GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 585
- 546
Point me that CONTRADICTION.Uwepo wa Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, aliyeumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, ni logical contradiction.
Ni kama vile mtu aseme kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean plane geometry.
We ndugu yangu toka nje acha kujifungia ndani.Kaa na watu weka mawazo yako mbele ya watu watakusaidia.Wao sasa waliyaweka kwenye hicho kitabu mapema ili leo wakiyaanzisha watu waone sio mageni.. mkono wa nan? Ulitumika kuchapisha kwenye vitabu; haya maneno ya M/MUNGU.. na M/MUNGU mbona Hawapi?/hatupi? Hadhabu wanayoyafanya haya mambo kama kipindi hicho cha sodoma na gomora... na ni kweli M/MUNGU hapendezewi na haya matendo kabsa kabsa
Naomba basi unitajie mavazi ya kidini unayoyajuaKimini kaptula sio vazi la Kidini.Ila ni mavazi ya kuvaa sirini mfano ndani,chumbani,michezoni
KILA Jamii Ina mavazi yake ambayo kwa Jamii nyingine uoneka ipo uchi.Naomba basi unitajie mavazi ya kidini unayoyajua
We ndugu yangu toka nje acha kujifungia ndani.Kaa na watu weka mawazo yako mbele ya watu watakusaidia.
Una hoja za ajabu ajabu ambazo nadhani mtu yeyote mwenye Weledi anaweza kukusaidia kutoka katika hilo kufuli lililokufunga.
Trust me una shida.
Hii madaa nilikuwa naipotezea sana kuisoma,kumbe nimeona na mimi ninamchango wangu wa kuchangia kwa mleta madaa,Kwanza ningekushauli huko uliko ukitaka kuzijua Dini kiukweli soma vitabu vya hadithi,masimulizi yanayohusu Dini hasa Ukristo na Uisilamu
Hizi Dini nyingi zimepotoshwa historia zake kwa makusudi na watu ili kulinda tawala za watu furani,mfano Ukristo umepotoshwa pakubwa sana baada ya kuingia Ulaya,huu unaouoni sasa hivi sio ukristo wenyewe kuanzia kuabudu,utamaduni pamoja na kila kitu,Ukristo haukutofautiana na Uisilamu wa leo unaouona ndiyo maana Yesu alivaa kanzu,alitawadha alisujudu na aliswali msikitini,na mitume wake ya watu sio wa na Majeneza,walizikwa na sanda tu kama Waisilamu,na makaburi yao hayakujengewa wala kuwekewa misalaba sana Juma ni dhambi kwa mwenyezi Mungu
Ukija kwa mama yake na Yesu Bikira Malia alivaa baibui,akavaa hijabu yaani alijistiri kama unavyoona Uisilamu na anaposwali alitawadha na hakuwahubiria wanaume wala kuimba alikaa mbali na alipokufa hakuzikwa na jeneza,inamana hiyo familia ikija Leo itaungana na Waisilamu na wataswali msikitini sio kanisani tena,sasa nataka kuja kwenye swala la mitume,Quruani inaeleza vizuri kabisa,kumekuwepo na Mitume laki tatu na sitini,kama sijakosei,katika hao mitume wengi ni kabila la Israel, mpaka mitume wa Mwisho ambaye alikuwa Mwarabu ambaye ni Mtume Muhamada (S.A.W)lakini walikuwepo wacha Mungu na Wafalme waafrika kama wa Habashi ambayo leo hii ni Ethiopia ambao Kwa wema wao na Hekima zao hata Mungu aliwakubali. Na hawa unaowaona Leo wanajiita Mitume,ni matapeli pazia la mitume lilishafungwa hamna mitume hapo,ila ni upigaji wa sadaka tu,sabau sifa ya Mitume hawana na hawaiwezi ni pamoja na mitihani majaribu na Maisha Magumu yaliyopitiliza
First of all, so that we are all clear and on the same page, what is a contradiction?Point me that CONTRADICTION.
