Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Hamas kumalizwa ni ngumu maana wengi wao ni raia wa kawaida kabisa
 
Inawezekana Hamas akawa na sababu za msingi za kufanya shambulizi kwa
Israel.. ila nachowalaumu aidha hawakuwa na strategy au walifanya attack kwa kimihemuko..

Kwangu mimi kama mko chini ya watesi wenu na kila siku mnajipanga na kushambuliana nae toka... enzi na enzi.. mnashindwa

Ilitakiwa wawe wamejipanga kwa pigo takatifu ambalo linge level the play ground..

Yaan walitakiwa wawe wamehakikisha kuwa Isrel awe offguard kwa maana anajua palestina mwembe wa uan anajichumia
Akitaka.. na kweli Israel akawa offguard so walipaswa kuwa ikiwa wameivamia Israel kijeshi basi Kipigo chake kiweze kudhoofisha nguvu walau 60% kama Sio 80% ya nguvu ya kijeshi ya israel

Hii ingepelekea hata washirika wakubwa wa Israel ambao ni western kujua kuwa sasa hii ni vita kamili na wangegwaya kwanza.. na maana yake nguvu ya msaada ambao wamgetoa ingekuwa easly matched na kina iran na kina korea/ urusi.. yaan kama madogo wapigane ma bro waambiwe wasiingilie

Lakini kuivamia israel na pickups na pikipiki.. matokea yake Mji/Nchi yenu inakuwja kuwa bombed na kugeuzwa magofu huku 50% ya nguvu kazi na kizaz kijacho imepukutika au haina future huu sio ushindi.. vita sio swala
Ya kurusha maroket bila mpango tu

Nachokiona Kwa upande wa Hamas washirika zake wamewatumia kwa Maslah yao.. coz Hamas they had one oporturnity ya kumkuta Israel amerelax na yuko off guards na wakashindwa kutumia kudeliver a killer punch.. belive me that will never ever ever happen.

Rejea vita ya siku sita ya Israel na Waarab waliomzunguka.. Myahud alijua there is no way angeshinda kwa maana Waraab walikuwa wamejipanga kushambulia na walikuwa wako
Very equiped from all angle na so alijua kuwa anatakiwa atafute nguvu ya adui iko wapi na ahakikishe adui yuko offguard.. na sio awasubiri waanze wao maana hakuwa na uwezo wa kudefend and attack na waarab walikuwa wanagain ground mdogo mdogo.. so akaja na war plan ya kudeliver pigo moja takatifu ambalo lingewa criple maadui zake na kumpa Nafasi ya kujipanga zaid.. na walijua wana nafasi moja tu so yeye na masponsor wake wa Western wakafanya hilo kwa kulipua Ndege karibu zote za kivita maana walijua nguvu ya adui iko hapo.. na sio kulipua kwa maroket waliingiza mamluki wakasabotage the airforce.. maana yake israel akawa ndo mwenye uwezo wa kupigana kutoka juu.. ..and the rest is history..

Sasa hamas kapata chance moja anakwenda na bodaboda na pick up..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bodaboda ? hawa jamaa hawapo serious kbs
 
HAMAS hana ndege Wala kifaru. Hapati maji, chakula, mafuta, umeme Wala internet:

What to Know About U.S. Military Support to Israel
kwan hawakuyajua haya kipind wanaenda shambulia na kuteka raia wa israel pamoja na mtz mwenzio ? Hv nyie watu weusi mmelogwa na waarabu , wakijamba pia mtasema walivaa chupi ya mzayuni ndio maana walijamba ili ionekane mzayuni ndo kasababisha ila mjambaj hana baya
 
Hizi pumba zingine afu anakuja anzisha mada [emoji1]

We wambie basi Israel wawamalize Hamasi kama wao wanaume, we ka unasikiliza kelele za Natanyahu wakati jeshi Lake wengine wameisha kimbia Gaza

Israel anaomba vita visiendele we unakuja leta ujinga wa Paulo hapa.
waislam dini imewatia ukichaa , mlishangilia shambulio la kigaid la hamas , kisha mkajibiwa mkasema waje gaza wanaume wapo gaza ss h mnasema wawamalize hamas watawamaliza mtabadili story mtasema hamas hawakuwai kuwepo ni vita dhidi ya waislam bas mtaomba wawamalize waislam , NYIE KIMA HIYO DINI YENU INAEZA KUWA MNAMWABUDU SHETANI HKN MUNGU ANAFUNDISHA WAUMIN WAKE KUWA WEHU KIAS HICHO
 
Mkuu HAMAS hana kifaru Wala ndege 1. Anapata chakula, maji, umeme hadi internet thanks to Israel.

