Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Usijali utaolewa tuSjui kama nitaoa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali utaolewa tuSjui kama nitaoa!
Kwa kutumia Tecno nakubali mwanetuI'm a active member of team kataa ndoa no utapeli
But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)
So mademu tends to fear me
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mahusiano ni magumu sana yani doh 🙆♂️🥹Mungu aingilie kati tu!Kama hujaoa tuambie nini kimekufanya hujaoa au kuolewa hadi sasa .
Changamoto gani umepitia hujaoa hadi sasa au hujaolewa hadi sasa .
Kataa ndoa ndiyo habari ya mjni.Kama hujaoa tuambie nini kimekufanya hujaoa au kuolewa hadi sasa .
Changamoto gani umepitia hujaoa hadi sasa au hujaolewa hadi sasa .
Vipi CHAPUTA umetoka lini , wewe ni mtu muhimu sana kwenye hili chama la kibabe.I'm a active member of team kataa ndoa no utapeli
But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)
So mademu tends to fear me
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuuBeautiful ones are not yet born
Sijui kama inakuhusu na kukuhusu. Shukuru umeolewa au kuolewaKama hujaoa tuambie nini kimekufanya hujaoa au kuolewa hadi sasa .
Changamoto gani umepitia hujaoa hadi sasa au hujaolewa hadi sasa .
tuko wengi chief, Kuna maisha fulani huwa nina jiambia hii ita nisumbua.Sijaoa na sitarajii kuoa kwa sababu ndoa nilizo shuhudia kuanzia 2015 mpaka muda huu nyingi zinapumulia mashine na karibia nusu zimeshavunjika.
Kwa Ninavyoifahamu akili yangu nikijidanganya nikaingia kwenye ndoa sijui kama nitamaliza mwaka
KATAA NDOAAAAAKama hujaoa tuambie nini kimekufanya hujaoa au kuolewa hadi sasa .
Changamoto gani umepitia hujaoa hadi sasa au hujaolewa hadi sasa .
Na wanapresha sana hawa wajingaYani nitafute hela zangu kwa jasho, nije nifuge mtoto wa mtu azitumbue kiulaini ? Bila jasho, ajimilikishe na mali zangu ? Tena anipe na presha nife kabla ya siku zangu kutimia ? Kama ni family (watoto) ninao
Tatizo SalioBado najitafuta mkuu.