Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

Ebu thibitisha kuwa ni serikali ya ccm na magufuli ndio wahusika
Wakikuthibitishia hili tena kwa 'Ushahidi' ulio 'Kuntu' kabisa Mkuu, Kesho Asubuhi MP wa Lugalo wakiwa 'Parade' nitajisaidia 'Kojo' pale Main Gate.
 
Sisi tuko na Ponda... Jina langu la Kiislamu ni Dulla.
 
Yaani wewe dada yako na mumewe ndio imeshakuwa wa Tanzania wote? [emoji16][emoji23]
 
Kura zote kwa jemadari rais John Pombe Joseph Magufuli GENTAMYCINE 😍😍😍
 
Atoswe tu muongo huyu!
 
Hata pale mama na Shangazi yako wanavyodhalilishwa kiasi hiki siyo? 😳
Siku zote Mti mzuri na unaotoa Matunda ( hasa Maembe ) mengi ndiyo huwa unapigwa sana Mawe.
 
Kura zote za Watanzania wanaojitambua kwa Lissu.
 
MNAFIKI huyu ni wa kutosa tu. Usipoteze kura yako October 28. Lissu ndiyo Rais wetu ajaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…