Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

mungu anawajua viumbe vyake na akili alizowapa. wafrika wangepewa unabii wangekuwa na tamaa ya pesa kuliko kufikisha maneno ya mungu na wangekuwa wazinifu sana. ona tuna manabii feki kanisani angalia wanavyopiga pesa kwa udanganyifu. au ujiulize kwanini wafrica hawatengenezi silaha au magari au tecnology yoyote mpaka tuwategemee watu weupe jibu hapo tu usiende kwenye mitume na manabii
 
mungu anawajua viumbe vyake na akili alizowapa. wafrika wangepewa unabii wangekuwa na tamaa ya pesa kuliko kufikisha maneno ya mungu na wangekuwa wazinifu sana. ona tuna manabii feki kanisani angalia wanavyopiga pesa kwa udanganyifu. au ujiulize kwanini wafrica hawatengenezi silaha au magari au tecnology yoyote mpaka tuwategemee watu weupe jibu hapo tu usiende kwenye mitume na manabii

Wanatupiga pesa.. alaf sisi sisi ndio tunawapa wenyewe.. MIUJIZA NINI?
 
Nlijua tu lazima ushindwe kujibu hili swali sababu ulichoongea hapo awali hukijui. Hivi
Mlazimishe mtu afuate utamaduni na desturi zako ili awe mtumwa wako wa kifikra, awe tegemezi wa bidhaa zako kuanzia mavazi, vyakula na aina ya starehe zako.

Kanunue kanzu, bharaghashia, busati, marashi, vitabu vya dini, tende, marashi, viungo vya chakula, ...., e.t.c.

Kahiji Mecca sijui Madina...
Kifupi mtageuzwa soko la bidhaa zao.
Unataka utuaminishe wao hawaimport vitu kutoka kwetu kama Nyama, Asali? n.k vitabu,barghashia hata huku vinatengenezwa bila kufuata uarabuni.. Sasa nambie vitu wanavyonunua kutoka kwetu unamaanisha tumewatala?
 
Manufaa ya kwanza ni kusambaza utamaduni wao wa kiarabu Kwa wamatumbi,
Pili iliwasaidia kwenye biashara zao tunajua wale Mabwana walileta dini Ili kuhodhi biashara ukanda huu Kwa Karne nyingi Cha kusikitisha zaidi walifanya mpaka biashara za watumwa yaani watu wanaojinasibu ni wa Mungu wanawakamata wenyeji na kuwasafirisha Hadi Nchi za kwao kwenda kua watumwa,
Tatu walileta dini Ili kuteka maeneo hii tunaita ku conquer tunaona waliweka base zao katika maeneo mengi ya afrika na kuanzisha tawala zao,
Pia mpaka Leo wananufaika Kwa kuwapiga Hela wajinga wa kimatumbi wanapoenda kuhiji makka wanawaingizia mapesa ya kutosha unaowawezesha kujenga uchumi wao Huko wewe ukiendelea kubaki maskini na ndio maana waarabu wa saudia hawana njaa Kwa kua na vyanzo vya mapato vya uhakika!

Niendelee mdau?
Hamna point strong hata moja! Kuhij Ni Mara ngapi kwa mwaka?

Hujui Kama kuna maeneo mf. West Africa uislamu ukiingia kabla ya ukoloni Wala utumwa?

Points zako zngne sjazielewa mkuu
 
Mwanadamu wa kwanza nimmtu mweusi. Generation ya kwanza ya dunia ninwatj weusi hizo race nyingine zote zilifuata baada, so kusema hakujawahi kuwa na manabik weusi sio kweli.

Timeline ndio inatuchanganya watu kila race ilishawahi kuwa kwenye prime yaani top of civilization, hiki kwa sasa tunaonekana African tunasuffer ni kutokana na primetime yetu ilipita zamani sana.

kwa sasa tunaweza kutrace Africans primetime kupitia egypt( egpyt yote walikuwa waafrica na hiyo North Africa zamani ilikuwa inakaliwa na Africans, waarabu ni wahamiaji tuu.

Kuna hushahidi hata jews walikuwa blacks na sio hao jews tunawasoma kwenye vitabu.

Sasa kama race ya kwanza alikuwa mtu mweusi kwa nini kwenye vitabu hatutajwi, yaani sisi ndio watu wa mwanzo halafu tusiwe na (spiritual knowledge). Kuna namna vitabu vya sasa vimevheza na majina na race kujipromote wao zaidi kwa sababj za kimaslahi.
 
Swali jepesi sana hili na tayari limeshajijibu lenyewe.

Simple hakuna mitume ya kiafrika sababu dini hazikuanzishwa na waafrika wala chimbuko lake sio afrika.
Hawa waarabu na wazungu au watu weupe walikuja afrika na kuwabambikiza hizo dini.

