Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Manufaa ya kwanza ni kusambaza utamaduni wao wa kiarabu Kwa wamatumbi,
Pili iliwasaidia kwenye biashara zao tunajua wale Mabwana walileta dini Ili kuhodhi biashara ukanda huu Kwa Karne nyingi Cha kusikitisha zaidi walifanya mpaka biashara za watumwa yaani watu wanaojinasibu ni wa Mungu wanawakamata wenyeji na kuwasafirisha Hadi Nchi za kwao kwenda kua watumwa,
Tatu walileta dini Ili kuteka maeneo hii tunaita ku conquer tunaona waliweka base zao katika maeneo mengi ya afrika na kuanzisha tawala zao,
Pia mpaka Leo wananufaika Kwa kuwapiga Hela wajinga wa kimatumbi wanapoenda kuhiji makka wanawaingizia mapesa ya kutosha unaowawezesha kujenga uchumi wao Huko wewe ukiendelea kubaki maskini na ndio maana waarabu wa saudia hawana njaa Kwa kua na vyanzo vya mapato vya uhakika!

Niendelee mdau?
Inabidi ukasome kwanza,utumwa Hadi Leo upo utumwa wa fikra Kama wako wewe Kama waarabu ndio waliongoza kwa kuchukuwa watumwa weusi wapi Kuna watu weusi wengi Kati ya arabuni na kwa wazungu?pili kwenda Makka kuhiji hakujaanzishwa na waarabu watalawa saudia na Wala haulipii kuhiji kinacholipwa ni safari ya kuhiji na wanufaika ni makampuni ya kusafirisha mahujaji sidhani Kama mtu mwenye akili timamu anaweza fikiria kuwa hija iliyonzishwa kwa lengo la kunufaisha nchi ya saudia nchi ambayo imeanzishwa miaka ya 1900 wakati ibada ya hija Ina miaka kibao
Chuki zako zidi ya dini usichanganye na chuki za waarabu dini ni Iman kila mtu anarukhsa ya kuamini hakuna aliyeshikiwa bakora na uzuri vitabu vipo na akili zipo ni kuamua kipi ufate
 
Mlazimishe mtu afuate utamaduni na desturi zako ili awe mtumwa wako wa kifikra, awe tegemezi wa bidhaa zako kuanzia mavazi, vyakula na aina ya starehe zako.

Kanunue kanzu, bharaghashia, busati, marashi, vitabu vya dini, tende, marashi, viungo vya chakula, ...., e.t.c.

Kahiji Mecca sijui Madina...
Kifupi mtageuzwa soko la bidhaa zao.
Kuna sehem gani ktk uslamu mtu analazimishwa kuvaa mavazi ya kiarabu?niambie hapa
 
Mlazimishe mtu afuate utamaduni na desturi zako ili awe mtumwa wako wa kifikra, awe tegemezi wa bidhaa zako kuanzia mavazi, vyakula na aina ya starehe zako.

Kanunue kanzu, bharaghashia, busati, marashi, vitabu vya dini, tende, marashi, viungo vya chakula, ...., e.t.c.

Kahiji Mecca sijui Madina...
Kifupi mtageuzwa soko la bidhaa zao.
Kama kufata tamaduni za wazungu kuvaa suti na vimini ikiaminika ndio dini yenyewe hali ya kuwa yesu hakuvaa suti na Hili unalionaje.kufata dini zilizoanzishwa ulaya Kama vaticana Roman,England anglicana,german ruthelani haliyakuwa hizo nchi yesu hakuwah kufika Wala hakuna mwanafunzi wa yesu aliyewah kufika na kuchukua tamaduni zao na kuleta Africa kwa kutumia wamisisionary na kuwapa mikataba feki machief ili watawale unalionaje hili?kuaminisha watu kuwa wazungu ndio wanaakili na yeah alikuwa mzungu?au dini kumilikiwa na Taifa flani unalionaje?
 
