Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Umepiga gia angani, ulidai hutapiga kura hadi iwepo Tume huru

Kwahiyo unaenda kupiga Kura , kwa Tume hii hii?

Hii hii na utaona madhara ya kutokuwa na tume huru. Tukiiomba kwa amani mnatuona mafala, ngoja tuonyeshe madhara ya kuendelea na tume isiyo huru.
 
Asubutuuuuu.
Chama miaka 28 na nusu kinapokea ruzuku ila hata maendeleo ya chama wala wanachama hakina!!! Hakina payroll ya viongozi wa matawi wala office za chama
Kwani Tanu walipokuwa wanapambana na serikali ya mkoloni walikuwa na ofisi au payroll pamoja na kuchangiwa sana na wafanyabiashara wa kipindi hiko kina Sykes???
 
Kwani Tanu walipokuwa wanapambana na serikali ya mkoloni walikuwa na ofisi au payroll pamoja na kuchangiwa sana na wafanyabiashara wa kipindi hiko kina Sykes???

Tanu walipambana na mkoloni miaka 28 na nusu !???? 🤣🤣🤣🤣

Tanu walikua na ruzuku???

Tanu walipigania kuwatetea wazungu kubeba rasilimali zetu na kuweka madini yetu rehani ili tupate pesa ZA kuendesha nchi???

Tanu walichangiwa na wafanya biashara nyie mnazochangiwaga na wafanya biashara mnapeleka wapi??

Maendeleo tunayoyataka yanatekelezwa na Dr John Pombe Magufuli na 28.10.2020 yeye anatosha
 
Tanu walipambana na mkoloni miaka 28 na nusu !???? 🤣🤣🤣🤣

Tanu walikua na ruzuku???

Tanu walipigania kuwatetea wazungu kubeba rasilimali zetu na kuweka madini yetu rehani ili tupate pesa ZA kuendesha nchi???

Tanu walichangiwa na wafanya biashara nyie mnazochangiwaga na wafanya biashara mnapeleka wapi??

Maendeleo tunayoyataka yanatekelezwa na Dr John Pombe Magufuli na 28.10.2020 yeye anatosha
Kwa iyo Nani anampigania mzungu kubeba rasilimali??? Mlivyomshtaki Tundu Lissu akipambana na nyie kuhusu migodi ya Bulyanhulu na Nyamongo alikuwa anampigania mzungu gani ?????

Unauliza Tanu walikuwa na Ruzuku alafu unakiri Tanu walichangiwa na wafanyabiashara sasa wewe akili yako iko sawa kweli????

Jibu swali ukiloulizwa Tanu walijenga ofisi gani kwa fedha walizokuwa wanachangiwa na wafanyabiashara???
 
Kwa iyo Nani anampigania mzungu kubeba rasilimali??? Mlivyomshtaki Tundu Lissu akipambana na nyie kuhusu migodi ya Bulyanhulu na Nyamongo alikuwa anampigania mzungu gani ?????

Unauliza Tanu walikuwa na Ruzuku alafu unakiri Tanu walichangiwa na wafanyabiashara sasa wewe akili yako iko sawa kweli????

Jibu swali ukiloulizwa Tanu walijenga ofisi gani kwa fedha walizokuwa wanachangiwa na wafanyabiashara???

28.10 utaelewa sana
 
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu

Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Magufuli hataki kura yako mnafiki mkubwa wewe.
 
Wapenda maendeleo wote 0ctober 28th watakuwa na kazi ndogo tuu ni kuweka tick kwenye kibox cha mtu wa kwanza kabisa naye si mwingine ni JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu

Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Sababu wewe ni popoma tu, hamna sababu nyengine
 
Kura zetu nyingi ni kwa John Pombe Magufuli sio kura moja ya GENTAMYCINE peke yake😁😁
Hiyo ni haki yako kikatiba kupiga kura ila jifunze kuto generalize mambo, kura zenu na nani? Wewe na familia yako? Au wewe na gentamycine?
 
Mimi na watanzania wenzangu ikiwa familia yangu na rafiki zangu na majirani zangu kina GENTAMYCINE na wengine wote

KUNA SEHEMU NIMEKUTAJA WEWE???
Rudia kusoma ulichoandika hapo [emoji115],,,,, ili nijue kama kweli hauna iq ya sisimizi.
Yaaani uandishi wenyewe shida [emoji53].
 
Back
Top Bottom