Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Sasa kama serikali yako haina vifaa vya uokozi huo sio ujinga na uzuzu.we bwege ndio jinga na zuzu, sisi wengine tuna akili zetu. we zuzu inaonekana siyo mtanzani, rudi kwenu, kima kweli
Kuna mwaka Tetemeko lilitokea mkoa wa Kagera,mataifa jirani yalitoa pesa lakini serikali ya wajinga na mazuzu walikwiba pesa za waathirika na maneno ya hovyo wakawatolea.
Tuambie wewe mwenye akili timamu ulifanya nini au umefanya nini ?
NB:Mimi ni Mtanzania hivyo kutofautiana mtizamo na wewe hakufanyi nipoteza haki ya kuwa mtanzania.