Kwanini Halima Mdee na wenzake ni lazima wafukuzwe?

Mrefu sana mzee kweli kila mtu ana bei yake. Na Ccm walivyowajanja usikute yule bulaya aliolewa makusudi toka TISS Kuja kumaliza na mdee kamaliza kazi dah hata mdee
Kesho ataongea na press muone Sasa watu watakavyovuliwa nguo
 
Mrefu sana mzee kweli kila mtu ana bei yake. Na Ccm walivyowajanja usikute yule bulaya aliolewa makusudi toka TISS Kuja kumaliza na mdee kamaliza kazi dah hata mdee
Na yule mbunge wa nkasi nae ni tiss
 
Kesho ataongea na press muone Sasa watu watakavyovuliwa nguo
Walishaongea wengi kwa kupangwa unakumbuka wale waliopora madai ya kuomba ngono? Hivi ulishasikia mwanamke mwenye akili timamu analalamika kutongoxwa hadharani wewe? Yaani mwanamke KUONGOZWA ikawa kete ya Ccm wakati ule. Leo unasikia anaongea
Lijua likali leo yupo wapi? Alilalamika kukatwa pesa watu wakaitwa PCCB? Mwisho ikawaje????
Chama cha Ccm kinafikiri dunia ipo miaka ya 1950 kumbe tupo 21thc hovyo kabisa.
Aongee na press wakati mnyika alishatoa utaratibu ambao haukufuatwa kumpata hugo mdee na wenzake???
 
Hivi kwanini CHADEMA mnanunulika kirahisi kiasi hicho? Hivi kuna mtu ndani ya CHADEMA anaweza kusema hanunuliki? Mpaka Mdee kweli? Hakuna chama hapo
Hivi mdee kuna kipindi nilisikiaga hajulikani alipo baada ya uchaguzi, what happened? Kwenye kujua tujuzeni jmn.....connect the dots.
 
Asante Sana, Kama kawaida yako, maneno meeeengi, mtu akimaliza kusoma hata hakumbuki Yericko kasema nini.
Kipekee, nikushukuru kwa kutuandalia malighafi muhimu kabisa kwa toilet paper. Asante, tutakuja kuzichukua!
Elimu ndiyo chanzo cha ufinyu wa uelewa wetu ktk mambo mengi sana yanayotukabili. Daah!
 
Bwana Alexander ... umeongea ukweli wa hali halisi

Yetu macho na upande wa sokio
 
Kama watafukuzwa hiyo haina shaka utaratibu ufuatwe kwa mjibu wa kanuni na taratibu za chama nje ya hapo
 
Pumbavu wewe

Nyie ccm mmeshawahi fanya jambo kwa maslahi ya wananchi???

Utopolo sana wewe
 
Sasa jpm ndio Rais wa TZ kama hutaki Hilo vuka borders nenda msumbiji

Kazi ni kupiga kelele ambazo hazina msingi
Ameuliza kuwa mwenyekiti wa CCM alisema CHADEMA & vyama vya upinzani kwa ujumla wanachelewesha maendeleo,lakini leo CCM wanawalilia wabunge wa viti maalumu toka CDM,kunani hapo? Tupe jibu.
 
Yericko ndiyo ni muhimu kwa mustakabaii wa chama kujenga nidhamu, pia hakuna mkubwa kupita chama. Chama hakiwezi kuendeshwa na watu wasaiti. Shetani aifukuzwa kwa kusaiiti na ndiyo maana ni muhimu kuondoa Covid 19 kujenga nguvu ya chama. Serikaii inawahitaji hao kwa kusudi kueeza jumuiya za kimataifa kuwa kuna bunge na wapinzani wamo wanaweza kusimamia fedha zinazotowa kupitia kamati za PAC na nyingie, pamoja na 1tri na usee za EU.
 
Hawa watu hawawezi kufukuzwa. Jaribuni kupunguza munkari kidogo na kujaribu kuvivaa viatu vya Mwenyekiti for a minute na mtaelewa mambo haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…