Na mjadala upo kistaarabu kabisa. Ghadhabu za nini?Nguruvi 3,
Mimi huwa sishinikizwi.
Hupenda kufanya mjadala wa kistaarabu.
Wala sioni shida kujibu swali lolote kwani kama sijui nitakwambia.
Mkuu Maalim Mohammed Said, kwenye hili la kutoshinikizwa, naunga mkono hoja, watu humu tuko free kuchangia hoja yoyote, kutochagia, kuuliza swali lolote, kujibu au kutokujibu chochote, ila pale unapoleta hoja ikawa challenged na kuwa labelled ni urongo, ili kulinda integrity yako, unawajibu wa kufafanua, japo hata unapokaa kimya nalo ni jibu, kama ulivyolikalia kimya post No. 39 ya Mwalimu Nyerere kutambulishwa kwa wazee wa Dar es Salaam na wazee wako miaka ya 50s wakati Mwalimu alikaa kikao na wazee hao mwaka 1948, sijui kama wazee wako hawakuhudhuria.Nguruvi 3,
Mimi huwa sishinikizwi.
Hupenda kufanya mjadala wa kistaarabu.
Wala sioni shida kujibu swali lolote kwani kama sijui nitakwambia.
Tena MS anaandika kwa ''semantics' kiasi kwamba ni wachache wanamwelewaMkuu Nguruvi3, Mkuu Gavana ni free writer tuu akiwatetea Waarabu na udhalimu wao kwenye biashara ya utumwa kwa kuhusianisha na dini ya Kiislamu, kwa vile dini ya Kiislamu inatumia lugha ya Kiarabu, kwake Waarabu ni watu wa Allah na ndani ya Quran utumwa umeruhusiwa, hivyo kwake atatetea lolote litakalofanywa na Mwarabu in the name of Islam, hata Osama alitetewa sana humu.
Lakini Maalim Mohammed Said, is a writer with a mission and a motive behind.
P
Mkuu sidhani kama kuna kushinikizwa. Hoja ameleta yeye , hakuna hata moja iliyotungwa nje ya maandiko yake. Katika mjadala na hasa inayosomwa kama huu ''10K'' busara kutumbukiza hoja halafu mitini. Hapo ndipo tunapoita ngano, inabaki kama hekayaMkuu Maalim Mohammed Said, kwenye hili la kutoshinikizwa, naunga mkono hoja, watu humu tuko free kuchangia hoja yoyote, kutochagia, kuuliza swali lolote, kujibu au kutokujibu chochote, ila pale unapoleta hoja ikawa challenged na kuwa labelled ni urongo, ili kulinda integrity yako, unawajibu wa kufafanua, japo hata unapokaa kimya nalo ni jibu, kama ulivyolikalia kimya post No. 39 ya Mwalimu Nyerere kutambulishwa kwa wazee wa Dar es Salaam na wazee wako miaka ya 50s wakati Mwalimu alikaa kikao na wazee hao mwaka 1948, sijui kama wazee wako hawakuhudhuria.
Hata mimi kuna mabandiko yangu humu nikiisha bandika, sirudi kujibu hoja yoyote ili kuepusha shari.
Hivyo hilo la kutoshinikizwa, nasimama na wewe Mkuu Maalim Mohammed Said.
P
Hakuna alikushinikiza hapa tupo kwenye mnakasha/mjadala, la sema huna majibu/hoja kutoka kwa alama Nguruvi3Nguruvi 3,
Mimi huwa sishinikizwi.
Hupenda kufanya mjadala wa kistaarabu.
Wala sioni shida kujibu swali lolote kwani kama sijui nitakwambia.
Tatizo lako Mkuu Gavana, ni uvivu wa kusoma!, au lugha?.
Pitia hapa: A report on slavery and the slave trade in Zanzibar, Pemba ...
Nimekueleza na nina kueleza tena, madhila haya ni baada ya kukomeshwa kwa biashara ya utumwa, Zanzibar iliendelea kwa siri kwa miaka mingi baadaye hadi Missionary walipowagomboa Watumwa kwa kuwalipa waliowanunua, na ndipo lile soko kuu la Watumwa Mkunazini lilipofungwa na kujengwa kanisa.