Kusema kweli hadi hapo alikuwa kajitahidi mno na hakuna anayeweza kuamini aliyaweza hayo.

HAMAS alipigana na bodaboda na pick ups Kwa sababu ndizo alizo nazo.

Fimbo ya mbali tangu lini iuwe nyoka?

HAMAS alijaribu kuliko wote bahati mbaya ni kuwa katelekezewa mtiti na waliopaswa kumwunga mkono.
nan alimtuma aende ichokoza Israel ? muda mwingine mupeane ushauri wa ukwel sio kushabikiana hata kwenye ujinga
 
Hawa Hamas ni kiboko, hivi mmejiuliza mateka alikuwa amewaficha wapi na kula na kushiba na kulala baada ya makombora yote hayo
Bado mateka wanatoka wanafuraha
Bado najiuliza hayo ma banker ni zege la aina gani
Ila wenye chuki wanaweza kusema waliwapeleka Misri, hawashindwi
hamas sio wajinga kuteka na kwenda kuwaweka hapo gaza kaskazin penye vita kali , gaza kusini hakuna mashambuliz mengi so lzm walikuwa huko , na idf hajataka ionekane anashambulia gaza nzima bali anajikita kwenye kuangamiza makao makuu ya hamas ambayo ni gaza kaskazini
 
Endeleeni kujipongeza wakati HAMAS ameshinda vita
[emoji23][emoji23][emoji23] ila waislam bana kashinda vita aliyoianzishia akiwa ndan ya Israel , ss hv yupo gaza mashimoni , hv mlilogwa na nan waislam?
 
Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?

Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.
na mtz mwenzio unaunga mkono awe mateka ?
 
Uislamu ni dini ya huruma, ukitekwa na hamas ujue utaishi kama upo nyumbani kwako. Je! Wale mashetani/mskafiri wa kiyahudi!!
kwamba na yule mtz anaendelea na shughui zake akiwa huko mateka ? huon kuwa wanampotezea muda ? uislam ni nusu ushetan haujali utu , mf humu waislam hawajal lolote kuhusu watz wenzao waliotekwa na hamas na mmoja akafa kbs
 
Wameufyata mazayuni waliojidai hakuna kuongea mpaka HAMAS WAISHE, HAKUNA KUBADILISHANA MATEKA MPPAKA hAMAS WAISHE. Kiko wapi?

Tazama kichapo hiki walichochezea Ghaza:

View attachment 2827894

Mainstream media hutoyakuta hayo.
walisema hawana mpango wa kuivamia gaza mkasema wanaogopa kuingia gaza , wameingia washakamata bunge , mahakama , hospital kuu etc , ss hiko kichapo mnawapa mkiwa wap? ss hv mmeomba ceasefire
 
Kwamba hamas kauwa askari wa IDF zaidi ya 3000 mpaka sasa, kwamba israeli kaangamiza vifaru na magari zaidi ya 350 mpaka sasa, kwamba Hamas karusha zaidi ya rocket 5000 ndani ya Israel on target na off target madhara yanafichwa na vyombo vya habari vya israeli.
unataka na israel waanze lia lia mitandaoni kutafuta huruma ya dunia kama waarabu ? unayoyaona gaza pia yameyokea israel ila israel sio waliaji liaji wanamchinja kuku kimya kimya majiran wasistukie mchezo
 
Maji yalifungwa yote, muujiza ukatokea, mabomu yao wenyewe mazayuni yakatoboa kisima hakijawahi kuwepo. Huyu ndiyo Allah:

View attachment 2827901
kwahiyo hao makafir walikuwa wanawapa huduma zote na sio allah wenu? waislam ndo jamii isiyo na fadhira dunian , jpm aliwajengea hadi misikiti ila walishangilia kifo chake
 
Back
Top Bottom