Inabidi ukasome kwanza,utumwa Hadi Leo upo utumwa wa fikra Kama wako wewe Kama waarabu ndio waliongoza kwa kuchukuwa watumwa weusi wapi Kuna watu weusi wengi Kati ya arabuni na kwa wazungu?pili kwenda Makka kuhiji hakujaanzishwa na waarabu watalawa saudia na Wala haulipii kuhiji kinacholipwa ni safari ya kuhiji na wanufaika ni makampuni ya kusafirisha mahujaji sidhani Kama mtu mwenye akili timamu anaweza fikiria kuwa hija iliyonzishwa kwa lengo la kunufaisha nchi ya saudia nchi ambayo imeanzishwa miaka ya 1900 wakati ibada ya hija Ina miaka kibao
Chuki zako zidi ya dini usichanganye na chuki za waarabu dini ni Iman kila mtu anarukhsa ya kuamini hakuna aliyeshikiwa bakora na uzuri vitabu vipo na akili zipo ni kuamua kipi ufate
Imekuuma ee ewe Mquraish mweusi,eti nakashifu Dini Dini Dini Gani yakuikashifu Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnakumbilia kukashfiwa mna matatizo sana nyie watu,
Kwani uongo ya Kwamba mnafuata tamaduni za Waarabu na Wayahudi wa kale?
Mpo brain washed sana nyie Wafuata mikumbo wa Dini za kuja!
😁😁😁😁🔥
 
Kama kufata tamaduni za wazungu kuvaa suti na vimini ikiaminika ndio dini yenyewe hali ya kuwa yesu hakuvaa suti na Hili unalionaje.kufata dini zilizoanzishwa ulaya Kama vaticana Roman,England anglicana,german ruthelani haliyakuwa hizo nchi yesu hakuwah kufika Wala hakuna mwanafunzi wa yesu aliyewah kufika na kuchukua tamaduni zao na kuleta Africa kwa kutumia wamisisionary na kuwapa mikataba feki machief ili watawale unalionaje hili?kuaminisha watu kuwa wazungu ndio wanaakili na yeah alikuwa mzungu?au dini kumilikiwa na Taifa flani unalionaje?
alikuambia kuvaa suti ni kufuata utamaduni wa watu ni nani?
Kwani wabudha na Washinto wa china na japan hawazivai,na mbona hawajaacha tamaduni zao za asili
Hahahahahah!
 
Kama kufata tamaduni za wazungu kuvaa suti na vimini ikiaminika ndio dini yenyewe hali ya kuwa yesu hakuvaa suti na Hili unalionaje.kufata dini zilizoanzishwa ulaya Kama vaticana Roman,England anglicana,german ruthelani haliyakuwa hizo nchi yesu hakuwah kufika Wala hakuna mwanafunzi wa yesu aliyewah kufika na kuchukua tamaduni zao na kuleta Africa kwa kutumia wamisisionary na kuwapa mikataba feki machief ili watawale unalionaje hili?kuaminisha watu kuwa wazungu ndio wanaakili na yeah alikuwa mzungu?au dini kumilikiwa na Taifa flani unalionaje?

Kwa Navyojua Mimi Ukristo Ulianza Afrika Ukaenda Uraya,

Sasa Huu Unaoongelea Wewe Ni Upagani Ulioanzishwa Na Vatican Kwa Kujificha Kwenye Vazi La Ukristo
 
Swali la kifara sana
Siyo swali la kifala, the fact is, hakukuwa na documentation yo yote kwetu Afrika kwa hivyo hakuna uhakika. Wenzetu kuanzia uhabeshi (Ethiopia) mpaka Uarabuni wamekuwa na herufi zao za kuandika na wameweza kuweka historia yao kwa maandishi.
 
Mlazimishe mtu afuate utamaduni na desturi zako ili awe mtumwa wako wa kifikra, awe tegemezi wa bidhaa zako kuanzia mavazi, vyakula na aina ya starehe zako.

Kanunue kanzu, bharaghashia, busati, marashi, vitabu vya dini, tende, marashi, viungo vya chakula, ...., e.t.c.

Kahiji Mecca sijui Madina...
Kifupi mtageuzwa soko la bidhaa zao.
Kwani na nyinyi si munanunua masuti na misalaba, sasa hapo kero la nini? Au wangapi siku hizi wanavaa ile migolole ya asili?

Munajifanya wazungu na pia mumeanza kuiga hao munaowasema kwa kwenda kuhiji Jerusalem
 
Imekuuma ee ewe Mquraish mweusi,eti nakashifu Dini Dini Dini Gani yakuikashifu Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnakumbilia kukashfiwa mna matatizo sana nyie watu,
Kwani uongo ya Kwamba mnafuata tamaduni za Waarabu na Wayahudi wa kale?
Mpo brain washed sana nyie Wafuata mikumbo wa Dini za kuja!
😁😁😁😁🔥
Na wewe unafuata dini gani? Mbona hukubaki kule kwa Watindiga ukaendelea na utamaduni wako wa kiafrika? Umekwenda shule aliyokuletea mzungu pamoja na dini ya kikristo. Kuwa brainwashed iko kwa wote usijitoe kabisa.
 
