Kwanini Hayati Magufuli alikosa ujasiri kama wa Museveni kipindi kile Makonda anapambana na mashoga?

Kwanini Hayati Magufuli alikosa ujasiri kama wa Museveni kipindi kile Makonda anapambana na mashoga?

Kwa mimi mtetezi wa legasi huu uzi unatia uchungu nimejikaza kisabuni kuja kucomment kuwakilisha chama letu.
 
Kama tunavyokumbuka awamu ya 5, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alianzisha vita kali dhidi ya ushoga.

Baada ya muda kidogo vyombo mbalimbali habari nje ya nchi vikaripoti kuwa mashoga hawako salama Tanzania.

Serikali ya Magufuli kupitia waziri wake wa mambo ya nje wakasema mashoga wapo salama Tanzania na kuwa vita ya makonda haikuwa na baraka za serikali kuu na Makonda kupewa karipio kali.

Nauliza kwa nini Magufuli alikosa ujasiri kama wa Museveni wa kukaza kuhusu mashoga? Yaani akatoa uhakika kuwa mashoga wapo salama Tanzania?

97a1cbcc-b1ea-480d-9b27-a27e722cb2ad.jpg
 
Kama tunavyokumbuka awamu ya 5, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alianzisha vita kali dhidi ya ushoga.

Baada ya muda kidogo vyombo mbalimbali habari nje ya nchi vikaripoti kuwa mashoga hawako salama Tanzania.

Serikali ya Magufuli kupitia waziri wake wa mambo ya nje wakasema mashoga wapo salama Tanzania na kuwa vita ya makonda haikuwa na baraka za serikali kuu na Makonda kupewa karipio kali.

Nauliza kwa nini Magufuli alikosa ujasiri kama wa Museveni wa kukaza kuhusu mashoga? Yaani akatoa uhakika kuwa mashoga wapo salama Tanzania?
Mbona Clips zipo mtandaoni Magu akilaani ushoga
 
Kama tunavyokumbuka awamu ya 5, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alianzisha vita kali dhidi ya ushoga.

Baada ya muda kidogo vyombo mbalimbali habari nje ya nchi vikaripoti kuwa mashoga hawako salama Tanzania.

Serikali ya Magufuli kupitia waziri wake wa mambo ya nje wakasema mashoga wapo salama Tanzania na kuwa vita ya makonda haikuwa na baraka za serikali kuu na Makonda kupewa karipio kali.

Nauliza kwa nini Magufuli alikosa ujasiri kama wa Museveni wa kukaza kuhusu mashoga? Yaani akatoa uhakika kuwa mashoga wapo salama Tanzania?
Umesahau mzee magu alikuwa anakemea sana kuhusu ushoga hadi siku moja akatoa mfano hata wa wanyama na kusema, huwa hawakosei na kuingiza kwenye tundu ambalo silo.
 
Umesahau mzee magu alikuwa anakemea sana kuhusu ushoga hadi siku moja akatoa mfano hata wa wanyama na kusema, huwa hawakosei na kuingiza kwenye tundu ambalo silo.
Kukemea kwa maneno haitoshi, Makonda alianza kupigana na ushoga kwa vitendo, Serikali ya Magufuli ikamkana
 
Museven Kashajichokea kwa uzee ndio maana anaona hata akiadhibiwa na mabeberu haina shida kwa sababu siku zake za kuelekea kwenye moto wa milele zimekaribia
Screenshot_20230330-164914.jpg
 
Back
Top Bottom