Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

walisema hawana mpango wa kuivamia gaza mkasema wanaogopa kuingia gaza , wameingia washakamata bunge , mahakama , hospital kuu etc , ss hiko kichapo mnawapa mkiwa wap? ss hv mmeomba ceasefire
Hayo yite unasema wewe, hakuna aliyesema hayo.


Kwani ghaza imevamiwa au wameanza kuuwa wagonjwa kwa ndege na misaili za kutokea mbali?

Walipoingia chini, eti kuwafyeka Hams, ndiyo wakabamizwa na vifaru na gari zao za deraya wakala unyoya.

Hujayaona?
 
nan alimtuma aende ichokoza Israel ? muda mwingine mupeane ushauri wa ukwel sio kushabikiana hata kwenye ujinga
Wapi kasema alikwenda kuichokoza Israel? Au wapi anasikitika kwenda kumbamiza Kibaka mpora ardhi yake popote alipo?
 
Media zinawapotosha wayahudi weusi
unataka na wao waanze maigizo kama yenu kuonekana wanaonewa , dunia inawajuwa waislam tyr kuwa ni mashetan na vitabu vyenu vinafundisha ushetan , ndan kitabu cha kiroho ni ajabu kukuta mafundisho ya kuua watu
 
The World Must Wake Up to Israel's Lies

HAMAS:

1. Hawakuuwa watoto.

2. Hawakuchinja watu.

3. Hawakuchoma mtu moto.

4. Hospitaii hazikuwa command center.

5. Uongo baada ya uongo.
Yale makombora 5000 kutoka HAMAS yasingezuiwa yalikuwa yanakwenda kutua wapi??? Kama sio kwenye mahospitali na makazi ya watu??

Mimi sipo upande wa walowezi wala wa HAMAS, ila sometimes washabiki wa HAMAS tumieni akili kidogo. Ni kweli israel ana amekiuka makubaliano mengi ila na nyie tumieni akili
 
unataka na israel waanze lia lia mitandaoni kutafuta huruma ya dunia kama waarabu ? unayoyaona gaza pia yameyokea israel ila israel sio waliaji liaji wanamchinja kuku kimya kimya majiran wasistukie mchezo
Hahaha. Unajifariji?

Wajomba kambo wa mungu wamecgezea kichapo haijawahi kutokea.

Wakabak7 wanabomoa hospitali na majengo, kumbe wajanja wana jiji zima chini ya ardhi. Linaitwa Metro Ghaza.
 
Qur'an haisemi kitu chenye shaka.

Mwenyewe hapo umejisuta.
mnaabudu shetan , kama mungu wenu wa kweli basi angekuumba wewe usifanane na mm ili ionekane utofaut wangu mm kafiri na ww muumin wa allah wa mudi , QURAN INASEMA SIKU ZA MWISHO KUNA SHETAN LITAKUJA DUNIAN NA KITATAKA DUNIA NZIMA ILIABUDU NA USIPOFANYA HIVYO LITAKUUA AU KUKUTESA , SS HV NDO TUNAONA UISLAM UNAPAMBANA KUJITANUA DUNIAN KWA VITISHO VYA KUKUTOA UHAI AU KUKUFANYA UISHI MAISHA YA SHIDA UKIYAKIMBIA MAKAZI YAKO LASIVYO UWE MUISLAM , HIZI NI DALILI ZA MWISHO NA USHETAN WENYEW UMEANZA KUONEKANA DHAHIRI
 
Wapqleatinq jananwqmishqngazq dunia, katika mayeka mmoja alikuwa na kijibwa chake, basi kawekwa nacho chini huko mafichoni salama salimini, kaachiwa nacho. Dunia haiamini macho yao.
 
