Kwanini hakuna salam wala msaada kutoka nchi zinazotuzunguka kuhusu janga lililotokea huko Katesh Manyara?

Kwanini hakuna salam wala msaada kutoka nchi zinazotuzunguka kuhusu janga lililotokea huko Katesh Manyara?

we bwege ndio jinga na zuzu, sisi wengine tuna akili zetu. we zuzu inaonekana siyo mtanzani, rudi kwenu, kima kweli
Sasa kama serikali yako haina vifaa vya uokozi huo sio ujinga na uzuzu.

Kuna mwaka Tetemeko lilitokea mkoa wa Kagera,mataifa jirani yalitoa pesa lakini serikali ya wajinga na mazuzu walikwiba pesa za waathirika na maneno ya hovyo wakawatolea.

Tuambie wewe mwenye akili timamu ulifanya nini au umefanya nini ?

NB:Mimi ni Mtanzania hivyo kutofautiana mtizamo na wewe hakufanyi nipoteza haki ya kuwa mtanzania.
 
Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.

Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?

Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?

Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Akili za kipumbavu sana hizi, kwani serikali imeshindwa hadi ianze kulilia misaada!

Una akili za kimasikini sana wewe!
 
Tusubili salamu za rambirambi kutoka kwa wajomba kutoka bara la Arabu,maana tusha wapa bandari na mbuga ya wanyama.
Wajomba huwa sio wanafiki wao ni watu wasio na roho za kibongo bongo za acha nitoe pole wanione wao ni wagumu tu. Isitoshe bandari hatukuwapa bure tulikula chao sasa ikawa unato hutoi? Nauliza unatoa hutoi?
 
Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.

Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?

Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?

Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
KENYA KUMETOKEA MAJANGA KAMA HAYO YA MAFURIKO ZAIDI YA HANANG MBONA TANGANYIKA HAIKIPELEKA MISAADA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.

Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?

Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?

Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Kenya zaidi ya watu 150 wamefariki Kwa.mafuriko

Somalia zaidi ya watu 60 wamefariki Kwa mafuriko

Tanzania ilipelekea Msaada wowote au pole?
 
Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.

Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?

Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?

Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Wanaogopa yasije tokea kama ya tetemeko la Ardhi Bukoba- Kagera
 
usipende kusaidiwa saidiwa.

Tatizo dogo tu la mafuriko ya matope kwenye kamji kadogo ambako hakana wakazi hata 200k unahitaji msaada kutoka nje, JE SIKU DAR ES SALAAM AU MWANZA IKIPIGWA NA MAFURIKO UTAFANYAJE.

tunapaswa kujifunza rescue techics na namna ya kujisaidia kwenye issue ndogondogo na kugain experience.

Tunashindwa kuwasaidia hao wahanga wachache tu hapo na kusecure eneo pamoja na kufanya temporary evacuation mpaka tumuite mnyamwezi (USA) nk waje watusaidie?
 
Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.

Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?

Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?

Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
MKuu
Sisi tuna tatizo. Angalia namna media wanavyoliripoti tukio hili utagundua kuwa tuna upumbavu sana

Tuendelee kujifunza
 
Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.

Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?

Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?

Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Kumbukumbu zangu zinaonyesha mara ya mwisho kupata janga tulichangiwa mpaka na Uganda .... tena Cash!! Ila wajanja wakazipiga ..... Watakuwa wametustukia!!
 
Back
Top Bottom