Na wewe umeamua utapiga kura ? Msimamo wako si ilikuwa bila Tume huru hautapiga kura ? Au nimekufananisha
Umepiga gia angani, ulidai hutapiga kura hadi iwepo Tume huruUwepo wa Tundu Lisu kama game changer, na matokeo ya uchaguzi yatasababisha kupata tume huru.
Umepiga gia angani, ulidai hutapiga kura hadi iwepo Tume huru
Kwahiyo unaenda kupiga Kura , kwa Tume hii hii?
Popoma at work , mnalipwaga sh. Ngร pi? Kuandika ujinga.Huyu 'Mgombea' wako uliyemtaja hapa nimesikia za chini chini kuwa anaweza 'Kujitoa' katika lala salama hii hivyo labda 'ukamchague' Lipumba.
Kwani Tanu walipokuwa wanapambana na serikali ya mkoloni walikuwa na ofisi au payroll pamoja na kuchangiwa sana na wafanyabiashara wa kipindi hiko kina Sykes???Asubutuuuuu.
Chama miaka 28 na nusu kinapokea ruzuku ila hata maendeleo ya chama wala wanachama hakina!!! Hakina payroll ya viongozi wa matawi wala office za chama
Kwani Tanu walipokuwa wanapambana na serikali ya mkoloni walikuwa na ofisi au payroll pamoja na kuchangiwa sana na wafanyabiashara wa kipindi hiko kina Sykes???
Kwa iyo Nani anampigania mzungu kubeba rasilimali??? Mlivyomshtaki Tundu Lissu akipambana na nyie kuhusu migodi ya Bulyanhulu na Nyamongo alikuwa anampigania mzungu gani ?????Tanu walipambana na mkoloni miaka 28 na nusu !???? ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Tanu walikua na ruzuku???
Tanu walipigania kuwatetea wazungu kubeba rasilimali zetu na kuweka madini yetu rehani ili tupate pesa ZA kuendesha nchi???
Tanu walichangiwa na wafanya biashara nyie mnazochangiwaga na wafanya biashara mnapeleka wapi??
Maendeleo tunayoyataka yanatekelezwa na Dr John Pombe Magufuli na 28.10.2020 yeye anatosha
Kwa iyo Nani anampigania mzungu kubeba rasilimali??? Mlivyomshtaki Tundu Lissu akipambana na nyie kuhusu migodi ya Bulyanhulu na Nyamongo alikuwa anampigania mzungu gani ?????
Unauliza Tanu walikuwa na Ruzuku alafu unakiri Tanu walichangiwa na wafanyabiashara sasa wewe akili yako iko sawa kweli????
Jibu swali ukiloulizwa Tanu walijenga ofisi gani kwa fedha walizokuwa wanachangiwa na wafanyabiashara???
Nafikiri iyo clip ya Mwalimu Nyerere ni vizuri ukajiwekea wewe na ikakusaidia kujitafakari zaidi. Maana anayosema ndo hivyo ulivyoView attachment 1607022
28.10 utaelewa sana
Magufuli hataki kura yako mnafiki mkubwa wewe.1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu
Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
utajielewa asubuhi ya tarehe 29 mwezi huu huuNafikiri iyo clip ya Mwalimu Nyerere ni vizuri ukajiwekea wewe na ikakusaidia kujitafakari zaidi. Maana anayosema ndo hivyo ulivyo
Nadhani wewe ndo utajielewa vizuri siku iyoutajielewa asubuhi ya tarehe 29 mwezi huu huu
Sababu wewe ni popoma tu, hamna sababu nyengine1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu
Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dkt. John Magufuli tu.
Tunajua alitekwa na kupelekwa kwa Jiwe. Kwa iyo ilo swali muulize Jiwe
Hiyo ni haki yako kikatiba kupiga kura ila jifunze kuto generalize mambo, kura zenu na nani? Wewe na familia yako? Au wewe na gentamycine?Kura zetu nyingi ni kwa John Pombe Magufuli sio kura moja ya GENTAMYCINE peke yake๐๐
Mimi na watanzania wenzangu ikiwa familia yangu na rafiki zangu na majirani zangu kina GENTAMYCINE na wengine woteHiyo ni haki yako kikatiba kupiga kura ila jifunze kuto generalize mambo, kura zenu na nani? Wewe na familia yako? Au wewe na gentamycine?
Rudia kusoma ulichoandika hapo [emoji115],,,,, ili nijue kama kweli hauna iq ya sisimizi.Mimi na watanzania wenzangu ikiwa familia yangu na rafiki zangu na majirani zangu kina GENTAMYCINE na wengine wote
KUNA SEHEMU NIMEKUTAJA WEWE???
Wote๐๐๐๐Rudia kusoma ulichoandika hapo [emoji115],,,,, ili nijue kama kweli hauna iq ya sisimizi.
Yaaani uandishi wenyewe shida [emoji53].