Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

Hata vijana wa chadema nao walimtukana sana daktar Slaa na kumpenda mno Mzee Lowasa hivi ndivyo siasa ilivyo
 
Nadhani hakumaanisha Chato mjini,alimaanisha chato kama wilaya,nilikuwa bwanga,buziku na kuna mji unaitwa nyakayondwa ni kama upo kigoma,waha wengi sana kwenye hizo kata
 
Huna akili
 
Noma sana ,Push Gang watakuvamia.
 
tembelea kata ya busere, kasenga, bwana na nyarutembo uone waha.
 
Kwahiyo walimchukia kwasababu hakutaka kutumia nafasi yake ya uwaziri wa ujenzi kuwapendelea wanachato!?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…