Simple and Clear haihitaji akili kubwa.
 
Hamna point strong hata moja! Kuhij Ni Mara ngapi kwa mwaka?

Hujui Kama kuna maeneo mf. West Africa uislamu ukiingia kabla ya ukoloni Wala utumwa?

Points zako zngne sjazielewa mkuu
Wewe nenda kapitie Tena makabrasha Uislam west Africa ulienezwa kwa upanga,historia ipo wazi!
 
Mlazimishe mtu afuate utamaduni na desturi zako ili awe mtumwa wako wa kifikra, awe tegemezi wa bidhaa zako kuanzia mavazi, vyakula na aina ya starehe zako.

Kanunue kanzu, bharaghashia, busati, marashi, vitabu vya dini, tende, marashi, viungo vya chakula, ...., e.t.c.

Kahiji Mecca sijui Madina...
Kifupi mtageuzwa soko la bidhaa zao.
hawezi kuelewa,huyo ashakua Trapped na foreigner religions hasa kutoka middle east na hatakubaliana naukweli amekua brain washed!
 
Sidhan kama kwenye maandiko wametaja ngozi za watu. Hata kuumbwa kwa adam na eva hawakutaja ni weupe au weusi. Hizi issue za race zinaleta confusion tu. Kuhusu picha za Yesu mweupe hata mweusi yupo.

Mimi siamini kuhusu ngozi naamini kuhusu maandiko matakatifu ambapo naona yeyote mwenye imani yampasa hivyo.
 
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,
Nikisahihishe kidogo chief, Yesu alizaliwa Bethlehem ya Yudah sio Nezareth.Ilikuwa ni nchi ya Yuda na ilikuwa imetabiriwa hivyo,angezaliwa eneo tofauti na Nchi ya Yuda unabii usingetimilika.
Petro alikuwa wa kwanza kuhubiri kwa watu wa mataifa lakini hakuendelea sana na hiyo role.Paulo ndio alibeba role na title ya Mtume wa mataifa.
Yesu umemwelezea kana kwamba alikuwa Nabii,Yesu hakuwa na Nabii,meseji yake haikuwa ya kinabii.Yesu ni Mungu.

Na ishu ya kutokuwepo na Mitume na Manabii weusi kipindi cha Biblia nafikiri inatokana na fact kuwa Waisrael sio weusi.Story yote ya ukombozi wa mwanadamu ilianzia Israel,kutokea kwa Abaraham(ambaye kimsingi hakuwa nabii wala Mtume) mpaka Paulo na mitume wengine.It was always someone from Israel and since Israelites wasnt black people there was no chance of Black Prophets or Apostles.
 
Sidhan kama kwenye maandiko wametaja ngozi za watu. Hata kuumbwa kwa adam na eva hawakutaja ni weupe au weusi. Hizi issue za race zinaleta confusion tu. Kuhusu picha za Yesu mweupe hata mweusi yupo.

Mimi siamini kuhusu ngozi naamini kuhusu maandiko matakatifu ambapo naona yeyote mwenye imani yampasa hivyo.

Utapanda ndege ukaangalie makumbusho na kusimuliwa historia jelusalemu , islael, macca, madina na ukienda huku utaonyeshwa mpaka nyumba na vitanda walivyolalia..tufanye walikuwa weusi lakini sio waafrica sawa..sisi tunaenda kumuangalia firauni na mapiramid MISRI .. nilichotaka kuhoji ni kwamba historia ya manabii na mitume ipo sema hawajaiweka kwenye vitabu tunavyovifuata na kuviamini.. kama wewe unaingiaga misa ya kingereza sawa
 
Alaf muelewe walikuja kufanya biashara tu ya ubabe..
 
Ezekieli Samweli Samson Walikuwa Weusi
Hamna mweusi hapo,

Ezekiel alikuwa Priest wa kabila la Kilawi lakini kwa sababu wakati wa yeye kuanza kufanya kazi za kikuhani ulipofika alikuwa Uhamishoni Babeli Mungu akampa jukumu la unabii, jamaa ni descendants wa Mtoto wa Yakobo Lawi,muisrael Pure.

Samson hakuwa nabii wala mtume,yeye alikuwa mwamuzi wa mwisho wa Israel ambaye story yake iliishia kwa yeye kutobolewa macho kama ambavyo story ya Mfalme wa mwisho wa Israel (Zedekiah) alitobolewa macho.(Kuna cha kujifunza hapa)

Samwel pia hakuwa nabii, alikuwa Kuhani na aliishi hekaluni hivyo ni wazi kuwa alikuwa ametoka katika kabila la Lawi ambalo kama nilivyosema hapo awali ni descendants wa Lawi mtoto wa Yakobo.
 
