Kwanini hela mpya zinazotoka bado zina sain za viongozi waliotolewa kwenye nafasi zao

Kwanini hela mpya zinazotoka bado zina sain za viongozi waliotolewa kwenye nafasi zao

frankkilulya

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2022
Posts
590
Reaction score
1,494
Ukiangalia Hela/Pesa mpya zinazotoka za noti Bado kuna sain ya waziri wa fedha Na gavana ambao kwa sasa hawapo kwenye nafsi zao.

Prof. Philip mpango alikua waziri wa fedha lakini kwa sasa ni Makamu wa rais

prof. Florens luoga Alikua gavana wa bank kuu

Kwa sasa kuna waziri mpya wa fedha na gavana mpya wa BOT

kwanini majina yao na sain zao bado zipo kwenye fedha zinazotoka mpaka sasa!?

Na kama huwa zinabadilika je zinachukua mda gani!?

Nawasilisha
 
Ukiangalia Hela/Pesa mpya zinazotoka za noti Bado kuna sain ya waziri wa fedha Na gavana ambao kwa sasa hawapo kwenye nafsi zao.

Prof. Philip mpango alikua waziri wa fedha lakini kwa sasa ni Makamu wa rais

prof. Florens luoga Alikua gavana wa bank kuu

Kwa sasa kuna waziri mpya wa fedha na gavana mpya wa BOT

kwanini majina yao na sain zao bado zipo kwenye fedha zinazotoka mpaka sasa!?

Na kama huwa zinabadilika je zinachukua mda gani!?

nawasilisha
Weka picha
 
Back
Top Bottom