Kwanini gesti?

Kwanini gesti?

hivi ni wakati gani mwanamume/mwanamke anaamua kwamba
haya ni mahusiano thabiti? manake nina wasiwasi na idadi itakayobidi
ipelekwe home kabla mtu hajaamua "huu ni uhusiano thabiti"
Wakati wowote baada ya kila mmoja kuona mwenzake anamfaa na kukubaliana hivyo!Na sidhani kama kipimo kiko gesti!
 
Ha ha ha ha! Nilikuwa nimejitune kusoma post zote hadi mwisho kabla sijasema chochote, lakini mkuu umenichekesha. Mumgu akulipe nini? Mshahara wa dhambi ni mauti. Sasa kwani huyo wa hivo anakuwa mkeo?
hivi LD wewe unaweza kumkataa unaempenda kwa sababu ya kukupeleka gesti za uswahilini? , jibu lako lizingatie na mapigo yangu ya moyo please.

senks in advance
 
Wakuu nimechoka kusoma hizi post zote. Lakini naombeni kuuliza swali, Hivi guest mtu anapelekwa au Mnakwenda guest. I mean ni Mtu A anampeleka mtu B guest au watu A na B wanaamua kwenda guest.
 
Wakuu nimechoka kusoma hizi post zote. Lakini naombeni kuuliza swali, Hivi guest mtu anapelekwa au Mnakwenda guest. I mean ni Mtu A anampeleka mtu B guest au watu A na B wanaamua kwenda guest.

Aliyetongozwa (mara nyingi ni mwanamke) ndio hupelekwa, ila hashikwi wala kubebwa kwa nguvu bali anakubaliana na mwanaume.
So wanaenda pamoja ila mwanamke ndo anakua ANAPELEKWA kuonyeshwa kazi . . . lol
 
mbona hata home sio kipimo?
jamaa anaweza kukupeleka home na hapo hapo
ukimstukiza siku nyingine unakuta ametua na kifaa
kingine cha ziada lol

Wakati wowote baada ya kila mmoja kuona mwenzake anamfaa na kukubaliana hivyo!Na sidhani kama kipimo kiko gesti!
 
Gesti ni kumuheshmu,enzi zetu kulikua hamna ii kitu,tulikua 2kitaka kutana mwanamke anakuja na kanga twamaliza,au unamshkisha ukuta.ila sasa mnapelekwa na gesti bado mwaona mwadharauliwa?lizzy tuwe tunapongezana co ku2ponda, tena hata hela hua hamlipi nyie ingawa RAHA twapata wote. Amaizng! Nadhani inabdi turudie enzi za mwl!
 
Gesti ni kumuheshmu,enzi zetu kulikua hamna ii kitu,tulikua 2kitaka kutana mwanamke anakuja na kanga twamaliza,au unamshkisha ukuta.ila sasa mnapelekwa na gesti bado mwaona mwadharauliwa?lizzy tuwe tunapongezana co ku2ponda, tena hata hela hua hamlipi nyie ingawa RAHA twapata wote. Amaizng! Nadhani inabdi turudie enzi za mwl!

Orait orait!Siku nikipelekwa ntalipa mimi basi!
 
Hapa labda niulize tunazungumzia "guest houses" zile za Uchochoroni - similar to some Cheap Motels au kumpeleka mtu kwenye Hoteli ya kiukweli. Maana wengine kutokana na uduni wa makazi yao wanaona yule mdada hastahili kuingia kule kwetu Uswahilini hivyo ni bora aende wakajirushe Zanzibar au Morogoro au Arusha kwenye mojawapo ya Mahoteli fulani.. Hili la nadhani itakuwa ni kuwa amekuheshimu sana..

Tatizo liko kwenye vile vya chap chap ambapo mtu anajua kabisa kuwa haka ni kaswali ka mlo wa jioni na hana mpango wa kuendelea zaidi kwa hiyo anaona kuleta nyumbani inaweza kuleta ugomvi na mtu fulani ambaye aidha ana mpango naye au yuko naye serious.. Ila, pia kwanini hao kina dada wanakubali kwenda Guest? Mimi nadhani msichana anayekubali kwenda guest na kijana wake anakuwa amekubali masharti yake....

Lakini, kama wengine walivyodokeza, wengine wanaheshimu vizuri tu huyo mwenzake lakini kutokana na "logistical challenges" na labda "security issues" inabidi wakutane mazingira fulani mbali na nyumbani ila mambo ya kiiva vizuri basi anaweza kumleta nyumbani. Hii zaidini kwa wale ambao hawako huru hivyo katika nyumba au vyumba vyao.
 
My two cents. Nadhani vijana wanapendelea gesti maana huko binti hawezi kujifanya kasahau kanga yake!

Amandla.......
 
Jamani sio wote!Wengine tumezoea kusaidiana!

iyo anayo mpenz wangu,kama nikienda nae gesti hua ni pasu kwa pasu,kama 2nachukua chumba cha elfu10,basi anatoa tano na mie tano,no discusion! Na hapo tena mseme wanawake mnaonewa!
 
Hapa labda niulize tunazungumzia "guest houses" zile za Uchochoroni - similar to some Cheap Motels au kumpeleka mtu kwenye Hoteli ya kiukweli. Maana wengine kutokana na uduni wa makazi yao wanaona yule mdada hastahili kuingia kule kwetu Uswahilini hivyo ni bora aende wakajirushe Zanzibar au Morogoro au Arusha kwenye mojawapo ya Mahoteli fulani.. Hili la nadhani itakuwa ni kuwa amekuheshimu sana..

Tatizo liko kwenye vile vya chap chap ambapo mtu anajua kabisa kuwa haka ni kaswali ka mlo wa jioni na hana mpango wa kuendelea zaidi kwa hiyo anaona kuleta nyumbani inaweza kuleta ugomvi na mtu fulani ambaye aidha ana mpango naye au yuko naye serious.. Ila, pia kwanini hao kina dada wanakubali kwenda Guest? Mimi nadhani msichana anayekubali kwenda guest na kijana wake anakuwa amekubali masharti yake....

Lakini, kama wengine walivyodokeza, wengine wanaheshimu vizuri tu huyo mwenzake lakini kutokana na "logistical challenges" na labda "security issues" inabidi wakutane mazingira fulani mbali na nyumbani ila mambo ya kiiva vizuri basi anaweza kumleta nyumbani. Hii zaidini kwa wale ambao hawako huru hivyo katika nyumba au vyumba vyao.

Halafu ukishakubali, unasema umepelekwa.
Mi nakataa hiyo ya kupelekwa, kabisaaaa.
Wewe sio mbuzi,ng'ombe, na mpaka unaenda umesharidhika na kuamua kwenda.
Sasa kwa nini tulaumu tumepelekwa???
 
Back
Top Bottom