Uchaguzi 2020 Kwanini huu ndio Uchaguzi Mgumu zaidi kwa CCM?

wewe ulisikia wapi kama huuni uchaguzi mgumu?
 
Lolote lawezekana. Wiki mbili zilozobaki zitatupa majibu. Ingawa watu washaamua kuna kujichanganya. Jana kuna mtu alijichanganya.Amini kuna watu wa kijani wamekuwa njia panda na wengine hawatapiga kura ama watapigia upande mwingine. Kuna mtu anabebwa habebeki.
Kuna mtu amekaza msuli hakuna kuibiwa... Hii imeanza kutishia waibaji.
Usiseme waibaji hawapo. Wapo na wamejibainisha wazi wakiwa na kijani chao.
Kwa hivi uchaguzi huu si raisi tusubiri wiki mbili ziishe.
Wengine tusingepiga kura lakini yanayoendelea yanatufanya tupige kura tunahamasisha wengine waliokuwa wamekata tamaa.


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
kwa hakika nchi hii inakwenda kukombolewa dhidi ya mabeberu weusi, kama mwalimu J.K. Nyerere aliweza kumtoa mkoloni yule, si zaidi sana kwa TUNDU A. LISSU hasa kwa zama hizi za kuumizana? sidhani kama kuna mtanzania mwente akili timamu ambaye hajaguswa na udhalimu wa serikali ya magufuli.

ccm must go, JPM must go to Chattle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…