mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Nina fupi halafu nene wanasemaga Wanatumia na hawarudi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa zinatesa sana nina dada mmoja,leo mwaka wa 3 ninahangaika kumtafutia mume naye anahangaika kutafuta na hajapataKama hujaoa tuambie nini kimekufanya hujaoa au kuolewa hadi sasa .
Changamoto gani umepitia hujaoa hadi sasa au hujaolewa hadi sasa .
kwanin msipatane tu nayey koz mnajuana in outNdoa zinatesa sana nina dada mmoja,leo mwaka wa 3 ninahangaika kumtafutia mume naye anahangaika kutafuta na hajapata
sio kwamba mimi nataka kumuoa,bali mimi huwa nasaidia watu kuoana.Mimi Mungu amenijalia wake 2 na naishi nao hadi leokwanin msipatane tu nayey koz mnajuana in out
aah hapo sawa..sio kwamba mimi nataka kumuoa,bali mimi huwa nasaidia watu kuoana.Mimi Mungu amenijalia wake 2 na naishi nao hadi leo
Perfect answerI'm a active member of team kataa ndoa no utapeli
But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)
So mademu tends to fear me
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ndicho tu kilichobakiMShirikishe Munguu
umri 34,umbo la wastani,mweusi,hajichubui na hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa viwanja,mkatoliki na ana shahada 2,hajazaa na ni mtumishiaah hapo sawa..
Bint umri gan kwan na anapatikana wapi, na physcal body yupoje
duu bas tuishie hapo umri kanizid mnoumri 34,umbo la wastani,mweusi,hajichubui na hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa viwanja,mkatoliki na ana shahada 2,hajazaa na ni mtumishi
Nakusubr wewe!Masingula mnaitwa kwenye kikao...