Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Usiende mbali kote huko ila jiulize ni Zana gani tumetengeneza ili kutupunguzia mda na kutumia nguvu za ziada
Kama bado tuko kwenye jembe la mkono kwa miaka Mia tano unategemea miujiza gani
Kama hatuna wataalam bali wakariri na tushahada basi hata akili za kuwaza nazo hatuna?
Wenzetu wanafunzi wa high school wanatengeza dawa
Kama bado tuko kwenye jembe la mkono kwa miaka Mia tano unategemea miujiza gani
Kama hatuna wataalam bali wakariri na tushahada basi hata akili za kuwaza nazo hatuna?
Wenzetu wanafunzi wa high school wanatengeza dawa