P.
" .. full and free permission to invade, search out, capture and subjugate the Saracens and pagans and any other unbelievers and enemies of Christ wherever they may be, as well as their kingdoms, duchies, counties, principalities and other properties and to reduce their persons into perpetual slavery."
– Bull Eximiae Devotionis, 1493.
Mkuu Nguruvi3, mimi Mkuu Maalim Mohammed Said, niliisha mbaini kitambo, he is a man with a mission to accomplish. Kitu kizuri kumhusu Maalim Mohammed Said ni kwanza ana kipaji sana cha kuhadithia na kuelimisha, pili ana powers kubwa sana za ushawishi, na ana heshimika sana na hawa Muslim fundamentalists wa humu jukwaani, akisema kitu anasikilizwa sana na anaaminiwa sana, ndio maana hata akichomekea urongo with a purpose ndani ya mada zake, wafuasi wake wanameza mazima mazima.Tena MS anaandika kwa ''semantics' kiasi kwamba ni wachache wanamwelewa
Hivi Pasco unajua'Mzanzibar Khalisi'' kwamba, wapo Wazanzibar halafu wapo ''khalisi'
Sasa sijui kama khalisi ni hawa wa kawaida au ni Sultan ! Nauliza tu
Unajua kwanini ameleta picha ya Okello ?
Mkuu Pasco , Gavana anajtahidi sana kupotosha umma ima kwa kujua au kutojua au kutotaka kujua.
Katika upotoshaji huo amefanikiwa kuwaburuza watu kama MS atika mkondo usio sahihi.
MS aliwahi kuhoji kwamba picha za watumwa ni za kuchora.
Hakuhoji kwavile hakuona hizo picha bali kuna hoja aliyosikia na bila utafiti au fikra au kwavile anaamini tu historia yake akaamua kutumbukiza hoja hiyo.
Yaani ana question picha za biashara ya utumwa! kama afanyavyo Gavana
Sasa nimeelewa ni kwanini baada ya kumsoma Gavana akikazani kuhusu uvumbuzi wa camera mwaka 1888 ikilinganishwa na picha za biashara ya utumwa kabla ya hapo
Naomba niweke sawa kwanza, kwamba, watu kama MS na Gavana wanadhani kitu kama computer kimegunduliwa na Bill Gate au hakikuwepo miaka 100 iliyopita
Idea ya computation ilianza kutumika kwa slide rule na algorithm karne nyingi (kuanzia 1625?) kama sikosei.
Wakati wa industrial revolution, mashine zilikuwa zinafanya kazi kwa mfumo wa computer
Kilichofuata ni kuendeleza matumizi ya computer katika maeneo kama majeshi halafu maofisini.
Akina Bill Gates wamerahisisha kazi kwa software lakini si wagunduzi
Kuhusu Camera wazo la kwanza lilitolewa na mtu wa Iraq Haytham miaka 800 kabla ya Camera
Kilichofuata ni akina Johann Zahn Mjerumani akifuatiwa na Mfaransa Nicephore aliyepiga picha ya kwanza 1826
Katika mwendelezo wa improvement wapo akina Alexander n.k.
Kamera ya kwanza ilikuwa pinhole, zikaja za lens halafu colloidal na mwisho digital
Gavana anachanganyikiwa au anauchanganya umma kwamba Camera imevumbuliwa mwaka 1888.
Kilichotokea wakati huo ni Mmarekani Eastman kuwa na kampuni iliyoanza kutoa jina la Camera na brand zake zikawa ni Kodak.
Alichokifanya Eastman ni ku commercialize kamera.
Hivyo basi Gavana anaposema Camera imegunduliwa mwaka 1888 ni kutoelewa, kutotaka kusoma. Hayo yanafanyika kwa makusudi kabisa ili kuzima hoja zilizopo mbele kwasasa kuhusu mambo kadhaa.
1. Gavana kama Mohamed Said wanaturudisha wanakotaka. Tumewaambia dhahir shahir kuwa Biashara ya utumwa ni ukatili dhidi ya binadamu uwe umefanywa na Mzungu, Mwarabu, Askofu au Sheik. Ni ushenzi tu usioweza kutetewa na mtu anayefikri sawa sawa.
