Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Hicho Ni kichaka Cha viongozi wa makolo kujifichiaUkitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba.
Official page ya CAF (cafonline.com) na social media zake zoote ukikuta habari ya Africa Super league bas ni ile ile mwaka 2022 pale wazo lilipopelekwa kwenye mkutano wa CAF Arusha.
Hebu ndugu mwana JF ingia kwenye official website ujionee mwenyewe orodha ya mashindano yanayoendeshwa na CAF
Hii issue mimi mwenyew ilikua inanitia mashakaUkitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba.
Official page ya CAF (cafonline.com) na social media zake zoote ukikuta habari ya Africa Super league bas ni ile ile mwaka 2022 pale wazo lilipopelekwa kwenye mkutano wa CAF Arusha.
Hebu ndugu mwana JF ingia kwenye official website ujionee mwenyewe orodha ya mashindano yanayoendeshwa na CAF
Kumbuka Yanga waliomba kushiriki pia wakatolewa nje,hii yako ndiyo zile tunaita sizitaki mbichi hizi.Haya ni majaribio ya mashindano yaliyopaswa kufanyika Ulaya.
Hakuna muafrika mwenye utimamu wa akili anayeweza kuwa excited nayo!
Sawa ila tunachotaka ni updates kutoka official sourceKumbuka Yanga waliomba kushiriki pia wakatolewa nje,hii yako ndiyo zile tunaita sizitaki mbichi hizi.
kama hauna tatizo la kingereza nenda kwenye caf news utapata unachotakaUkitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba.
Official page ya CAF (cafonline.com) na social media zake zoote ukikuta habari ya Africa Super league bas ni ile ile mwaka 2022 pale wazo lilipopelekwa kwenye mkutano wa CAF Arusha.
Hebu ndugu mwana JF ingia kwenye official website ujionee mwenyewe orodha ya mashindano yanayoendeshwa na CAF
Hi ya 2022 tushaisoma. Hebu pitia vizuri post yanguView attachment 2667845CAF launches groundbreaking Africa Super League | CAFOnline.com
The Confederation of African Football (āCAFā) President, Dr Patrice Motsepe launched the pioneering Africa Super League, a project of unprecedented scale that is set to change the face of African football. At the launch in Arusha, Tanzania where he was joined by FIFA President, Gianni Infantino...www.cafonline.com
Sasa hiyo ya 2022 kwani inahusu tennis au wewe unataka habari ya lini wakati hiyo ya 2022 imekueleza kuwa mashindano yataanza mwezi wa 8 na huo mwezi unaona bado haujafika sasa wewe unataka uone habari gani zaidi ya hiyoHi ya 2022 tushaisoma. Hebu pitia vizuri post yangu
Wenzio b5 za maandalizi zimesoma kwenye akaunti wewe unataka updates za cafonline.Sawa ila tunachotaka ni updates kutoka official source
ChanzoKick off: October to November.
Wenzio b5 za maandalizi zimesoma kwenye akaunti wewe unataka updates za cafonline.
Mbona mda mfupi sana au yatafanyika venue moja?Kick off: October to November.
Onyesha barua/email address waliyo tuma Yanga kwwenda CAF kuomba kushiriki michuano ya bonanza.Kumbuka Yanga waliomba kushiriki pia wakatolewa nje,hii yako ndiyo zile tunaita sizitaki mbichi hizi.