Ni kweli kabisa ila wao ndio wanajua zaidi makubaliano yao, ndio maana pande zote hawajasema waliafikiana nini mpaka kuachia mateka
Mtu yeyote asingekubali kupatana na kuongea kuhusu mateka wakati watu wameteketea hivyo, wana uchungu sana lakini wamefikia muafaka
Yote kheri na sisi tunajiuliza Netanyahu anasema mpaka kieleweke sasa anawatisha nani wakati alishindwa kuwaokoa mpaka Qatar kaingia kati

Vita sio nzuri nimeiona kwa macho tena mara mbili
Tuwaombee tu
wapalestina walioachiwa wengi ni hamas sio raia wa kawaida , angalia matukio yao mpk kushikwa utashangaa hamas inawapeleka wapi watu waliochoma watu visu
 
Yale makombora 5000 kutoka HAMAS yasingezuiwa yalikuwa yanakwenda kutua wapi??? Kama sio kwenye mahospitali na makazi ya watu??

Mimi sipo upande wa walowezi wala wa HAMAS, ila sometimes washabiki wa HAMAS tumieni akili kidogo. Ni kweli israel ana amekiuka makubaliano mengi ila na nyie tumieni akili

Kwani hayo makombora 5000 yalirushwa kwa sababu gani? Au kumbe hata aliyorushiwa Idd Amin hayakuwa na maana yoyote kwako? Mbona HAMAS hawakurusha hata moja Misri, Lebanon au Jordan?
 
mnaabudu shetan , kama mungu wenu wa kweli basi angekuumba wewe usifanane na mm ili ionekane utofaut wangu mm kafiri na ww muumin wa allah wa mudi , QURAN INASEMA SIKU ZA MWISHO KUNA SHETAN LITAKUJA DUNIAN NA KITATAKA DUNIA NZIMA ILIABUDU NA USIPOFANYA HIVYO LITAKUUA AU KUKUTESA , SS HV NDO TUNAONA UISLAM UNAPAMBANA KUJITANUA DUNIAN KWA VITISHO VYA KUKUTOA UHAI AU KUKUFANYA UISHI MAISHA YA SHIDA UKIYAKIMBIA MAKAZI YAKO LASIVYO UWE MUISLAM , HIZI NI DALILI ZA MWISHO NA USHETAN WENYEW UMEANZA KUONEKANA DHAHIRI
Qur'an ipo kwa walimwengu wote umeshaisoma?

Ni kitabu pekee duniani kinachofundisha kabla ya kukisoma ni lazima umuombe Mungu akuepushe na shetani.

Wewe kitabu chako kinakufundisha hivyo?
 
wapalestina walioachiwa wengi ni hamas sio raia wa kawaida , angalia matukio yao mpk kushikwa utashangaa hamas inawapeleka wapi watu waliochoma watu visu

Wapalestina wote walioachiwa ni wanawake na watoto au waliokuwa watoto walikamatwa.

Ni mwenda wazimu peke yake mwenye kuamini kuwa hawakuwa raia wa kawaida.
 
wapalestina walioachiwa wengi ni hamas sio raia wa kawaida , angalia matukio yao mpk kushikwa utashangaa hamas inawapeleka wapi watu waliochoma watu visu
Hawa wafungwa hawakuanza leo kukamatwa
Sisi tumedandia katikati tu
Kuna kesi nyingi sana na haki za binadam wamepiga kelele sana maana mpaka watoto wanaotupa mawe wengine wamehukumia na wanatumikia kifungo

Ila kama wamewaachia Hamas hayo ni mapatano yao sisi tunaangalia ya uongo na kweli na kila mmoja anaamua kuamini lipi
Media zina mengi
 
hamas sio wajinga kuteka na kwenda kuwaweka hapo gaza kaskazin penye vita kali , gaza kusini hakuna mashambuliz mengi so lzm walikuwa huko , na idf hajataka ionekane anashambulia gaza nzima bali anajikita kwenye kuangamiza makao makuu ya hamas ambayo ni gaza kaskazini
Ila mkuu ikumbukwe tu kuwa hawa jamaa wametengeneza caves miaka karibu 20 wanavyosema baadhi ya waandishi yaani kama Amboni ila concrete
Acha tuchambue tu tunachookoteza
 
Nakubaliana na hilo, yaani Israel hawaamini kilichotokea
Halafu ndio mgambo tu wanavyojiita wao
Hapo wangekuwa na jeshi kamili

Wanaangushwa na kukosa kuungwa mkono na wanaowapigania: West Bank na nchi za Kiarabu zilizobakia kujikomba kwa mabeberu.
 
Back
Top Bottom