Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine hawana haja yakulalana ovyooo,watu wanasaka pesa wanatafuta jinsi ya kutoka kwenye utegemezii. Wale ambao , wafanyaji wanamuda mie saivi nalala tu . Nakuamka nikikosa kazi za muhimu kufanya .Wengine kila Siku tupo masafa kwenye mitikasi ya kimaisha tunasaka mkwanja. Sasa ukioa si utakuwa umeolea masela. Bora nibaki bachela kwanza.
DAh hi haiusiani na uoajiPoint ni zile zile
Low wages
Poor infrastructure
Lack of labour
Mama mchungaji naomba ufungue kwa sala kwenye hiki kikao chetu tafadhaliMasingula mnaitwa kwenye kikao...
UongooNa ndiyo kikwazo kwangu pia. Nikisema nioe msomi atanitapeli. Nikisema nioe mshamba ni tabu pia. Bora nisioe
Acha utani wewe umezeekaNamngoja yule ambae nikiwa chuo waalim walisema ndio anazaliwa.
Acha utaniiiKuna ishu nasikilizia.
MShirikishe MunguuMahusiano ni magumu sana yani doh 🙆♂️🥹Mungu aingilie kati tu!
NanAcha utani wewe umezeeka
I'm a active member of team kataa ndoa no utapeli
But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)
So mademu tends to fear me
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile
I'm a active member of team kataa ndoa no utapeli
But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)
So mademu tends to fear me
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile ap
Aisee, itabidi mwanamama Hellen Smith aje kufanya utafiti nchini,I'm a active member of team kataa ndoa no utapeli
But also I'm active member of UWABATA ( umoja wa wanaume bahiri Tanzania)
So mademu tends to fear me
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Badoo upo upo Kwanza, uzinzi.Red black unaoa lini bado nipo nipo kwanza unasema bado nipo nipo kwanza
Utapeli Gani Mkuu, tupe maelezoKwasababu ndoa ni utapeli!
Pisi za sasa zikikukosa na ukimwi basi utaangukia kwenye syphilis.
Survival of the fittest, itachukua Mkondo wake, ndio wanawake zetu ndio jamii yetu.Pisi za sasa zikikukosa na ukimwi basi utaangukia kwenye syphilis.
Uzi uishie hapaYani nitafute hela zangu kwa jasho, nije nifuge mtoto wa mtu azitumbue kiulaini ? Bila jasho, ajimilikishe na mali zangu ? Tena anipe na presha nife kabla ya siku zangu kutimia ? Kama ni family (watoto) ninao