Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha....hatari sana..yaani kwa kifupi watu wamechanganyikiwa...Na tulitoa 2b kwa Uturuki na wakati huo huo matundu ya vyoo shuleni yakijengwa kwa misaada ya wahisani.
Salamu zinasaidia nini? shirikisha Ubongo wako unapo andikaTumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Mlikula rambirambi na misaada ya Kagera.Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Yah this time hatuwapi pole wala misaadaSababu mnakulaga Fedha za wahanga na mnaanzaga kuwatukana waathirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako bize wanakula bata Dubai kwenye COP28.Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Na watawala wamegundua kuwa ili kuendelea kuwapumbaza wajinga...weka nguvu kubwa kuunga mkono timu zao za Yanga na Simba ...Media zenyewe asubuhi mpaka jioni bado wako na umbea mipira miziki
Ova
Usione watu wanasifia mpaka kugalagala, watu wanafaidi sana keki ya Taifa,Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
we bwege ndio jinga na zuzu, sisi wengine tuna akili zetu. we zuzu inaonekana siyo mtanzani, rudi kwenu, kima kweliTz ni nchi ya kawaida sana,katika Ulimwengu huu,hivyo hakuna taifa serious litakuwa bize na taifa la wajinga na mazuzu.
"Pole kwa mafuriko"
Hizo nchi nyingine hawana muda na kiki za kijinga wanatoa wanapoweza. Hapa kwetu unakuta serekali inatoa msaada Ili kuwakomoa wapinzani kwa kutaka waonekane wema, na kuhadaa umma kuwa serekali Iko vizuri.Bila shaka watawala wetu watapunguza sasa kujipendekeza na kujitutumua. Nakumbuka sana namna walivyo jipendekeza kwa Msumbiji, Kenya, Malawi na Uturuki.
Halafu leo hii wamekufa zaidi ya wananchi 60 kwa mafuriko, serikali hiyo hiyo ya kujipendekeza kwa wengine; inapamabana yenyewe! Yaani hata pole tu ya mdomo hakuna!! Malawi walipeleka mpaka ndege, waokoaji, vyakula, nk!!!
Tetemeko la kagera, ajali ya Mwanza Nchi zote za karibu walitoa misaada badala ya kupewa wahusika serikali ikazichukua kama Hela zake.Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Tusubili salamu za rambirambi kutoka kwa wajomba kutoka bara la Arabu,maana tusha wapa bandari na mbuga ya wanyama.Vyoo wananchi wajiongeze wajenge wenyewe sisi kama serikali tuko busy na masuala ya kimataifa na kusaidia nchi zisizojiweza
SALAAM ZITAKUWEPO, TENA NYINGI TU. ISIPOKUWA VYOMBO VYETU VYA HABARI HAVIWEZI KUWA VINATUTANGAZA SISI KUWA NCHI FULANI IMETUTUMIA SALAAM, ISIPOKUWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA KWDNYE NCHI ZILIXOTUMA SALAM NDIYO ZINAPASWA KUWATANGAXIA WANANCHI WAO KUWA NCHI ZAO ZIMETUTUMIA SALAAM SISITumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Nakumbuka yaliyo tokea Mkoa wa Kagera nikilinganisha na tukio hili,naona wahisani wanajua wakitoa chochote kitaishia kwenye mifuko ya watu kuliko wahusika.Hahahaha....hatari sana..yaani kwa kifupi watu wamechanganyikiwa...