2. Kwa upande wetu biashara ya Uarabuni ili tuathiri sana kwani tulikuwa ndio Wahanga.
Unyama huo ulifanywa kupitia soko la watumwa la Mkunazini chini ya Sultan.
Hivyo sultan wa Zanzibar ni ''accomplice'' katika unyama huo iwe kabla au baada. Period
Kuna hoja zinazomhusu Mohamed Said, hizo zinafuata. Hakuna namna lazima tuwekane sawa kwa muda mrefu jukwaa hili limegeuzwa jamvi la msibani kila atakaye afanya ajuavyo.
Khs hoja Mwalim kutokujua kilichotokea Zanzibar unaweza kurudi mpk. mara tu baada kifo cha Mzee Karume Mzee Aboud Jumbe alimpigia Cm Mwalim Nyerere na maongezi yao ilikuwa hv Mwalim kuna matatizo makubwa ametokea Znz jibu kutoka kwa Mwalim ni Khs mauaji ya Mzee Karume nini matazamo hapa Kaka yngu Pascal...Mkuu Nguruvi3, Mkuu Maalim Mohammed Said ni very controversial kwenye baadhi ya hoja zake, na kila akileta any controversial issue, ukihoji, kwake ni kama kumpiga chura take, anakumwagia nondo na nyingine ni zenye maurongo ndani yake.
Kwa uzoefu wangu humu, tukijadili issue yoyote ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sometimes it gets so emotional, kuna bandiko humu hali ya hewa ilichafuka watu tukatishiwa kifo tukikanyaga tuu Zanzibar hadi mode akalifuta bandiko lile.
Hii ya kumtaja Okello sii lolote sii chochote ni kumdogosha tuu, huyu ndiye alyeyatangaza Mapinduzi ya Zanzibar kwenye redio na ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la Mapinduzi mara baada ya Mapinduzi, hawezi kuwa sii lolote sii chochote.
Ukimsoma vizuri Mkuu Maalim Mohammed Said in between the lines, utagundua the motive behind ya baadhi ya maandiko yake ni ill motives, hata ile historia ya kuwakweza wazee wake, lengo sio tuu kuwataja wakumbukwe bali pia kutaka kumdogosha Mwalimu Nyerere ili aonekane sii lolote sii chochote mbele ya wazee wake.
Ni ama tuendelee kumpiga chura mateke tumuongezee mwendo ama maurongo mengine tuyanyamazie kama hili la Okello sii lolote sii chochote
Kwenye video hiyo inathibitisha Okello ndio alipanga Mapinduzi, Karume hakuwepo Zanzibar, Babu hakuwepo Zanzibar, na Nyerere hakujua ndio kwanza alimuuliza Babu, what happened in Zanzibar?!.
Halafu leo anakuja mtu kusema eti Okello sii lolote sii chochote!.
P
Mkuu Gavana, unaleta yale yake ya Mkuu Maalim Mohammed Said, tunazungumzia madhila ya Watumwa chini ya Sultan dhalimu wa Zanzibar, yeye anang'ang'ana na Trans Atlantic Slave Trade.Zanzibar iliendelea kwa siri vipi na ilikuwa chini ya mwingereza ?? Au vipi ?? Missionaries wa kiengereza sio hao walifanya hiyo biashara ?? hizi siasa za kipropaganda za makanisa msitudanganye
PESA WAMELIPWA MAKANISA SIO WATUMWA
Mkuu Nguruvi3, mimi Mkuu Maalim Mohammed Said, niliisha mbaini kitambo, he is a man with a mission to accomplish. Kitu kizuri kumhusu Maalim Mohammed Said ni kwanza ana kipaji sana cha kuhadithia na kuelimisha, pili ana powers kubwa sana za ushawishi, na ana heshimika sana na hawa Muslim fundamentalists wa humu jukwaani, akisema kitu anasikilizwa sana na anaaminiwa sana, ndio maana hata akichomekea urongo with a purpose ndani ya mada zake, wafuasi wake wanameza mazima mazima.
