Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Wataje basi kama wapo,uAfrika wako ni wa kijinga kwani wote mnaoamini katika dini za mapokeo i.e. uislam na ukristo ni wajinga na siyo binadamu hai

Alaf hatutajie historia ya wazi tunayoweza kuipata katika dini elekezi ambazo tunaziamini na kuzifuata.. tufunue kama mstari ya ngapi? Au AYA gani? .. tutamshukuru sana
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi waafrica

(3) au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau.. na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili;:: hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani.. mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua.. KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Henoko alikuwa black..
 
Wapo mkuu gwajima, mwingira, lusekelo, mwakasege na wengi si ni weusi tii!
 
Wapo mkuu gwajima, mwingira, lusekelo, mwakasege na wengi si ni weusi tii!

Alafu yulee wa gallilaya alikuwa anahamrisha tutoe mali tugawane na masikini hawa ni tofauti kabsa
 
Ni ujinga wa kiwango Cha SGR mwafrika mweusi kuamini dini na mapokeo ya kiyahudi,kiyunani na kiarabu Katika millennia hii,
Tena ni ujuha Kwa mtu mweusi kumwomba Mungu wa wayahudi Eti ndie aliyeumba Dunia,what a joke!
Ifike pahari watu watumie akili zao timamu kujudge vitu
Mungu na Shetani ni fiction characters walobuniwa na wahuni wachache Ili kutawala watu wengi Tena huu upuuzi umeanza Karne za juzi juzi hapo Byzantine!
 
Ni ujinga wa kiwango Cha SGR mwafrika mweusi kuamini dini na mapokeo ya kiyahudi,kiyunani na kiarabu Katika millennia hii,
Tena ni ujuha Kwa mtu mweusi kumwomba Mungu wa wayahudi Eti ndie aliyeumba Dunia,what a joke!
Ifike pahari watu watumie akili zao timamu kujudge vitu
Mungu na Shetani ni fiction characters walobuniwa na wahuni wachache Ili kutawala watu wengi Tena huu upuuzi umeanza Karne za juzi juzi hapo Byzantine!

Na wameiweza AFRICA kwa % zote.. wanatuburuza vile wanataka..
 
Back
Top Bottom