Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Hawa jamaa ni mazwazwa tu, wewe umeona wapi mtu anadanganywa tu ati .ajiue ili akapewe mabikra 72 motoni na amaamini

Sijalisikia hilo kwenye vita hivi HAMAS anavyopigania ardhi ya Palestina
 
Hamas kumalizwa ni ngumu maana wengi wao ni raia wa kawaida kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bodaboda ? hawa jamaa hawapo serious kbs
 
HAMAS hana ndege Wala kifaru. Hapati maji, chakula, mafuta, umeme Wala internet:

What to Know About U.S. Military Support to Israel
kwan hawakuyajua haya kipind wanaenda shambulia na kuteka raia wa israel pamoja na mtz mwenzio ? Hv nyie watu weusi mmelogwa na waarabu , wakijamba pia mtasema walivaa chupi ya mzayuni ndio maana walijamba ili ionekane mzayuni ndo kasababisha ila mjambaj hana baya
 
waislam dini imewatia ukichaa , mlishangilia shambulio la kigaid la hamas , kisha mkajibiwa mkasema waje gaza wanaume wapo gaza ss h mnasema wawamalize hamas watawamaliza mtabadili story mtasema hamas hawakuwai kuwepo ni vita dhidi ya waislam bas mtaomba wawamalize waislam , NYIE KIMA HIYO DINI YENU INAEZA KUWA MNAMWABUDU SHETANI HKN MUNGU ANAFUNDISHA WAUMIN WAKE KUWA WEHU KIAS HICHO
 
nan alimtuma aende ichokoza Israel ? muda mwingine mupeane ushauri wa ukwel sio kushabikiana hata kwenye ujinga
 
hamas sio wajinga kuteka na kwenda kuwaweka hapo gaza kaskazin penye vita kali , gaza kusini hakuna mashambuliz mengi so lzm walikuwa huko , na idf hajataka ionekane anashambulia gaza nzima bali anajikita kwenye kuangamiza makao makuu ya hamas ambayo ni gaza kaskazini
 
Endeleeni kujipongeza wakati HAMAS ameshinda vita
[emoji23][emoji23][emoji23] ila waislam bana kashinda vita aliyoianzishia akiwa ndan ya Israel , ss hv yupo gaza mashimoni , hv mlilogwa na nan waislam?
 
Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?

Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.
na mtz mwenzio unaunga mkono awe mateka ?
 
Uislamu ni dini ya huruma, ukitekwa na hamas ujue utaishi kama upo nyumbani kwako. Je! Wale mashetani/mskafiri wa kiyahudi!!
kwamba na yule mtz anaendelea na shughui zake akiwa huko mateka ? huon kuwa wanampotezea muda ? uislam ni nusu ushetan haujali utu , mf humu waislam hawajal lolote kuhusu watz wenzao waliotekwa na hamas na mmoja akafa kbs
 
Wameufyata mazayuni waliojidai hakuna kuongea mpaka HAMAS WAISHE, HAKUNA KUBADILISHANA MATEKA MPPAKA hAMAS WAISHE. Kiko wapi?

Tazama kichapo hiki walichochezea Ghaza:

View attachment 2827894

Mainstream media hutoyakuta hayo.
walisema hawana mpango wa kuivamia gaza mkasema wanaogopa kuingia gaza , wameingia washakamata bunge , mahakama , hospital kuu etc , ss hiko kichapo mnawapa mkiwa wap? ss hv mmeomba ceasefire
 
unataka na israel waanze lia lia mitandaoni kutafuta huruma ya dunia kama waarabu ? unayoyaona gaza pia yameyokea israel ila israel sio waliaji liaji wanamchinja kuku kimya kimya majiran wasistukie mchezo
 
Maji yalifungwa yote, muujiza ukatokea, mabomu yao wenyewe mazayuni yakatoboa kisima hakijawahi kuwepo. Huyu ndiyo Allah:

View attachment 2827901
kwahiyo hao makafir walikuwa wanawapa huduma zote na sio allah wenu? waislam ndo jamii isiyo na fadhira dunian , jpm aliwajengea hadi misikiti ila walishangilia kifo chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…