasa Maembe ) mengi ndiyo huwa unapigwa sana Mawe.
Uzuri wa watanzania wakishaamua jambo lao likawapendeza moyoni huwezi wabadilisha hata uongee vipi.
Hili la vitambulisho vya mmachinga jaribu tuu kupita mtaani uwaambie wafanyabiashara usikie majibu yao😁😁 wanakuambia Magufuli ametupa amani ya roho tunafanya biashara popote ifike tarehe 28 tukampe tena....
 
Uzuri wa watanzania wakishaamua jambo lao likawapendeza moyoni huwezi wabadilisha hata uongee vipi.
Hili la vitambulisho vya mmachinga jaribu tuu kupita mtaani uwaambie wafanyabiashara usikie majibu yao😁😁 wanakuambia Magufuli ametupa amani ya roho tunafanya biashara popote ifike tarehe 28 tukampe tena....
Labda mmachinga wa nyumbani kwako. Ingekuwa ivyo huyo mgombea wenu asingesema vitambulisho si lazima
 
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu

Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Umeshachelewa mkuu sisi tumeshaamua kufanya jambo letu muhimu tarehe 28 🤣🤣🤣
 
Kura yako moja hai haribu kitu, kingine kuna watu ni wanafiki kupitiliza mtu anampa promo mgombea wa CCM na wakati kuanzia uhuru hakuna chama cha upinzani kilichowahi kuongoa nchi , unakuta watu wanachotwa akili na propaganda uchwara.

CCM ikubali tu kuachia nchi siku za karibuni , kwa miaka yote 59 imebaki kupiga kampeni za maji, elimu, afya hatujifunzi hata kwa nchi nyenginezo Afrika.
 
Watanzania wengi kwa wingi wetu tunaenda kumkataa kwa nguvu zote huyo mgombea wako hapo Oktoba 28.

Sababu kuu ni kuwa hafai kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa sababu ni mtu mwenye roho mbaya, katili , muuaji na fedhuli kupindukia. Ameua sana watu, ametesa sana watu, kuteka watu, kuwabambikia kesi na kupiga sana watu risasi.
Sio ivyo tu, ameharibu uchumi na kusababisha bei ya bidhaa adhimu sukari kupanda maradufu, huku akiharibu biashara za mazao kama Tumbaku, Kahawa, Korosho na Mbaazi. Ameharibu biashara kusababisha biashara nyingi kufungwa na mwisho amewatesa na kuwanyanyasa sana wafanyakazi
Una sound kama very selfish man...yaan jitu flan binafsi sana
 
Kura yako moja hai haribu kitu, kingine kuna watu ni wanafiki kupitiliza mtu anampa promo mgombea wa CCM na wakati kuanzia uhuru hakuna chama cha upinzani kilichowahi kuongoa nchi , unakuta watu wanachotwa akili na propaganda uchwara.

CCM ikubali tu kuachia nchi siku za karibuni , kwa miaka yote 59 imebaki kupiga kampeni za maji, elimu, afya hatujifunzi hata kwa nchi nyenginezo Afrika.
Kura zetu nyingi ni kwa John Pombe Magufuli sio kura moja ya GENTAMYCINE peke yake😁😁
 
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu

Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Ila ni mwizi,/double standard, muongo na mzee wa visasi.

Na atuamnie kuwa Ben saanane yuko wapi?
 
Uzuri hivyo ndo watanzania watawafanya Ccm muwe baada ya Oktoba 28. Uzuri umeweka clip sahihi kuonesha ni kwa jinsi gani mmewasononesha wafanyakazi kwa miaka yote hii 5.
Jiandaeni tu kumkabidhi ikulu mpakwa mafuta wa Mungu, Tundu Antiphas Lissu
Hiyo ni kabla ya kuongea na jembe John Pombe Magufuli. Tundu anasubiri sana hata zile kazi ndogo ndogo hapati
 
Kwenye Tundu weka Magufuli
Asubutuuuuu.
Chama miaka 28 na nusu kinapokea ruzuku ila hata maendeleo ya chama wala wanachama hakina!!! Hakina payroll ya viongozi wa matawi wala office za chama
 
Back
Top Bottom