Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

WOTE NYIE WATOTO TU!! Ukitaja jina neno ''Yesu'' jaribu kuwa specific!! yesu gani Mkoloni au yesu muarabu !! au yesu mmanga!! au Yesu mweusi usitu changanye sisi km ni yesu huyo mzungu ni wa wazungu tu!!

wao wako sahihi kabisa kumjua yesu wao !! tatizo ni kihererhere chenu waafrica mnajipendekeza sana kwa yesu wa wengine!!! kwanza hata mfanyeje hawatambui na haji kuwanyakua kamwe mtasubiri sana mpaka mchakae! mpaka sasa hamjui amesha kuja au bado!!

na yesu mwingine yule atakapo kuja kuwachukua walio wake haina shida!... ila nyie sasa mtasubiri weeee!! Ubungo stand! hamtamwona ng'oo!! ...... wenzenu wale wataenda kula Bata paradiso!, mpaka

wavembewe na ndo hao hao! mtawaabudu! lkn hawatakuwa na time na nyinyi! ....nakwambia mnaangamia kwakukosa maarifa!

ninacho sikitika hata ma-professor wana mwabudu yesu wa watu wengine!! tatizo la waafrica kujipendekeza na tamaa isiyoisha eti ya kuishi paradiso!!! Gwajima, Mwingira, kibwetele, kakobe nk watawageuka kimanga mpaka hamtaamini!!

km una akili tafakari chukua hatua.......chinua achebe alisemaga!!
 
Kwenye hili nilisoma utetezi wa dini ya kiislam ukisema,
Uislam ulishushwa uarabuni kwasababu waarabu walikuwa ni watu waovu na wachafu sanaa, uuaji, ufiraji, na ukatili mwingine mwingi, Kwa hiyo uislam ulishushwa na manabii ili kuondoa hayo mambo....
Hii ndio sababu moja niliyoi feed kwenye akili....

Kuhusiana na nyani ni evolution ya binadamu, ni mabadiliko tuu kutokana na mazingira, binadamu wa sasa wanaokua kama broilers sio sawa na wale wa 1890 ambao walikuwa wanakua na kuendelea depending 100% on nature.
 
WOTE NYIE WATOTO TU!! Ukitaja jina neno ''Yesu'' jaribu kuwa specific!! yesu gani Mkoloni au yesu muarabu !! au yesu mmanga!! au Yesu mweusi usitu changanye sisi km ni yesu huyo mzungu ni wa wazungu tu!!

wao wako sahihi kabisa kumjua yesu wao !! tatizo ni kihererhere chenu waafrica mnajipendekeza sana kwa yesu wa wengine!!! kwanza hata mfanyeje hawatambui na haji kuwanyakua kamwe mtasubiri sana mpaka mchakae! mpaka sasa hamjui amesha kuja au bado!!

na yesu mwingine yule atakapo kuja kuwachukua walio wake haina shida!... ila nyie sasa mtasubiri weeee!! Ubungo stand! hamtamwona ng'oo!! ...... wenzenu wale wataenda kula Bata paradiso!, mpaka

wavembewe na ndo hao hao! mtawaabudu! lkn hawatakuwa na time na nyinyi! ....nakwambia mnaangamia kwakukosa maarifa!

ninacho sikitika hata ma-professor wana mwabudu yesu wa watu wengine!! tatizo la waafrica kujipendekeza na tamaa isiyoisha eti ya kuishi paradiso!!! Gwajima, Mwingira, kibwetele, kakobe nk watawageuka kimanga mpaka hamtaamini!!

km una akili tafakari chukua hatua.......chinua achebe alisemaga!!

[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kwenye hili nilisoma utetezi wa dini ya kiislam ukisema,
Uislam ulishushwa uarabuni kwasababu waarabu walikuwa ni watu waovu na wachafu sanaa, uuaji, ufiraji, na ukatili mwingine mwingi, Kwa hiyo uislam ulishushwa na manabii ili kuondoa hayo mambo....
Hii ndio sababu moja niliyoi feed kwenye akili....