Mkuu, Yesu hakuzaliwa Yerusalem, alizaliwa Bethrehem ya Uyahudi; halafu kuhusu Yerusalem kua ipo Israel au Palestine, kwani Palestine ni wapi na Israel ni wapi? Unajua kwamba Yerusalem pia unaitwa mji wa Daudi? Huyu mwamba ndio aliyeufanya kua makao makuu ya utawala wake, Daudi ni Muisrael kutoka kabila la Yuda ambalo pia ndio alilotokea YesuYesu alizaliwa Palestina sio Israel,Yerusaremu iko palestina,
Aisee we jamaa ni muongo sana.Suala la watu kuvaa kanzu au buibui au hijab ilikuwa ni kutokana na utamaduni wao na wala sio suala la kidini.Na utamaduni wenyewe umekuwa shaped na hali ya mazingira.Kwa hiyo kwa kigezo cha mavazi usidanganye watu.Hii madaa nilikuwa naipotezea sana kuisoma,kumbe nimeona na mimi ninamchango wangu wa kuchangia kwa mleta madaa,Kwanza ningekushauli huko uliko ukitaka kuzijua Dini kiukweli soma vitabu vya hadithi,masimulizi yanayohusu Dini hasa Ukristo na Uisilamu
Hizi Dini nyingi zimepotoshwa historia zake kwa makusudi na watu ili kulinda tawala za watu furani,mfano Ukristo umepotoshwa pakubwa sana baada ya kuingia Ulaya,huu unaouoni sasa hivi sio ukristo wenyewe kuanzia kuabudu,utamaduni pamoja na kila kitu,Ukristo haukutofautiana na Uisilamu wa leo unaouona ndiyo maana Yesu alivaa kanzu,alitawadha alisujudu na aliswali msikitini,na mitume wake ya watu sio wa na Majeneza,walizikwa na sanda tu kama Waisilamu,na makaburi yao hayakujengewa wala kuwekewa misalaba sana Juma ni dhambi kwa mwenyezi Mungu
Ukija kwa mama yake na Yesu Bikira Malia alivaa baibui,akavaa hijabu yaani alijistiri kama unavyoona Uisilamu na anaposwali alitawadha na hakuwahubiria wanaume wala kuimba alikaa mbali na alipokufa hakuzikwa na jeneza,inamana hiyo familia ikija Leo itaungana na Waisilamu na wataswali msikitini sio kanisani tena,sasa nataka kuja kwenye swala la mitume,Quruani inaeleza vizuri kabisa,kumekuwepo na Mitume laki tatu na sitini,kama sijakosei,katika hao mitume wengi ni kabila la Israel, mpaka mitume wa Mwisho ambaye alikuwa Mwarabu ambaye ni Mtume Muhamada (S.A.W)lakini walikuwepo wacha Mungu na Wafalme waafrika kama wa Habashi ambayo leo hii ni Ethiopia ambao Kwa wema wao na Hekima zao hata Mungu aliwakubali. Na hawa unaowaona Leo wanajiita Mitume,ni matapeli pazia la mitume lilishafungwa hamna mitume hapo,ila ni upigaji wa sadaka tu,sabau sifa ya Mitume hawana na hawaiwezi ni pamoja na mitihani majaribu na Maisha Magumu yaliyopitiliza
Swali zuri sana.We umejuaje Kama hakukuwa na mtume mwafika?
kwa hiyo unataka kunithibitishia kwamba leo hii ukaambiwa Yesu kaludi yuko uwanja wa Taifa,kwa picha yako unategemea utamkuta kavaa suti na tai kama wachungaji wenu?ebu jalibu tu hata kutumia lugha ya pichaAisee we jamaa ni muongo sana.Suala la watu kuvaa kanzu au buibui au hijab ilikuwa ni kutokana na utamaduni wao na wala sio suala la kidini.Na utamaduni wenyewe umekuwa shaped na hali ya mazingira.Kwa hiyo kwa kigezo cha mavazi usidanganye watu.
Kuhusu ukristu kupotoshwa inabidi utuambie unatumia document ipi ambayo inaaminika na dunia nzima ambayo inaeleza ni namna gani Ukristu umepotoshwa.Muongozo wa Kikristu ni Biblia na Biblia unayoiona leo hii kila kitabu kilichoandikwa mule original yake ambayo ni document ya kwanza kuandikwa ipo na imehifadhiwa na haina tofauti na hii tunayoisoma leo.Kwa hili pia usipotoshe umma.
Unafahamu kuwa mtume hakuiweka Quran kwenye maandishi?Unafahamu kuwa sehemu kubwa ya Quran imeandikwa baada ya mtume kufa?Unafahamu kuwa kuna version za Quran zilichomwa moto ili kuepuka mikanganyiko?Sasa tutaamini vipi kama haya yaliyobaki na kuyasoma leo ndio yako sahihi?
Lengo langu sio kushindana kuhusu dini ila najaribu kuweka sawa kuwa huwezi kutumia Quran kuonyesha mapungufu ya Ukristu sana sana tunaweza kutumia Biblia kuprove kuwa yaliyomo kwenye Quran yana mapungufu makubwa sana ambayo hayathibitishwi na history,Logic wala Science.
Safi sana! Hata Yesu alipokimbiziwa ukimbizini walitembea tu km wanaenda sokoni ! na walipofika ukimbizini huko hawakuwashangaa! ni kama walikuwa wenyeji wa palepale tu!!Kama ujui Yesu sio Mzungu ni mwafrika ndio maana alienda kufichwa Egypt kwa waafrika.kwakuongezea Israel ilikuwa na ataa Leo hiko bara la Africa .umeona wapi bara likatenganishwa na mpaka .Misri ni afrika inaiachaje Israel jirani yake !?
Kwani cha ajabu ni nini?kuvaa suti na tai?kwa hiyo unataka kunithibitishia kwamba leo hii ukaambiwa Yesu kaludi yuko uwanja wa Taifa,kwa picha yako unategemea utamkuta kavaa suti na tai kama wachungaji wenu?ebu jalibu tu hata kutumia lugha ya picha
Hamna mweusi hapo,
Ezekiel alikuwa Priest wa kabila la Kilawi lakini kwa sababu wakati wa yeye kuanza kufanya kazi za kikuhani ulipofika alikuwa Uhamishoni Babeli Mungu akampa jukumu la unabii, jamaa ni descendants wa Mtoto wa Yakobo Lawi,muisrael Pure.
Samson hakuwa nabii wala mtume,yeye alikuwa mwamuzi wa mwisho wa Israel ambaye story yake iliishia kwa yeye kutobolewa macho kama ambavyo story ya Mfalme wa mwisho wa Israel (Zedekiah) alitobolewa macho.(Kuna cha kujifunza hapa)
Samwel pia hakuwa nabii, alikuwa Kuhani na aliishi hekaluni hivyo ni wazi kuwa alikuwa ametoka katika kabila la Lawi ambalo kama nilivyosema hapo awali ni descendants wa Lawi mtoto wa Yakobo.
Wapo, mwanamalundiPoleni na mizunguuko ya dunia na karibuni
(1) Kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA
(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi Waafrika
(3) Au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU
(4) Labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili; hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA
(5) Na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..
Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa