Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Sasa kama serikali yako haina vifaa vya uokozi huo sio ujinga na uzuzu.we bwege ndio jinga na zuzu, sisi wengine tuna akili zetu. we zuzu inaonekana siyo mtanzani, rudi kwenu, kima kweli
Akili za kipumbavu sana hizi, kwani serikali imeshindwa hadi ianze kulilia misaada!Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Wajomba huwa sio wanafiki wao ni watu wasio na roho za kibongo bongo za acha nitoe pole wanione wao ni wagumu tu. Isitoshe bandari hatukuwapa bure tulikula chao sasa ikawa unato hutoi? Nauliza unatoa hutoi?Tusubili salamu za rambirambi kutoka kwa wajomba kutoka bara la Arabu,maana tusha wapa bandari na mbuga ya wanyama.
KENYA KUMETOKEA MAJANGA KAMA HAYO YA MAFURIKO ZAIDI YA HANANG MBONA TANGANYIKA HAIKIPELEKA MISAADATumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Kenya zaidi ya watu 150 wamefariki Kwa.mafurikoTumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Wako tayari bandarini wanapiga kaziMbona lile kampuni la mchongo la DP World hawatoi pole, ili kutuzuga kwa kuzawadiwa bandari?
Wanaogopa yasije tokea kama ya tetemeko la Ardhi Bukoba- KageraTumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
MKuuTumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?
Kumbukumbu zangu zinaonyesha mara ya mwisho kupata janga tulichangiwa mpaka na Uganda .... tena Cash!! Ila wajanja wakazipiga ..... Watakuwa wametustukia!!Tumekuwa wepesi kupeleka watu,mali na kutoa salam za pole pale janga au maafa yanapowakumba majirani zetu.
Leo ni siku ya tatu hakuna jirani aliyetukimbilia aidha kwa misaada au hata pole ya maandishi. Hawa majirani hawana taarifa ya matatizo haya wanayopitia ndugu zetu?
Lakini pia hakuna Ubalozi Nchini uliotoka adharani kutoa pole ya maandishi kupitia vyombo vya habari na website zao. Je wangekuwa viongozi hata wawili tu ndio wamepata gharika hii nakupotea au kupoteza wapendwa wao hizi taasisi zingekaa kimya?
Ubinadamu kwanini umeelekea zaidi kwa wale wenye nacho? Kwa nini Tanzania tunaanza kutengwa hata na majirani?