Kwanini hakuna habari za Afrika super league kwenye vyanzo rasmi vyote

Kwanini hakuna habari za Afrika super league kwenye vyanzo rasmi vyote

Ukitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba.

Official page ya CAF (cafonline.com) na social media zake zoote ukikuta habari ya Africa Super league bas ni ile ile mwaka 2022 pale wazo lilipopelekwa kwenye mkutano wa CAF Arusha.

Hebu ndugu mwana JF ingia kwenye official website ujionee mwenyewe orodha ya mashindano yanayoendeshwa na CAF

**MBUMBUMBU walipigwa hapa.**
 
Super league wazo la hovyo sana Ile hela ingeongezwa kuboresha Cafcl na Cafcc maana team zinatumia gharama kubwa angalau Ile support ianzie chini kabisa huku pia hela zikienda kwenye miundo mbinu na soka la vijana
Mfano Hawa under 20 wangekuwa na ligi Yao ambayo iko funded na caf wenyewe
 
Sawa ila tunachotaka ni updates kutoka official source
Ninachofahamu ni mashindano yataanza mwezi wa 10 na kila timu mshiriki atapata dola 2.5M na na bingwa dola mil 11.5 usiulize taarifa nimetoa wapi mimi ni mfanyakazi caf kwahiyo nakupa za ndani kabisa
 
Sasa hiyo ya 2022 kwani inahusu tennis au wewe unataka habari ya lini wakati hiyo ya 2022 imekueleza kuwa mashindano yataanza mwezi wa 8 na huo mwezi unaona bado haujafika sasa wewe unataka uone habari gani zaidi ya hiyo
Wamebadili yatafanyika oktoba
 
Onyesha barua/email address waliyo tuma Yanga kwwenda CAF kuomba kushiriki michuano ya bonanza.
Barua mlituma mkajibiwa
Last viongozi wa CAF walipokuja tanzania mkamuomba naibu waziri awaombee nafasi

 
Back
Top Bottom