Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
kama hauna tatizo la kingereza nenda kwenye caf news utapata unachotaka
Tatizo ni lugha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hauna tatizo la kingereza nenda kwenye caf news utapata unachotaka
Itafute iko mitandaoni usitake kila kitu ufanyiwe.Onyesha barua/email address waliyo tuma Yanga kwwenda CAF kuomba kushiriki michuano ya bonanza.
**MBUMBUMBU walipigwa hapa.**Ukitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba.
Official page ya CAF (cafonline.com) na social media zake zoote ukikuta habari ya Africa Super league bas ni ile ile mwaka 2022 pale wazo lilipopelekwa kwenye mkutano wa CAF Arusha.
Hebu ndugu mwana JF ingia kwenye official website ujionee mwenyewe orodha ya mashindano yanayoendeshwa na CAF
![]()
Ninachofahamu ni mashindano yataanza mwezi wa 10 na kila timu mshiriki atapata dola 2.5M na na bingwa dola mil 11.5 usiulize taarifa nimetoa wapi mimi ni mfanyakazi caf kwahiyo nakupa za ndani kabisaSawa ila tunachotaka ni updates kutoka official source
Wamebadili yatafanyika oktobaSasa hiyo ya 2022 kwani inahusu tennis au wewe unataka habari ya lini wakati hiyo ya 2022 imekueleza kuwa mashindano yataanza mwezi wa 8 na huo mwezi unaona bado haujafika sasa wewe unataka uone habari gani zaidi ya hiyo
Kwahio uto mmesahau kama mliondoshwa kutumia uwanja wa taifa game zenu za mwishomwisho za Nbc ili ukarabati kwa ajili ya super league uanze?
Mwache kujidhali
Kuna August Kuna oktoba Kuna novemba sijui ya kweli ipiWamebadili yatafanyika oktoba
mtusaidie nyie wazungu wenye akili 🤒Haya ni majaribio ya mashindano yaliyopaswa kufanyika Ulaya.
Hakuna muafrika mwenye utimamu wa akili anayeweza kuwa excited nayo!
Yanafanyika miezi miwili, hata uwanja wa Benjamin Mkapa ulifungwa kwa sababu ya hiyo leagueKuna August Kuna oktoba Kuna novemba sijui ya kweli ipi
Barua mlituma mkajibiwaOnyesha barua/email address waliyo tuma Yanga kwwenda CAF kuomba kushiriki michuano ya bonanza.
Kumbe huna akiliBilioni tano ndo wakamsajili kichuya
Chanzo