Mimi ni muwazi sana hadi kwenye maisha binafsi, hivyo kuna siku nilisema humu kuwa katika ujana maji ya moto, nimepita pita kwingi ikiwemo mitaa ya Gerezani hadi Zanzibar, nikatania tusije kuwa tunabishana na shemeji zetu!, hali ilichafuka, Wazanzibari walikuja juu kama moto wa kifuu hadi kutaka kunisomea itkaf kama ile ya Salman Rushdie, nikionekana popote Zanzibar, niuliwe!, Maalim Mohammed Said kwa kutumia busara zake ma powers zake za ushawishi, akawatuliza na wakatulia, hivyo ni mtu ninayemheshimu sana.
Hii hoja ya kumleta Okello na kusema Okello sii lolote sii chochote ni tuu kuhalalisha ile hoja yake ya zile ngano za Kipumbwi ili kuonyeshea waliompindua Sultan, sio Wanzanzibari bali ni Wanzanzibara.
Zanzibar kuna ubaguzi sana wa matabaka, tabaka la juu walikuwa Wazungu, Europeans, wakafuatia Indians, Arabs, Washirazi na machotara, tabaka la mwisho ni Wamatumbi, ndio wanaitwa Africans, sasa katika ujumla wake, wanahesabu wenye halali ya kuwa Wanzanzibari halisi ni Wahindi, Waarabu na Machotara, ambao kwao hao ndio Wazanzibari wale Africans wanawaita Wanzanzibara.
Kutokana na kasumba hiyo, ili mtu ujione bora Zanzibar, hata wakiwa Waswahili kabisa, ngozi nyeusi na nywele za kipilipili, bado wanajinasibu na Uarabu, kwa kufuga ndefu, kuvaa lemba, hata kuongea kwa lafudhi ya Kiarabu na wengine hata kuandika Kiswahili cha Kiarabu.
Sasa ili kuyadogosha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, hatua ya kwanza ni kumdogosha kiongozi wa Mapinduzi yale Okello kuwa sii lolote sii chochote. Kisha kuweka picha ya Wajumbe wa Baraza la kwanza la Mapinduzi, ndio waliopindua ili kuonyeshea sio Wanzanzibari, bali ni watu wakuja wakishirikiana na Wanzanzibara.
Lengo ni juhudi za kuya discredit Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ili wayaite mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Wanzanzibara kuwateketeza Wazanzibari.
P
Mkuu Gavana, unaleta yale yake ya Mkuu Maalim Mohammed Said, tunazungumzia madhila ya Watumwa chini ya Sultan dhalimu wa Zanzibar, yeye anang'ang'ana na Trans Atlantic Slave Trade.
Nimekuwekea document ya ripoti ya udhalimu na kilichokuwa kinafanyika Zanzibar chini ya Sultan baada ya kupigwa marufuku biashara hiyo ya mwaka 1895. Wewe unaleta habari za Wazungu!.
Kasome tuu historia ya hilo kanisa la Mkunazini, ndipo lilipokuwa soko kuu la Watumwa. Kanisa liliwakomboa kwa kuwalipa fidia Waarabu wauza Watumwa kwa kuwagomboa, na wakawa hawana pa kuwaweka, wakabaki hapo hapo sokoni, ndipo wakalinunua soko na kuendelea kuwatunza Watumwa huru, ndipo baadae wakajenga lile kanisa.
Sichoki kukushauri soma ripoti hii.
Pitia hapa: A report on slavery and the slave trade in Zanzibar, Pemba ...
Kuna binadamu ukiwaona machoni ni kama watu, lakini kiukweli sii watu ni wanyama kabisa kwa unyama waliowafanyia binadamu wenzao.
P
Mkuu Nguruvi3, Mkuu Gavana ni free writer tuu akiwatetea Waarabu na udhalimu wao kwenye biashara ya utumwa kwa kuhusianisha na dini ya Kiislamu, kwa vile dini ya Kiislamu inatumia lugha ya Kiarabu, kwake Waarabu ni watu wa Allah na ndani ya Quran utumwa umeruhusiwa, hivyo kwake atatetea lolote litakalofanywa na Mwarabu in the name of Islam, hata Osama alitetewa sana humu.
Lakini Maalim Mohammed Said, is a writer with a mission and a motive behind.
P
Tafuta andiko lolote kuhusu Zanzibar Revolution ambapo Okello hajatajwa kama kiongozi wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar.
