Kwanini hujaoa ama kuolewa hadi sasa??

Kwanini hujaoa ama kuolewa hadi sasa??

Ndoa bila uchumi ni fedheha kwa mwanaume ,unajitengezea balaa kubwa sana la dharau na kitumbua chako kupewa wengine.

Ila kwangu sijaoa kwasababu mwanamke kiumbe kisichotabirika utampa vyote utapigiwa na usipompa kitu utapigiwa mbaya zaidi Manii zako zenyewe zitapewa sumu zikuchukie.
 
I'm a active member of team kataa ndoa no utapeli

But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)

So mademu tends to fear me

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio kwamba una shinda na tisheti lako la yanga mwanzo mwisho mpk wadada hawakutaki.... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 wanaona hili dume litabetia nyumba
 
Back
Top Bottom