Na wewe unafuata dini gani? Mbona hukubaki kule kwa Watindiga ukaendelea na utamaduni wako wa kiafrika? Umekwenda shule aliyokuletea mzungu pamoja na dini ya kikristo. Kuwa brainwashed iko kwa wote usijitoe kabisa.
una uhakika ya Kwamba nafuata dini za kuja kama Wewe?
Kuhusu elimu hilo Sio swala la tamaduni za watu sababu ni mfumo upo Dunia nzima ila kuhusu Dini hapana Yaani wakuletee Mpaka dini zao,mbona kule china na japan hawafuati dini zao ila elimu tu ndio wamefuata kitu ambacho ni Cha lazima Ili kuendana na mfumo wa Dunia ya tatu!
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) Kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi Waafrika

(3) Au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) Labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili; hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) Na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
tatizo ni nyie kujipendekeza kwa manabii wa wenzenu! wazungu na waarabu! ila wale wenu mliwaita waganga wa kienyeji!!! hamtunzi makaburi yao!! hamtaki kuwasikia mnawaita wafuasi wa shetani ....

basi shetani ana cheeeka mpaka basi.....anajamba na mkewe huko! japani. korea, china walikataa huo ujinga wa yesu mzungu angalia walipo!...nyie eti mpaka leo mnawafuata km kondoo!!

kwanza yesu mzungu haji, wla kumsikia mtasubiri sana!! akija yule wa kweli hamta mwamini, mtamuona muhuni tu amefoji taa za umeme! hayaa tukawaambia mjifunze kusoma wkt ni huu!!!...oooh! mchonga nae!
 
Ajabu sasa na kichekesho cha karne kitacho kuacha domo wazi na kufanya uyambe kifukuto ni kuwa mbali na mwafrica yaani hakuna Nabii Muhindi, wala hakuna Nabii Mchina! Wadhungu tuuuu! na watoto wao waarabu!

tena basi bora china kureee ni mbali ,, jamani hapo middle east huyo yesu wao alishindwaje kututambua sisi na wingi wetu hivi? na kututumikisha hivi?? au huyo alifanya biashara ya utumwa pia?

Halafu waaafrica bana vatican, misikiti iliuza babu zao sana lkn wanavoifia hiyo dini pwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hayajiulizi
 
Huyo papa Pedro alichaguliwa kiuhalisia? Moshi mweupe ulitoka na ukapaa Moja kwa Moja Mbinguni? Na kama ndivyo basi sio mwafrika halisi! Labda tuangalie mwafrika ni nani? Ni rangi au nywele ngumu? Kwangu mtu asili kutoka Sudani, (sio wahamiaji) ni mwafrika halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajabu sasa na kichekesho cha karne kitacho kuacha domo wazi na kufanya uyambe kifukuto ni kuwa mbali na mwafrica yaani hakuna Nabii Muhindi, wala hakuna Nabii Mchina! Wadhungu tuuuu! na watoto wao waarabu!

tena basi bora china kureee ni mbali ,, jamani hapo middle east huyo yesu wao alishindwaje kututambua sisi na wingi wetu hivi? na kututumikisha hivi?? au huyo alifanya biashara ya utumwa pia?

Halafu waaafrica bana vatican, misikiti iliuza babu zao sana lkn wanavoifia hiyo dini pwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hayajiulizi
hahahaha bibie you made my day, umegonga mule mule hizi dini za kuja zinawafanya waafrika wengi kua watumwa wa fikra mtu anashindwa hata kutumia akili ya kawaida kusoma between the lines,mbona kwangu naona za mchongo tu hata hazina uhalisia zimejaa hekaya za kijuha na kitoto sana Kuna nyingine zinasema et punda aliongea,nyingine et ukifa unapata adhabu ya kaburi Kwa kungatwa na nge na wadudu mbali mbali,wengine ukifa unaenda peponi kutwaa mabikra 70 na kuogelea Kwenye mito ya pombe,yaani ujinga mtupu ila still Zina wafuasi
What a joke!
😁😁😁😁🔥
 
Yohana, Luka, Amosi, matendo, mathayo daudi, esta, yesu, yakobo,yuda Maria, yusufu, abeli, Musa, hayo majina yote yana asili ya kibantu kijana jiongeze wewe
Hayo majina sio ya kibantu ila walikua wa BANTU , Waka badirishwa majina.
 
Back
Top Bottom