Kwani wewe umesema mitume wa vitabu gani?
Ukristo?
Uislam?
Kwani hivyo vitabu vimetaja mitume walikuwa watu wa aina gani? Wazungu?warabu??
Kwani yesu alikuwa mtu wa rangi gani??
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa ) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni
(1) kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA
(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi waafrica
(3) au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau.. na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU
(4) labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili;:: hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA
(5) na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani.. mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua.. KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..
Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Kwahiyo mwingira yule Malaya na muuza ngada nae ameletwa malipizi na mungu wenu yesu Kama nabii?
Mkuu hizo unazosema ni propaganda za Wazungu , Bara la Afrika lina historia ndefu kuliko hata bara la Ulaya.Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni
(1) kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA
(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi waafrica
(3) au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau.. na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU
(4) labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili;:: hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA
(5) na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani.. mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua.. KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..
Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa ) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,
inaonesha unatokea familia ya hovyo sana mkuu
Hilo ni somo la history...Nipe historia ya hata mapharaos wawili ambayo ipo wazi.. ulimwenguni na inafatwa na tamaduni ya dini yeyote na pia walikuwa WAAFRICA?
Nipe historia ya hata mapharaos wawili ambayo ipo wazi.. ulimwenguni na inafatwa na tamaduni ya dini yeyote na pia walikuwa WAAFRICA?
Mkuu hizo unazosema ni propaganda za Wazungu , Bara la Afrika lina historia ndefu kuliko hata bara la Ulaya.
Hayo unayosema ni athari za ukoloni, kumbuka History Has Been Written by those who have hanged Heroes.
Afrika imetoa Mitume wengi Mfano Mtume Mussa alikua Muafrika.
Hilo ni somo la history...
Wataalamu wa historia waote wanaamini kuwa "ancien Egypt is the greatest civilisation of the antiquity"
an walikua ni WAAFRICA sio waarabu
Wataje basi kama wapo,uAfrika wako ni wa kijinga kwani wote mnaoamini katika dini za mapokeo i.e. uislam na ukristo ni wajinga na siyo binadamu haiWe umejuaje Kama hakukuwa na mtume mwafika?