Mambo mengine kuyajadili ni kupoteza muda tu, Historia ya Wazee wa Kariakoo ijadiliwe huko huko kariakoo. Nyerere aliona mbali sana
Waislam walikuwa hawana roho mbaya nae, kama nyie ingalikuwa shida tenaNyerere ali washinda abdul sykes na wazee wa pwani akili .
USifanye mchezo na elimu ya missionary wakimpika mtu anapikika kwelikweli.
BBC , CNN , ALJAZERA wanamtumia, weye na chuki zao unapiga majunguHakuna research pale nakwambia,research iishie wigo wa Kariakoo na Dar tu huku ikizunguka kwenye dini uiite research?
Utamsikia akisema hii imesomeshwa sijui chuo gani marekan mara profesa fulani aliniomba nimtumie nakala asijue wazungu humsikiliza yeyote hata kama mwendawazimu alimradi wapate kumsoma ufahamu wake.
Mkuu ni quote kwa tahadhari na umakiniWaislam walikuwa hawana roho mbaya nae, kama nyie ingalikuwa shida tena
Hongera sna Sheikh Mohammed Said, Allah akuweke. wanajua hawa watuMalaria2,
Hiyo picha ya mkusanyiko wa wananchi imepigwa na Mohamed Shebe.
Shebe ndiye alikuwa mpiga picha wa kwanza wa TANU na mpiga picha wa Nyerere.
Mimi kanipiga picha yangu ya kwanza mwaka wa 1953 na ninayo hadi leo na hapa jamvini nimepata kuiweka.
Katika hiyo picha angalia mkono wa kushoto utaona kuna sehmu nyeusi.
Hapo ndipo wakikaa wanawake na huo weusi ni mabaibui.
Muulize sheikh Said, waislam walikuwa wangapi hapo na wasiokuwa waislam wangapi? kama 90% ya wapiga ni waislam halafu mkiristo anashinda, unahisi nini kwamba mkiristo anaakili kubwa? ile sio mashindano ya hesbuMkuu ni quote kwa tahadhari na umakini
Mkafundishane madrasa hizo historia zenuMuulize sheikh Said, waislam walikuwa wangapi hapo na wasiokuwa waislam wangapi? kama 90% ya wapiga ni waislam halafu mkiristo anashinda, unahisi nini kwamba mkiristo anaakili kubwa? ile sio mashindano ya hesbu
kweli. maana imemfumbua macho sana kama taifaMkafundishane madrasa hizo historia zenu
Kabisaaa likafumbua macho na Nyerere akawa raiskweli. maana imemfumbua macho sana kama taifa
WAISLAM WAKUWA 90% LAKINI MWALIMU KAPA USHINDI UNAHISI KWANINI? WAKATI DINI NYENGINE WAPO BEGA KWA BEGA NA WAZUNGU?Kabisaaa likafumbua macho na Nyerere akawa rais
Hili ndio tatizo lako na mzee wangu Mohamed, kila kitu mnakitazama kwa Jicho la 'Ukristo' na 'Uislam', Hayati Nyerere aliona mbali sana kuwaweka pembeni hao wazee wa Kariakoo, wangeligawanya taifa hili katika misingi ya udini.Muulize sheikh Said, waislam walikuwa wangapi hapo na wasiokuwa waislam wangapi? kama 90% ya wapiga ni waislam halafu mkiristo anashinda, unahisi nini kwamba mkiristo anaakili kubwa? ile sio mashindano ya hesbu
kumbe umekubali kwamba wazee wa kariakoo ndio waliopigania uhuru. mwanzo si ulipinga, ukasema Moshi ndio walioiganmia uhuru kabla Sheikh Mohammed Said kuweka sawa?Hili ndio tatizo lako na mzee wangu Mohamed, kila kitu mnakitazama kwa Jicho la 'Ukristo' na 'Uislam', Hayati Nyerere aliona mbali sana kuwaweka pembeni hao wazee wa Kariakoo, wangeligawanya taifa hili katika misingi ya udini.
Walifukizwa na ubani wa baba parokoWAISLAM WAKUWA 90% LAKINI MWALIMU KAPA USHINDI UNAHISI KWANINI? WAKATI DINI NYENGINE WAPO BEGA KWA BEGA NA WAZUNGU?
Poroko alikuwa na muda huo? si alikuwa na wazungu Poroko?Walifukizwa na ubani wa baba paroko
Inabidi Ujiite Malari 100K mkuu, Kujiita Malaria 2 ni kujishushia hadhi ya kiwango cha malaria iliyopo kichwani mwako mkuukumbe umekubali kwamba wazee wa kariakoo ndio waliopigania uhuru. mwanzo si ulipinga, ukasema Moshi ndio walioiganmia uhuru kabla Sheikh Mohammed Said kuweka sawa?
Halafu taifa likawekwa chini ya ulinzi wa mama bikira maria.......Poroko alikuwa na muda huo? si alikuwa na wazungu Poroko?
Nimekwambia hapo juu wazungu bila kujali wewe ni mzima au siyo mzima kiakili watakupa air time uzungumze unachokitaka ikiwa tu wanajua kwa kufanya hivyo kwao watapata ushabiki na haiwadhuru.BBC , CNN , ALJAZERA wanamtumia, weye na chuki zao unapiga majungu
wewe baada ya Redio maria kuimba kwaya kama nafasi yako , wapi tena umepewa air time?Nimekwambia hapo juu wazungu bila kujali wewe ni mzima au siyo mzima kiakili watakupa air time uzungumze unachokitaka ikiwa tu wanajua kwa kufanya hivyo kwao watapata ushabiki na haiwadhuru.
Mzee Mohamed anayoandika alisimuliwa na anachokosea zaidi anapunguza materials alizosimuliwa kwa malengo yake anayoyajua mwenyewe kama kuondoa watu ktk simulizi zake kwa kigezo cha dini,Kariakoo kuna mzee akiitwa Sungura ni babu yake Maulid Kitenge huyu mzee nimemfahamu pale mtaa wa Sukuma na Kariakoo since 1998 alikuwa akizungumza sana habari za CCM na uhuru hasa kwa upande wa pwani hii ya Dar es salaam walioshiriki kulikuwa na mchanganyiko mkubwa wa majina lakini leo tunaambiwa ni kikundi fulani kwa mrengo wa dini fulani kilileta uhuru wa nchi.
Utakuwa na chuki binafsi. wewe wenzio wa UKRAIN?Aandike hostoria ya gaza wenzie wanavyokung’utwa aache stor za uongo na ukweli za miaka ile nyerere anapigania uhuru wazee wake wanajificha kwenye mashamba ya mihogo kigamboni leo anawajumlisha nao wapigania uhuru
Siyo waarabu tena?WAISLAM WAKUWA 90% LAKINI MWALIMU KAPA USHINDI UNAHISI KWANINI? WAKATI DINI NYENGINE WAPO BEGA KWA BEGA NA WAZUNGU?
Lucy Lameck: Mwanaharakati wa Tanzania ambaye barabara ya Ujerumani kupewa jina lake - BBC News Swahili soma hapo Mwanahistoria Mohammed Said - KimataifaSiyo waarabu tena?