Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Kuna mmoja huyo kila akija huwa anaanzisha msako kunitafuta anakutana na mimi mwenyewe mafia anaishia kuondoka patupu na namkwepa sababu najua hna nia nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀
Visofa vya laizer
'unga unga mwana'
Wengine generation karibia tatu nyuma zilikuwa hapa Dar, kila ndugu yupo hapa hapa. Mnaishia kugumiana humu mjini tu.
Na mkionana huo unafiki sasa wa kujifanya mpo close balaa. Ikitokea mtu akakuoneni mnavyoongea atasema hawa jamaa wapo karibu mno kumbe kuonana msiba mpaka msiba.😂😂
Yaani mwaka mzima hamuonani na mpo humuhumu
Na mkionana huo unafiki sasa wa kujifanya mpo close balaa. Ikitokea mtu akakuoneni mnavyoongea atasema hawa jamaa wapo karibu mno kumbe kuonana msiba mpaka msiba.
Mm ni mtu wa singida brotherBasi we ni Muha, nishakujuwa tayari.
Mi hata nawajua basi? Kwenye maisha yangu sijawahi kukaa sehem yoyote zaidi ya miaka 5 nimeahamahama kwanzia mdogo hadi leo watu kibao sina mazoea nao
Pole, unatoka Singda kweli?Mm ni mtu wa singida brother
yes boss hujakoseaPole, unatoka Singda kweli?
Dah nimecheka kama fala .Kuna mmoja huyo kila akija huwa anaanzisha msako kunitafuta anakutana na mimi mwenyewe mafia anaishia kuondoka patupu na namkwepa sababu najua hna nia nzuri
Kwahiyo hauna makau maalum[emoji16]Mi hata nawajua basi? Kwenye maisha yangu sijawahi kukaa sehem yoyote zaidi ya miaka 5 nimeahamahama kwanzia mdogo hadi leo watu kibao sina mazoea nao