makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Tutakuombea haitakushindaaaMunicheke ndoa imenishinda 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakuombea haitakushindaaaMunicheke ndoa imenishinda 😂
Hapo kwenye 'swimming ile mpya' ndo uliponiacha!Ndio leba kwenye swimming ile mpya
Njia mpya ya kujifungulia ile adi chai unakunywa😹Hapo kwenye 'swimming ile mpya' ndo uliponiacha!
Nisisikilize. Walimwengu hawana wema hao...Tutakuombea haitakushindaaa
Utaniweza mie kipengelenWaoh Jimbo liko wazi, ngoja Tutie Nia
Hongera ma mkweKuna mtoto apa najifungua ni wa kike msubirie kidogo[emoji81]
Ndoa ni jambo gumu sana,nahisi huenda Kuna malezi ya wanawake kwenye taifa letu pengine,nafikiria divorce very soon.
Asante kwa elimu hiyoNjia mpya ya kujifungulia ile adi chai unakunywa😹
Babako angekuwa na haya mawazo wewe ungezaliwa kweli?Yani nitafute hela zangu kwa jasho, nije nifuge mtoto wa mtu azitumbue kiulaini ? Bila jasho, ajimilikishe na mali zangu ? Tena anipe na presha nife kabla ya siku zangu kutimia ? Kama ni family (watoto) ninao
Mie ilikuwa ngumu kuishi na mwanamke, You Know 😂 Ila saivi nimeshazoea 💕Kama hujaoa tuambie nini kimekufanya hujaoa au kuolewa hadi sasa.
Changamoto gani umepitia hujaoa hadi sasa au hujaolewa hadi sasa.
Kama hakuna mbona watu wanang'ang'aniana?Hakuna raha kwenye dipresheni bwana🤣
Nicee so umeoaMie ilikuwa ngumu kuishi na mwanamke, You Know 😂 Ila saivi nimeshazoea 💕
Nikupe zunguuuI'm heart broken .. it is almost a year I'm not healed when I accidentally bump into her on road or saw her on street the pain Start again I can't stop thinking about her . I try to start new relationships but still doesn't work
Those say time heal are liars
Aah bado You Know! Ila soon 🔜 ☺️Nicee so umeoa