Uchaguzi 2020 Kwanini GENTAMYCINE 'nitamchagua' haraka sana Mgombea 'Urais' wa CCM Dkt. Magufuli hiyo 28, Oktoba 2020?

WoteπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ’ƒ
Usipanick
Sjawahi kupaniki kwenye maisha yangu, na ndo mana nikakwambia hata mkipiga ni haki yenu kikatiba so haitabadilisha chochote .😐
 
Rudia kusoma ulichoandika hapo [emoji115],,,,, ili nijue kama kweli hauna iq ya sisimizi.
Yaaani uandishi wenyewe shida [emoji53].
Acha kujidhalilisha kaka soma tena alichoandila huy mdada,
Kwani wewe jirani yake ? Hao majirani zake Sio Watanzania ? Hao rafiki zake Sio Watanzania ?

Usisahau kumpigia kula MAGUFULI Okay ??
 
Acha kujidhalilisha kaka soma tena alichoandila huy mdada,
Kwani wewe jirani yake ? Hao majirani zake Sio Watanzania ? Hao rafiki zake Sio Watanzania ?

Usisahau kumpigia kula MAGUFULI Okay ??
Kumbe wote mna uelewa sawa? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani umeshindwa kuona mapungufu hapo kwenye post yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , ama kweli nazidi kuamini kuwa ukiwa ccm umeshikwa hadi ufahamu.

N.b
Ni kura na siyo kula .
Mwisho kabisa kura ni siri ya mtu .
 

Wengi wanedhulumiwa haki zao

Sheria ya Kuondoa FAO la ya 2018 inapora haki za wanyonge.

Kwanini wao wabunge walipwe pension zao zote?.

Watu sekta binafsi wamefukuzwa kazi na wengine mikataba kuisha... kwanini wananyimwa fao la kujitoa?

Kikotoo, Sheria ifutwe

Kikwete na Late mkapa walilipa watu wote fao la kujitoa
 
We wehu!! kwani wakimbizi mnaruhusiwa kupiga kura??
 
Wanufaika nae
 
yes brother john the president ni jasiri sana tena muwazi akiahidi anatenda
 
Umepotoka kijana, unaachwa na treni ya ukombozi!
 
Pamoja sana! Tano tena kwa mzoefu JPM 2020, kwa ustawi na maendeleo ya Nchi!
 
Subiri vijana wenzako wako bavicha waje kukuporomeshea matusi ya nguoni.


Hata mimi Magufuli anayo kura yangu kibindini.
 
Hapo ilikuwa lini?

Je tangu wakati huo hadi leo unazani bado relevance ya kile alichokisema kwa kuzingatia muktadha mzima ipo? Au la?

Mabadiliko yapo ila ni hasi

Tangu wakati ule ufipa hapajabadilika,
wanachama hawaongezeki wanapungua,
Mafisadipapa wamepewa nafasi za kugombea urais,
Sasaivi wanajaribu kuweka madini rehani ulaya na amerika wapate pesa
 
Niko na wewe Genta,100 kwa 100,tena mnyama mwenzetu haa haa
 
Hawa wote 'hawajauliwa' na Rais Dkt. Magufuli wala Serikali yake na hata 'Kudhuriwa' kwa Tundu Lissu Yeye, CCM na Serikali havihusiki kabisa pia.
Mkuu mbona unajivua nguo.....!!?

Ama kweli njaa mbaya, nahis unafikiri hakuna maisha nje ya Chama.....
Pole Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…