John Okello was everything kwenye Mapinduzi Matukufu yale who was reduced to nothing.
P
Mkuu Nguruvi3, Mkuu Gavana ni free writer tuu akiwatetea Waarabu na udhalimu wao kwenye biashara ya utumwa kwa kuhusianisha na dini ya Kiislamu, kwa vile dini ya Kiislamu inatumia lugha ya Kiarabu, kwake Waarabu ni watu wa Allah na ndani ya Quran utumwa umeruhusiwa, hivyo kwake atatetea lolote litakalofanywa na Mwarabu in the name of Islam, hata Osama alitetewa sana humu.
Lakini Maalim Mohammed Said, is a writer with a mission and a motive behind.
P
Mkuu sidhani kama kuna kushinikizwa. Hoja ameleta yeye , hakuna hata moja iliyotungwa nje ya maandiko yake. Katika mjadala na hasa inayosomwa kama huu ''10K'' busara kutumbukiza hoja halafu mitini. Hapo ndipo tunapoita ngano, inabaki kama hekaya
Picha ya Okello alileta na ku challenge kama hao ni wazanzibar khalisi
Ninataka ku challenge, lakini pia nataka kujua picha ilipigwa lini, wapi na hao ni akina nani
Tukishapata majibu tunaweza kujua ni khalisi au ni fake
Pili, kasema Abdallah K Hanga ndiye aliyepanga mapinduzi. Huko nyuma alisema Nyerere alichukua watu Kipumbwi. Kwa maana hiyo, Nyerere amekuwa ''exonerated and vindicated''
Ndiyo mana tunamuuuliza, je, wazee wake wa Dar walijua pia? Maana Hanga alikuwa mmoja wao na kwa mujibu wa MS ndiye aliyepanga mapinduzi bila shaka ndiye aliyewachukua wamakonde wa Kipumbwi.
Mkuu P, huu ujanja wa kukwepa hoja kwa kuweka mambo nje ya mada tumeushtukia tunaka hoja kwa hoja, na anayeleta hoja ahakikishe anajua analeta nini
Wapo watakao kaa jamvini na kumeza si wote wa aina hiyo!
Dos ...Unaweza kutusaidia kutupa majibu kwanini Hanga alitangazwa kuwa Waziri Mkuu baada ya mapinduzi tu, Na haikufika hata wiki akabadiliswa wadhifa na kuwa Makamo wa Raisi?
Mkuu Gavana, kwanza pole kwa madhila ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kwa hayo unayoyasema, kila binadamu mwenye utu, yatamgusa, hata nilipokisikia kisa cha Hamudi iliyemuua Karume, nikaelewa.Yaani wewe mtu wa Usukumani unaishi Mwanza unajua Zanzibar kuliko sisi tunaoishi Zanzibar , kazi ipoooo
Pascal ubaguzi mnao nyinyi huko bara na mnajaribu kuuingiza Zanzibar kuhalalisha uvamizi wa 1964
Si tunaona wengi wakisema Lowassa asipewe uraisi mtu wa kaskazini au uongo ninasema
Pascal sisi ni watu wa kaskazini Unguja na dadayetu mmoja ni mweusi kuliko wewe aliolewa na hao mnaosema wakiuza watumwa .
Ni watu masikini hohe hahe 1964 mlipovamia mlimuua huyo mzee mbele ya mke wake na watoto na kutuwachia mayatima na mjane aliyepoteza akili mpaka leo .
Huo ndio uhuru mnaoututakia waafrika ??
Ubaguzi uko wapi Pascal ikiwa ndugu yangu ameolewa na muhindi na wamezaa na wanaendelea kuishi unaniambia kuna ubaguzi. Ndugu yangu mwengine ameoa muhindi wala hakuna ubaguzi wowote kwa wazazi wake.
Mtoto wangu ameolewa na mnyamwezi wa kwenu Mwanza kuna ubaguzi wapi
Msituletee propaganda za kanisa na CCM kuendeleza uvamizi wenu wa 1964
Pascal nitajie huyo mwarabu mmoja tu aliyekuwa akifanya biashara ya utumwa ambaye mlimfurusha 1964