Kwanini hawa Matajiri Ndugu Wawili Gharib na GSM na Saalah na Silent Ocean yake Wameliteka mno Soko la Tanzania Kibiashara?

Kwanini hawa Matajiri Ndugu Wawili Gharib na GSM na Saalah na Silent Ocean yake Wameliteka mno Soko la Tanzania Kibiashara?

Sisi tunafurahi watu unapotukanan humu jamii,tunajiuliza kulikoni??
 
Na GENTAMYCINE naendelea Kuuliza kwanini hawakuwika wala Kutamba Kipindi cha Rais Hayati Dk. Magufuli na badala yake Wameibuka kwa Kasi mno, ya Ajabu na ya Kushtua katika Awamu hii ya Daktari wa Falsafa (PhD) ya Utu na Huruma kutoka UDSM?
Sio jambo rahisi kwa shetani kupenda maendeleo ya mtu mwingine mwenye bidii ya kazi,shetani ni mbinafsi hujipenda yeye na ukoo wake.
 
Back
Top Bottom