Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe usniletee mambo ya unabii hauwajui au... jumaapili leo.. unalijua hilo nadhan
Tusubiri tuone
We unawajua hao babu zako kumi?Unakuta kijana ana miaka 35-40 hajui ukoo wake anamjua babu yake mmoja tu na baba yake.. wakati alitakiwa ajue mababu zake KUMI au na zaidi waliopita huko nyuma ambayo ingemsaidia kujua DINI yake au nini afanye katika swala zima la kuabudu
We unawajua hao babu zako kumi?
Hivi sio vitu vya kuamka tu na kuvifanya vinahitaji utulivu mkubwa mkuu wa kifra..
Kwahiyo mwingira yule Malaya na muuza ngada nae ameletwa malipizi na mungu wenu yesu Kama nabii?
Mungu yupi? Yule sanamu aliyevunjwagwa kipindi kile au Mungu wa uhindini ng’ombe toa maelezo vizuri Miungu wako wengi sana YUPI? Unayemsemea hapo MKUU au MUNGU MZUNGU
Alikuwepo mtume wa kizigua pale KWAMSISI na aliasisi maajabu yake
kama ifuatavyo;
1. kwamba mjerumani alishindwa kutoza kodi na hata mwingereza pia alishindwa hadimzee mkapa hakutoza kodi ya kichwa lile eneo.
2. Pia waligoma magogo ya mapori yao kusombwa na wakoloni na waliyategea USINGA yale malori yalikuwa yakikanyaga yanakatika spring (Leaf spring) na kubaki hapo na alipotokea mzungu alikumbana na king cobra.
3. Wakati ya vita ya kwanza ya dunia na hata ya pili vijana walikuwa wanachukuliwa kwenda vitani baada ya kupimwa uzito kilo kuanzia 50 na umri kuanzia 18-50 hivyo huyo mtume aliwanywesha KOLOBWA iliyochanywa na LIKANG'AMBWA walipopimwa uzito hakuna aliyefikisha 5Kgs hivyo wengi hawakwenda vitani.
4. Aliamuru jogoo wote wachinjwe kwani walikuwa wakiwika wale wazungu walikuwa wanafata hizo sauti na kuwafikia watu ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa hakuna vijiji kila mtu alikuwa anaishi kivyake.
5. Kiukweli mtume KIKWANYULO DIUKIZULA alale mahala pema peponi amen.