Kwanini hotuba za Wanasiasa wa Tanzania (wa Upinzani na Chama Tawala) ni za kiwango cha chini mno? Nimewawekea mifano ili wajiongeze

Huyu jamaa kweli chizi, sasa huo mkusanyiko mbona raia hajawapa tahadhari ya kuambukizana CORONA?? Kajidharaulisha saana.
 
Weka na za Trump

Huyu mwamba anatumia plain simple english zenye ujumbe mzito kwa wavuja jasho wa Marekani, huwezi kulinganisha na hawa wa CCM Mpya hotuba zao kwa lugha yetu mama kwa kiswahili chepesi hawawezi kuwasilisha fikra, mawazo na visheni kwa mwananchi wa kawaida.
 
This is one of my favorite speech ever.
By the way Obama, yuko inspired sana na speech za JF Kennedy.
 
This is one of my favorite speech ever.
By the way Obama, yuko inspired sana na speech za JF Kennedy.

..asante kwa mchango wako.

..tangu 2016 mpaka 2020, kuna kiongozi yeyote ambaye ametoa hotuba, ambayo miaka 50 ijayo watu wataijadili, na kui-admire, kama tunavyofanya kwa hotuba ya JFK ya 1962?

..Na mada yangu nimeielekeza kwa viongozi wa chama tawala, na vyama vya upinzani, sijabagua.

..hebu tueleze what is your favorite speech kwa hapa Tz ktk kipindi cha 2016 mpaka 2020.
 
Wavuja jasho wa Marekani walimpa kura nyingi Hillary Clinton kuliko yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…