Leo hii tuna mitume na manabii kibao ambao ni weusi lakini bado tunawakataa na kuwapinga, sasa enzi hizo hata wangekuwepo (na huenda walikuwepo) nani angewakubali?
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) Kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi Waafrika

(3) Au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) Labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili; hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) Na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Nimejibu hili ila ngoja nikujibu na wewe personally.(Nitajibu kama Mkristu)

Taifa la watu wa Israel kiasili sio watu weusi.Ni weupe ambao wanaasili ya kiarabu.Ingawa palikuwa na mchanganyiko wa watu weusi wachache kutoka Ethiopia(Cush) hawa hawakuwa sehemu ya meseji ya ukombozi wa mwanadamu kama ambavyo tunatambua Mungu alichagua taifa la Israel kiwa taifa teule na kupitia taifa hili watu watamjua yeye na Ukombozi utapatikana.

Kwa mantiki hiyo basi manabii na mitume wote kwa sababu ni descendants wa Yakobo yaani watoto 12 wa Yakobo na kiasili ni weupe hivyo sio kitu cha kushangaza wote wakiwa weupe.

Pia sio kila jina la kitabu la kwenye Biblia linawakilisha Nabii au Mtume kuna vitabu kadhaa vimeandikwa lakini waandishi wake hawayambuliwi kama manabii au watume.Nitakupa mifano kadhaa,

Musa hakuwa nabiii wala mtume
Joshua hakuwa nabii wala mtume
Waamuzi wote wakijumuishwa na Samson hawakuwa manabii wala mitume
Samweli alikuwa Kuhani tu hakuwa nabii wala mtume.
Hata Daudi pamoja na kuandika kwake Zaburi hakuwa nabii wala mtume,wakati wa Daudi ujume wa kinabii alikuwa anaupata Kwa Nathan.
Solomoni hakuwa nabii wala mtume

Hii List ni kubwa sana kwa hiyo tujifunze namna ya kuwatofautisha hawa watu.

Pia sio tu hakuna Nabii au mtume mweusi,hapakuwa hata na nabii mchina au muhindi.

Hoja yako ya mwisho kabisa kuhusu nyani ni ya kuachana nayo hakuna kitu cha namna hiyo.Binadamu alianza kama mtu kwa kuumbwa.
 
Waafruca tunataguta validation kwenye uislam au ukristo, lakini hii dunia ina dini kibao sababu dini ni mila na desturi tamaduni za watu fulani, sababj ya brainwashing ya mzunfu na mwarabu tuna amini lazima huwe muislam au mkristo.

Sasa ni kulazimisha tuu kufit kwenye history book za jamaii za Bible na quaran ni history book, hata ukienda asia utakuta nao wanavitabu vyao, sababu ya strong culture hawana hii inferior na misinformation tunayogace sisi waafrica, ushamuona mchina analalamika kwanini Bible haijamtaja. Bible wanazungumzia timeline yao na baadhi ya matukio kidogo kabla yao same Quran watazungumzia waliopita hila ziadi life ya muhamad, wewe haupo kwenye hiyo timeline na hayo matukio.

In short haupo ukitaka kushiriki shiriki tuu kama spiritual knowledge so far mwanadamu nahitajj lakini usitafute kukubalika au uhalali wa kuwepo aua kutajwa kwenue vitabu au historia ya jamii isiyokuhusu, hata wazungu hawapo kwenye Quran wala Bible na wala hwalalamiki na life linasonga.
 
Waafruca tunataguta validation kwenye uislam au ukristo, lakini hii dunia ina dini kibao sababu dini ni mila na desturi tamaduni za watu fulani, sababj ya brainwashing ya mzunfu na mwarabu tuna amini lazima huwe muislam au mkristo.

Sasa ni kulazimisha tuu kufit kwenye history book za jamaii za Bible na quaran ni history book, hata ukienda asia utakuta nao wanavitabu vyao, sababu ya strong culture hawana hii inferior na misinformation tunayogace sisi waafrica, ushamuona mchina analalamika kwanini Bible haijamtaja. Bible wanazungumzia timeline yao na baadhi ya matukio kidogo kabla yao same Quran watazungumzia waliopita hila ziadi life ya muhamad, wewe haupo kwenye hiyo timeline na hayo matukio.

In short haupo ukitaka kushiriki shiriki tuu kama spiritual knowledge so far mwanadamu nahitajj lakini usitafute kukubalika au uhalali wa kuwepo aua kutajwa kwenue vitabu au historia ya jamii isiyokuhusu, hata wazungu hawapo kwenye Quran wala Bible na wala hwalalamiki na life linasonga.

Kwani huwasikii akina Mtume Mwamposa sijui Na wengine huko
 
Back
Top Bottom