Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Nonsense!.
 
Alishindwa Ubunge kila mwaka! Kwani uchaguzi ukifanyika kila mwaka huko Chato? 1990 ndiyo kila mwaka? 1995 vip? 2000, 2005, 2010 vip alishindwa pia?

Alikuwa mbunge vipindi vitatu 1995 hadi 2010 (jimbo la Chato) kwa kupita bila kupingwa baada ya kuwanunua washindani wake. Mara mbili, alianguka kwenye kura za maoni (jimbo la Biharamulo).
 
Alikuwa mbunge vipindi viwili 2005 na 2010 (jimbo la Chato) kwa kupita bila kupingwa baada ya kuwanunua washindani wake. Mara mbili, 1995 na 2000 alianguka kwenye kura za maoni (jimbo la Biharamulo).
Uko serious?
 

Alikua na kauli za hovyo sana utadhani sio kiongozi.
 
Alikuwa mbunge vipindi viwili 2005 na 2010 (jimbo la Chato) kwa kupita bila kupingwa baada ya kuwanunua washindani wake. Mara mbili, 1995 na 2000 alianguka kwenye kura za maoni (jimbo la Biharamulo).
Wewe ni mwongo. Magu kawa mbunge kuanzia 1995. Hizo alizoanguka ni kabla ya hapo.
 
Ndio maana uchaguzi wa 2020 aliharibu kabisa. Hana historia ya kushinda kihalali.
Hana ushawishi zaidi ya ubabe tu
Kilichofanyika 2020 kwa nchi zingine ilikuwa ni machafuko LIVE. Majirani walishangaa sana kwa utulivu wetu. Mungu atuepushe isitokee tena. Nina imani mama hatafanya kama mtangulizi wake.
 
Cc: Erythrocyte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…