Kuhusiana na nyani ni evolution ya binadamu, ni mabadiliko tuu kutokana na mazingira, binadamu wa sasa wanaokua kama broilers sio sawa na wale wa 1890 ambao walikuwa wanakua na kuendelea depending 100% on nature.

Hii evolution ni kwa mtu mweusi tu ilikuwa
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi waafrica

(3) au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau.. na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili;:: hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani.. mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua.. KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Wapo wengi mkuu akina mwamposa 🤣🤣
 
Qur'an 15:26

Surat Al-Hijr 15;26
Kwa hakika tulimuumba Adam kwa udongo mkavu, ukigongwa unasikiwa sauti , na udongo huu mkavu ni miongoni mwa udongo mweusi uliogeuka rangi yake na harufu yake kwa kipindi kirefu cha kukaa kwake .
 
Surat Al-Hijr 15;26
Kwa hakika tulimuumba Adam kwa udongo mkavu, ukigongwa unasikiwa sauti , na udongo huu mkavu ni miongoni mwa udongo mweusi uliogeuka rangi yake na harufu yake kwa kipindi kirefu cha kukaa kwake .

Uzuri wa hawa jamaa hawana tofauti ya misa ya kiswahili na kingereza.. watakaa wote kwa pamoja na kama kunalugha tofauti kati yao watatoa mafundisho kwa lugha yao (ambayo qur-an) then kama kutakuwa na ufafanuzi kwa lugha ingine kutafafanuliwa pale pale... ila tunaomba huko mbele wasije kuweka tofaut ya misa... haitopendeza
 
Surat Al-Hijr 15;26
Kwa hakika tulimuumba Adam kwa udongo mkavu, ukigongwa unasikiwa sauti , na udongo huu mkavu ni miongoni mwa udongo mweusi uliogeuka rangi yake na harufu yake kwa kipindi kirefu cha kukaa kwake .

Na naamini kuna MAELEZO MENGI KUHUSU WAAFRICA (WATU WEUSI) KWENYE HIVYO VITABU VYA DINI TUNAVYOVIAMINI NA KUVIFUATA KUHUSU MANABII NA MITUME (WAAFRICA) watu weusi ila wamejaribu kuficha walioandaa yaani waliokusanya kwa pamoja hayo mapokeo.. ILI KUTUONYESHA JINSI GANI HATUNA THAMANI AU KUTUTENGA KIUJUMLA .. na sijui kwa nini?
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi waafrica

(3) au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau.. na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili;:: hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani.. mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua.. KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Zingatia pia hakuna nabi Wala mtume Mzungu .Muarabu Wala Muasia .mitume karibu wote wanatokea uajemi na Africa na bila kubabaishwa Israel ilikuwa na ataa Leo hipo bara la Africa .na kama hujui mtume Ibrahim mke wake wa tatu na ambaye amezaa nae watoto wengi 6 ni Ketura mwafrika na ataa Yule mjakazi Suria ni mwafrika wa Egypt .Mtume Musa mke wake pia ni sipora bint ya kuhani wa midiani .Jetro mwafrika .Mtume Musa mwenyewe ni Muafrika .alikuwa Pharao mtarajiwa wa Egypt .kwa maelezo zaidi search YouTube : history of kemet au Cushite kingdoms
 
Wapo wengi tu, Nabii Mwingiraz Mtume na Nabii Mwamposa, Nabii Goe Devie, Nabii yule wa Mafuta., Nabii TB Joshua, Nabii Kakobe nk.

Mitume na manabii wa kiafrika ni wengi sana
 
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa ) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,
Kama ujui Yesu sio Mzungu ni mwafrika ndio maana alienda kufichwa Egypt kwa waafrika.kwakuongezea Israel ilikuwa na ataa Leo hiko bara la Africa .umeona wapi bara likatenganishwa na mpaka .Misri ni afrika inaiachaje Israel jirani yake !?
 
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa ) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,
bethlehem ipo palestina
 
Manabii walikuwepo labda sema hawapo kwenye vitabu vya wazungu. Hata mtakatifu Augustine si ni muafrika!!
 
Back
Top Bottom